Uchaguzi 2020 Tundu Lissu ametufumbua macho na kutujaza kujiamini kuwa Tanzania hii ni mali ya watanzania wote

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu ametufumbua macho na kutujaza kujiamini kuwa Tanzania hii ni mali ya watanzania wote

Kwa kweli huwezi amini eti watanzania mamilioni tulikuwa tumemwachia Mungu tu🤣🤣🤣
Ni kichekesho kinachoumiza!!
 
Kwa kweli huwezi amini eti watanzania mamilioni tulikuwa tumemwachia Mungu tu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ni kichekesho kinachoumiza!!
Mungu ni mwema siku zote na sasa kasha tuondolea makando kando yote sasa tunaona lipi baya na zuri
 
Mungu tunakuomba uzidi kumtia nguvu mh Lissu ili atuvushe huu mto wenye kila mateso
 
Wewe kiboko kwa kunusa fursa nyalandu alikua hatoi kitu ghafla umegeuza uelekeo umehamia kwa Lissu!
Kuwa na adabu wewe lumumba, sema Mh Lissu maana huyo ndiye rais wako wa awamu ya 6.
photo%20266%2012-18-0.jpg
 
Wewe kiboko kwa kunusa fursa nyalandu alikua hatoi kitu ghafla umegeuza uelekeo umehamia kwa Lissu!
Usiwapangie watu vya kufanya wewe nzi wa lumumba.mbona wewe ulimwita lowasa fisadi na sasa ni shujaa hapo Lumumba?
 
Tangu ametoka kwenye tanuru la mateso makali na kubezwa na kukashifiwa na kuitwa majina mabaya ya kila aina hapa duniani.

Amekuwa ni mtu wa kufurahia sana kila anapokuwa anazungumzia hayo madhila yake aliyopitia, anafurahi muda wote.

Amezidi kuimarika zaidi kwa kujiamini kwa kila jambo analolifanya na hivyo kulisimamia, kitu uoga kwake imekuwa ni kitendawili.

Ameweza kuwa kiongozi wa mfano mzuri kwa watanzania kwa kutokuwa na moyo wa malipizi, sifa ambayo wanayo viongozi wateule tu.

Ametuonyesha kuwa hakuna kisichowezekana, ametufumbua macho na kutujaza kujiamini kuwa Tanzania hii ni mali ya watanzania wote.

Hakika mh Lissu ni mtume wa kulikomboa taifa letu, atatuvusha bahari ya matatizo na machungu ya maisha na kutuingiza kwenye nchi ya asali na maziwa.

TWENDE NA LISSU, TUMCHAGUE LISSU.

ANATUFAA WATANZANIA.

View attachment 1549253
Inatagemea umri wako muandishi na makuzi uliyopitia si ajabu ulichoandika
 
Back
Top Bottom