Tundu Lissu amerudi Ubelgiji kwa daktari wake?

Tundu Lissu amerudi Ubelgiji kwa daktari wake?

5520

JF-Expert Member
Joined
Sep 10, 2011
Posts
849
Reaction score
1,482
Baada ya kamata kamata ya makosa ya uhaini na uchochezi tunaona Tundu Lissu amekuwa kimya na hasemi chochote., tunaulizana kama labda amerudi kwa daktari wake belgium kupata matibabu maana tumemzoea akichakarishiwa kidogo anapita mlango nyuma kisingizio ni daktari wake amempigia simu arudi belgium haraka.

On top of that, tunazo taarifa Tundu Antipus Lissu haziendi na Chadema na kwamba ile mikutano anayofanya na kumtusi Mama kwenye majukwaa haina baraka za Mbowe wala Chadema kwa ujumla, Nimemsikia Chadema mmoja kiongozi wa juu akisema "Tundu Lissu anatuharibia chama na ile mikutano anayofanya si ya kichama anaigaramia mwenye kukichafua Chama.

Lakini pia baada ya kuhojiana chadema huyo pia kakiri kwamba "Chadema haina tena mpango wa kumpitia Lissu kugombea tena urais sababu uchaguzi uliopita Tundu Lissu alikuwa na watu ambao aliwaeka karibu kwenye route zake za kampeni pasina kuwa na baraka za Chama badala ya viongozi wa Chadema jambo ambalo limeleta maudhi makubwa kwenye Chadema".

Kwa mujibu wa tetesi hizi huenda Chadema wanaandaa mipango ya kumtema Tundu Lissu kwenye Chama lakini katika hali ambayo haitaleta madhara kwenye chama.

Kwenu Wadau.

PIA SOMA
- DODOMA: Tundu Lissu ajeruhiwa kwa risasi, akimbizwa Hospitali
 
Huu ni kama umbea tu! Leta habari rasmi ambazo hazina umbeaumbea
 
Baada ya kamata kamata ya makosa ya uhaini na uchochezi tunaona Tundu Lissu amekuwa kimya na hasemi chochote., tunaulizana kama labda amerudi kwa daktari wake belgium kupata matibabu maana tumemzoea akichakarishiwa kidogo anapita mlango nyuma kisingizio ni daktari wake amempigia simu arudi belgium haraka.

On top of that, tunazo taarifa Tundu Antipus Lissu haziendi na Chadema na kwamba ile mikutano anayofanya na kumtusi Mama kwenye majukwaa haina baraka za Mbowe wala Chadema kwa ujumla, Nimemsikia Chadema mmoja kiongozi wa juu akisema "Tundu Lissu anatuharibia chama na ile mikutano anayofanya si ya kichama anaigaramia mwenye kukichafua Chama.

Lakini pia baada ya kuhojiana chadema huyo pia kakiri kwamba "Chadema haina tena mpango wa kumpitia Lissu kugombea tena urais sababu uchaguzi uliopita Tundu Lissu alikuwa na watu ambao aliwaeka karibu kwenye route zake za kampeni pasina kuwa na baraka za Chama badala ya viongozi wa Chadema jambo ambalo limeleta maudhi makubwa kwenye Chadema".

Kwa mujibu wa tetesi hizi huenda Chadema wanaandaa mipango ya kumtema Tundu Lissu kwenye Chama lakini katika hali ambayo haitaleta madhara kwenye chama.

Kwenu Wadau.
Hivi wewe hilo likichwa lako ulipewa kwa ajili ya kufugia nywele tu? Chsngamsha mdomo wako kujitetea bila kumsubiri Lissu ambaye si msemaji wetu.
 
Baada ya kamata kamata ya makosa ya uhaini na uchochezi tunaona Tundu Lissu amekuwa kimya na hasemi chochote., tunaulizana kama labda amerudi kwa daktari wake belgium kupata matibabu maana tumemzoea akichakarishiwa kidogo anapita mlango nyuma kisingizio ni daktari wake amempigia simu arudi belgium haraka.

On top of that, tunazo taarifa Tundu Antipus Lissu haziendi na Chadema na kwamba ile mikutano anayofanya na kumtusi Mama kwenye majukwaa haina baraka za Mbowe wala Chadema kwa ujumla, Nimemsikia Chadema mmoja kiongozi wa juu akisema "Tundu Lissu anatuharibia chama na ile mikutano anayofanya si ya kichama anaigaramia mwenye kukichafua Chama.

Lakini pia baada ya kuhojiana chadema huyo pia kakiri kwamba "Chadema haina tena mpango wa kumpitia Lissu kugombea tena urais sababu uchaguzi uliopita Tundu Lissu alikuwa na watu ambao aliwaeka karibu kwenye route zake za kampeni pasina kuwa na baraka za Chama badala ya viongozi wa Chadema jambo ambalo limeleta maudhi makubwa kwenye Chadema".

Kwa mujibu wa tetesi hizi huenda Chadema wanaandaa mipango ya kumtema Tundu Lissu kwenye Chama lakini katika hali ambayo haitaleta madhara kwenye chama.

Kwenu Wadau.
Haikuhusu
 
Kichwa kimoja tu cha Tundu Lissu, ni sawa na vichwa vya Wabunge wote wa si si emu. Na kama huamini, shauri yako.
 
Leo parokiani kwetu, kulikuwa na sadaka ya ziada kwaajili ya kuwapongeza Maaskofu kwa kutuletea waraka
 
Baada ya kamata kamata ya makosa ya uhaini na uchochezi tunaona Tundu Lissu amekuwa kimya na hasemi chochote., tunaulizana kama labda amerudi kwa daktari wake belgium kupata matibabu maana tumemzoea akichakarishiwa kidogo anapita mlango nyuma kisingizio ni daktari wake amempigia simu arudi belgium haraka.

On top of that, tunazo taarifa Tundu Antipus Lissu haziendi na Chadema na kwamba ile mikutano anayofanya na kumtusi Mama kwenye majukwaa haina baraka za Mbowe wala Chadema kwa ujumla, Nimemsikia Chadema mmoja kiongozi wa juu akisema "Tundu Lissu anatuharibia chama na ile mikutano anayofanya si ya kichama anaigaramia mwenye kukichafua Chama.

Lakini pia baada ya kuhojiana chadema huyo pia kakiri kwamba "Chadema haina tena mpango wa kumpitia Lissu kugombea tena urais sababu uchaguzi uliopita Tundu Lissu alikuwa na watu ambao aliwaeka karibu kwenye route zake za kampeni pasina kuwa na baraka za Chama badala ya viongozi wa Chadema jambo ambalo limeleta maudhi makubwa kwenye Chadema".

Kwa mujibu wa tetesi hizi huenda Chadema wanaandaa mipango ya kumtema Tundu Lissu kwenye Chama lakini katika hali ambayo haitaleta madhara kwenye chama.

Kwenu Wadau.
USITUTOE KWENYE TAMKO LA TEC
 
Lessu tangu amesikia Dr.slaa na mdude wamekamatwa kesho yake kapanda ndege huyoo ulaya. Familia yake bado inamuhitaji lema nae anajiandaa kurudi nchini kwake Canada

Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
 
Baada ya kamata kamata ya makosa ya uhaini na uchochezi tunaona Tundu Lissu amekuwa kimya na hasemi chochote., tunaulizana kama labda amerudi kwa daktari wake belgium kupata matibabu maana tumemzoea akichakarishiwa kidogo anapita mlango nyuma kisingizio ni daktari wake amempigia simu arudi belgium haraka.

On top of that, tunazo taarifa Tundu Antipus Lissu haziendi na Chadema na kwamba ile mikutano anayofanya na kumtusi Mama kwenye majukwaa haina baraka za Mbowe wala Chadema kwa ujumla, Nimemsikia Chadema mmoja kiongozi wa juu akisema "Tundu Lissu anatuharibia chama na ile mikutano anayofanya si ya kichama anaigaramia mwenye kukichafua Chama.

Lakini pia baada ya kuhojiana chadema huyo pia kakiri kwamba "Chadema haina tena mpango wa kumpitia Lissu kugombea tena urais sababu uchaguzi uliopita Tundu Lissu alikuwa na watu ambao aliwaeka karibu kwenye route zake za kampeni pasina kuwa na baraka za Chama badala ya viongozi wa Chadema jambo ambalo limeleta maudhi makubwa kwenye Chadema".

Kwa mujibu wa tetesi hizi huenda Chadema wanaandaa mipango ya kumtema Tundu Lissu kwenye Chama lakini katika hali ambayo haitaleta madhara kwenye chama.

Kwenu Wadau.

Buku 7 FC At Work.
 
Twatamani tumuone Lissu kwenye mikutano yake binafsi maana haziivi tena na Mbowe na Chadema

Nafikiri una matatizo mengi sana yanakusibu kuacha Tundu Lisu na Chadema
 
Back
Top Bottom