Yaani nchi hii, ukiwa tofauti tu na mawazo ya watawala basi wewe umetumwa.
Zamani tulikaririshwa na kuaminishwa kuwa matatizo yetu yanatokana na sijui mabeberu, mataifa makubwa nk.
Leo bado watu wanaturudisha kulekule kuhamishia matatizo kwa wengine.
Tujitathmini kwanza wenyewe kwa uhuru bila mizengwe na kubana raia kutotoa mawazo mbadala.
Zamani tulikaririshwa na kuaminishwa kuwa matatizo yetu yanatokana na sijui mabeberu, mataifa makubwa nk.
Leo bado watu wanaturudisha kulekule kuhamishia matatizo kwa wengine.
Tujitathmini kwanza wenyewe kwa uhuru bila mizengwe na kubana raia kutotoa mawazo mbadala.