harder king
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 3,970
- 6,907
Msajili yeye aendelee tu na kiherehere.Huyo Lissu naye apunguze kiherehere...
raha ni pale unapomchoma MTU sindano kisha anaguna,lisu ni nomaHuyo Lissu naye apunguze kiherehere...
Na wewe si ungempuuza tu huyo Lisu.Sasa huyo Lissu si angempuuza tu huyo jaji...
Lissu naye kama Trump tu.
..but Mutungi fired first.
Sasa kama ni madogo kwa nini mgombea wenu anahangaika nayo?..huyu Msajili hana kazi za kufanya ndiyo maana anashughulika na mambo madogo-madogo.
Kwanini?Huyo Lissu naye apunguze kiherehere...
So? Kwa hiyo Mutungi akiwa wa kwanza kula kinyesi Lissu naye ataiga?
Sasa kama ni madogo kwa nini mgombea wenu anahangaika nayo?
Kwa sababu.Kwanini?
Ila lisuu anapenda saana majibizano
Hicho ndicho alichokisomea.Ila lisuu anapenda saana majibizano
Weko ugoko,niweke jiwe.tit 4 tat.Ila lisuu anapenda saana majibizano
Exactly!..Mutungi ameyakuza.
..but, I see your point kuwaTL angeweza kumdharau na kuacha kumjibu.
Kama hawavunji sheria,tatizo liko wapi?Wakati mwingine Chadema nao wanatafuta shari ambazo zinaweza kabisa kudhibitika..
Kwani wasingeimba hivyo walivyoimba wangepungukiwa nini?? Au ndio kujua washashindwa so wanatafuta sababu tu
Wanamrisha
Inaonekana jaji mstaafu ni ndugu yako!Nawe waniuliza kwa sheria ipi?
Cha kusikitisha huyo Mutungi ni Jaji, Sasa sijui ni watu wangapi wanaonewa na majaji uchwara...mwenye kiherehere ni Jaji Mutungi.
..amelikuza jambo ambalo hakuna mtu alikuwa na habari nalo.
Apunguze kiherehere kwa sheria ipi ?
Acheni viherehere[emoji41]Nawe waniuliza kwa sheria ipi?