Tundu Lissu amerudi Ubelgiji kwa daktari wake?

Tundu Lissu amerudi Ubelgiji kwa daktari wake?

Nafikiri una matatizo mengi sana yanakusibu kuacha Tundu Lisu na Chadema
Tulitamani kuwa rais wa JMT kupitia Chadema sasa chama kimepasuka, mada ni Tundu Lissu yuko wapi na ile mikutano yake binafsi
 
Baada ya kamata kamata ya makosa ya uhaini na uchochezi tunaona Tundu Lissu amekuwa kimya na hasemi chochote., tunaulizana kama labda amerudi kwa daktari wake belgium kupata matibabu maana tumemzoea akichakarishiwa kidogo anapita mlango nyuma kisingizio ni daktari wake amempigia simu arudi belgium haraka.

On top of that, tunazo taarifa Tundu Antipus Lissu haziendi na Chadema na kwamba ile mikutano anayofanya na kumtusi Mama kwenye majukwaa haina baraka za Mbowe wala Chadema kwa ujumla, Nimemsikia Chadema mmoja kiongozi wa juu akisema "Tundu Lissu anatuharibia chama na ile mikutano anayofanya si ya kichama anaigaramia mwenye kukichafua Chama.

Lakini pia baada ya kuhojiana chadema huyo pia kakiri kwamba "Chadema haina tena mpango wa kumpitia Lissu kugombea tena urais sababu uchaguzi uliopita Tundu Lissu alikuwa na watu ambao aliwaeka karibu kwenye route zake za kampeni pasina kuwa na baraka za Chama badala ya viongozi wa Chadema jambo ambalo limeleta maudhi makubwa kwenye Chadema".

Kwa mujibu wa tetesi hizi huenda Chadema wanaandaa mipango ya kumtema Tundu Lissu kwenye Chama lakini katika hali ambayo haitaleta madhara kwenye chama.

Kwenu Wadau.
Rubbish
 
Ashafulia huyo atulie tu aachane na propaganda za siasa!
 
Baada ya kamata kamata ya makosa ya uhaini na uchochezi tunaona Tundu Lissu amekuwa kimya na hasemi chochote., tunaulizana kama labda amerudi kwa daktari wake belgium kupata matibabu maana tumemzoea akichakarishiwa kidogo anapita mlango nyuma kisingizio ni daktari wake amempigia simu arudi belgium haraka.

On top of that, tunazo taarifa Tundu Antipus Lissu haziendi na Chadema na kwamba ile mikutano anayofanya na kumtusi Mama kwenye majukwaa haina baraka za Mbowe wala Chadema kwa ujumla, Nimemsikia Chadema mmoja kiongozi wa juu akisema "Tundu Lissu anatuharibia chama na ile mikutano anayofanya si ya kichama anaigaramia mwenye kukichafua Chama.

Lakini pia baada ya kuhojiana chadema huyo pia kakiri kwamba "Chadema haina tena mpango wa kumpitia Lissu kugombea tena urais sababu uchaguzi uliopita Tundu Lissu alikuwa na watu ambao aliwaeka karibu kwenye route zake za kampeni pasina kuwa na baraka za Chama badala ya viongozi wa Chadema jambo ambalo limeleta maudhi makubwa kwenye Chadema".

Kwa mujibu wa tetesi hizi huenda Chadema wanaandaa mipango ya kumtema Tundu Lissu kwenye Chama lakini katika hali ambayo haitaleta madhara kwenye chama.

Kwenu Wadau.
Lissu alitegemea ndio aogoze mikutano ya hadhara ila mwenyekiti aligoma anataka mimitano ya hadhara Lissu na Lema wapewe uwanja sawa.Si mnajua kuwa mzee Mbowe kagoma kukabidhi uwenyekiti kwa mtu ambae sio wa kaskazini?
 
Twatamani tumuone Lissu tena kwenye mikutano yake binafsi maana Mbowe haziivi tena
Lisu anaogopa kuhama chama kwa maana sio rahisi kuwavuta kwenye kundi wachagga waliojazana pale CDM.Mzee Lissu kaamua kuishi nao kwa mashaka tu hadi mwisho wa maisha yake kisiasa
 
Alijimaliza siku ile alivyoanza tena kumchafua Magu. Ikumbukwe mwanzo waliporuhusiwa kuanza mikutano walianza na ajenda ya JPM wote kwa pamoja. Kuanzia Lissu,Mbowe hadi Lema.

Walipoona wanapotea na kudharauliwa na wananchi tukaona wamepoteana..Lissu kwake, Mbowe kwake na Lema kwake.

Baada ya ishu ya bandari wakaibuka tena Mbowe akiwa na +255 huku Lissu akikomaa na ishu ya bandari na kuzidi kujiimarisha kwa umaarufu kuliko hata Mbowe na +255 yake.

Huyu Lissu akaingia choo cha kike akijaribu kupima tena upepo wa marehemu..kilichotokea ni kunuka sasa kila anapopita..hakuna wa kumfuata wala kumsikiliza..hatimaye hajulikani hata yupo wapi.

Ikumbukwe toka sekeseke lilipoanza haikupita siku bila mikutano ya Lissu kurushwa humu hadi pale alipojinyea.
 
Baada ya kamata kamata ya makosa ya uhaini na uchochezi tunaona Tundu Lissu amekuwa kimya na hasemi chochote., tunaulizana kama labda amerudi kwa daktari wake belgium kupata matibabu maana tumemzoea akichakarishiwa kidogo anapita mlango nyuma kisingizio ni daktari wake amempigia simu arudi belgium haraka.

On top of that, tunazo taarifa Tundu Antipus Lissu haziendi na Chadema na kwamba ile mikutano anayofanya na kumtusi Mama kwenye majukwaa haina baraka za Mbowe wala Chadema kwa ujumla, Nimemsikia Chadema mmoja kiongozi wa juu akisema "Tundu Lissu anatuharibia chama na ile mikutano anayofanya si ya kichama anaigaramia mwenye kukichafua Chama.

Lakini pia baada ya kuhojiana chadema huyo pia kakiri kwamba "Chadema haina tena mpango wa kumpitia Lissu kugombea tena urais sababu uchaguzi uliopita Tundu Lissu alikuwa na watu ambao aliwaeka karibu kwenye route zake za kampeni pasina kuwa na baraka za Chama badala ya viongozi wa Chadema jambo ambalo limeleta maudhi makubwa kwenye Chadema".

Kwa mujibu wa tetesi hizi huenda Chadema wanaandaa mipango ya kumtema Tundu Lissu kwenye Chama lakini katika hali ambayo haitaleta madhara kwenye chama.

Kwenu Wadau.
mmeshikwa pabaya
 
Baada ya kamata kamata ya makosa ya uhaini na uchochezi tunaona Tundu Lissu amekuwa kimya na hasemi chochote., tunaulizana kama labda amerudi kwa daktari wake belgium kupata matibabu maana tumemzoea akichakarishiwa kidogo anapita mlango nyuma kisingizio ni daktari wake amempigia simu arudi belgium haraka.

On top of that, tunazo taarifa Tundu Antipus Lissu haziendi na Chadema na kwamba ile mikutano anayofanya na kumtusi Mama kwenye majukwaa haina baraka za Mbowe wala Chadema kwa ujumla, Nimemsikia Chadema mmoja kiongozi wa juu akisema "Tundu Lissu anatuharibia chama na ile mikutano anayofanya si ya kichama anaigaramia mwenye kukichafua Chama.

Lakini pia baada ya kuhojiana chadema huyo pia kakiri kwamba "Chadema haina tena mpango wa kumpitia Lissu kugombea tena urais sababu uchaguzi uliopita Tundu Lissu alikuwa na watu ambao aliwaeka karibu kwenye route zake za kampeni pasina kuwa na baraka za Chama badala ya viongozi wa Chadema jambo ambalo limeleta maudhi makubwa kwenye Chadema".

Kwa mujibu wa tetesi hizi huenda Chadema wanaandaa mipango ya kumtema Tundu Lissu kwenye Chama lakini katika hali ambayo haitaleta madhara kwenye chama.

Kwenu Wadau.
Mhh afu utakuta ni mtoto wa kiume uyu...anawaza umbea tu, ila kama ww ni ashura aua Fatuma sio kosa lako coz labda una stress hujapata bwana
 
Baada ya kamata kamata ya makosa ya uhaini na uchochezi tunaona Tundu Lissu amekuwa kimya na hasemi chochote., tunaulizana kama labda amerudi kwa daktari wake belgium kupata matibabu maana tumemzoea akichakarishiwa kidogo anapita mlango nyuma kisingizio ni daktari wake amempigia simu arudi belgium haraka.

On top of that, tunazo taarifa Tundu Antipus Lissu haziendi na Chadema na kwamba ile mikutano anayofanya na kumtusi Mama kwenye majukwaa haina baraka za Mbowe wala Chadema kwa ujumla, Nimemsikia Chadema mmoja kiongozi wa juu akisema "Tundu Lissu anatuharibia chama na ile mikutano anayofanya si ya kichama anaigaramia mwenye kukichafua Chama.

Lakini pia baada ya kuhojiana chadema huyo pia kakiri kwamba "Chadema haina tena mpango wa kumpitia Lissu kugombea tena urais sababu uchaguzi uliopita Tundu Lissu alikuwa na watu ambao aliwaeka karibu kwenye route zake za kampeni pasina kuwa na baraka za Chama badala ya viongozi wa Chadema jambo ambalo limeleta maudhi makubwa kwenye Chadema".

Kwa mujibu wa tetesi hizi huenda Chadema wanaandaa mipango ya kumtema Tundu Lissu kwenye Chama lakini katika hali ambayo haitaleta madhara kwenye chama.

Kwenu Wadau.
Punguza porojo
Lissu anawanyima usingizi
 
Back
Top Bottom