Uchaguzi 2020 Tundu Lissu amewasilisha barua kwa Katibu Mkuu wa CHADEMA kuomba kuteuliwa kugombea Urais wa Tanzania

Lisu ni unfit hawezi kuwa amiri jeshi mkuu ,atakagua gwalide anachechemea na kukata viono
Utakuwa mtoto wewe kibaki 2002 hapo Kenya aliapishwa na kukagua gwaride akiwa kwenye wheelchair
 
Hapo sawa maamuzi sahii Mr President lisu
 
Upande wa pili wataanza kupandisha pressure
 
Huyo ndiyo kiboko ya Jiwe. Mtu na mtesi kwenye mpambano,raha sana ni amsha amsha kwa kwenda mbele.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…