Yawezekana ila wapo ndani ya box hawana neno,wanajaribu kuwa Neutral na CCM wanafahamu kuwa hawana madhara.Wameufyata!
Tusidanganyike,kuna pande mbili tu katika Tanganyika nazo ni CCM vs Wananchi au watetezi wa CCM na wapinzani wa CCM au ukipenda tunaodai Katiba Mpya vs CCM &Serikali.
Katiba Mpya ya Wananchi ni Sasa.