Ccm na viongozi wao hiyo misaada wanayotoa ni fedha za wananchi walizopora hivyo wanawarudishia kilicho chao!Mwenye video au picha Tundu Lisu akitoa msaada wa hela au chochote anitumie.
Huyu mtu anajua kula tu
Tundu Lissu hana kitu cha kuwarudisha kwasababu hajawapora!