Uchaguzi 2020 Tundu Lissu amewasilisha barua kwa Katibu Mkuu wa CHADEMA kuomba kuteuliwa kugombea Urais wa Tanzania

Hivi mkuu battery ya kwenye moyo huwa inachajiwaje au haiishi chaji, Nini kitatokea kama itaisha chaji
 
Ohooo Lissu tena sasa mambo yanakwenda Kia magumu - sasa nasema kampeni hamna...tukutane siku ya uchaguzi Jumapili 25th October 2020...Corona bado ipo...pigeni nyungu!! Kaeni mbalimbali, vaeni barakoa....
 
Akitiwa hatiani na kesi hata moja anakosa sifa kwikwikwikwi
Unaona ulivyo mpuuzi; wewe unadhani wananchi hawaoni maigizo hayo?

Nchi hii wananchi wameamua kuikomboa kutoka kwa maharamia waliyoivamia kupitia chama kilichojijengea heshima kubwa duniani na sasa kukivuruga kabisa.
 
Huyo saizi yake kwasasa ni kugombea ukatibu kwa vyama vya kiadispora huko aliko aendelee kuuguza mguu.siasa za hapa yuko knocked out
 
Lissu anataka aingie kwenye historia kuwa naye aligombea urais sijui atagombea hapa au atagombea akiwa nje kosa kubwa ni kukosa uzalendo hasa pale aliposapoti mahusiano ya jinsia moja
 
Lissu aache tamaa ya madaraka, ataongozaje nchi na huo ulemavu?

Wachaga wanamtumia kama walivyowatumia kina Silinde, Lijualikali, Prof Safari, Lwakatare.
Mbona taahira ameweza kuongoza? Ije iwe ulemavu wa mguu? Watendee haki walemavu aisee!
 
Sasa nitapiga kura maana nimepata matumaini! Lissu oyeee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…