Tundu Lissu amjibu Biswalo Mganga kuhusu madai yake kuwa ni kosa la jinai kuongeza maneno kwenye Wimbo wa Taifa

Hili nalifahamu
 
Nimemsikiliza vizuri sana Biswalo Mganga akihojiwa na Farhia wa ITV , huyu jamaa kichwani hamna kitu kabisa !

Hivi anapataje vyeo vikubwa mtu kama Biswalo Mganga , ni mweupe kuliko karatasi yaani !!
MWENYEZI MUNGU hana choyo yeye utoa bila vigezo ndio mana mtu kama biswalo anapata cheo kikubwa ni kwa uwezo wa MUNGU mpaji wa yote.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…