Pre GE2025 Tundu Lissu amteua John Mnyika kuwa Katibu Mkuu. Ateua Manaibu Katibu Wakuu na Wajumbe wa Kamati Kuu
Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mwenyekiti Mpya wa CHADEMA, Tundu Lissu akiwa kwenye Mkutano wa Baraza Kuu la Chama ambalo limekutana leo Jumatano, Januari 22, 2025 katika ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es Salaam, ameanza kupanga safu yake ya uongozi kwa Kuteua Katibu Mkuu, Manaibu Katibu Wakuu pamoja na wajumbe wa Kamati Kuu.

Mh. Tundu Lissu amefanya uteuzi kama ifuatavyo

Katibu Mkuu
1. John John Mnyika

Manaibu Katibu Mkuu
1. Aman Golugwa - Naibu Katibu Mkuu Tanganyika (Tanzania Bara)
2. Wakili Ally Ibrahim Juma - Naibu Katibu Mkuu Zanzibar

Wajumbe wa Kamati Kuu
1. Godbless Lema
2. Dkt. Rugemeleza Nshala - Mwanasheria Mkuu wa Chama
3. Rose Mayemba
4. Salma Musa Kasanzu
5. Hafidh Ally Salehe

Pia soma
- Freeman Mbowe akubali kushindwa, awapongeza Lissu na Heche kwa ushindi


View: https://www.youtube.com/live/n57Tc7XtINo

Wapi Wakili Msomi Peter Kibatala ?
 
Kigalla arudi kwenye ualimu wake wa upe tu huko dodoma.
 
Salim Mwalimu ana kimeo cha covid 19.

Hatimae hiki kimeo cha COVID 19 kimepata suluhisho la milele kwani itakuwa ngumu Sana kurudi ndani ya chama kwani Godfather wao ni out na wale wanaume wawili wenye COVID 2 Bungeni nao out
 
Mwenyekiti Mpya wa CHADEMA, Tundu Lissu akiwa kwenye Mkutano wa Baraza Kuu la Chama ambalo limekutana leo Jumatano, Januari 22, 2025 katika ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es Salaam, ameanza kupanga safu yake ya uongozi kwa Kuteua Katibu Mkuu, Manaibu Katibu Wakuu pamoja na wajumbe wa Kamati Kuu.

Mh. Tundu Lissu amefanya uteuzi kama ifuatavyo

Katibu Mkuu
1. John John Mnyika

Manaibu Katibu Mkuu
1. Aman Golugwa - Naibu Katibu Mkuu Tanganyika (Tanzania Bara)
2. Wakili Ally Ibrahim Juma - Naibu Katibu Mkuu Zanzibar

Wajumbe wa Kamati Kuu
1. Godbless Lema
2. Dkt. Rugemeleza Nshala - Mwanasheria Mkuu wa Chama
3. Rose Mayemba
4. Salma Musa Kasanzu
5. Hafidh Ally Salehe

Pia soma
- Freeman Mbowe akubali kushindwa, awapongeza Lissu na Heche kwa ushindi


View: https://www.youtube.com/live/n57Tc7XtINo

Pongezi kubwa kwako mh Tundu Antipas kwa ushindi na upangaji wa safu mpya. Ubarikiwe sana mwamba, Mungu yu pamoja nawe. Amen.
 
Nilimsikia Januari Makamba anasema juzi Dodoma kwamba Makamu Mwenyekiti wa Chama anafanya kazi nyepesi ila mtendaji Mkuu wa Chama ni Katibu Mkuu.

Kwa hiyo kama mtendaji Mkuu ni Katibu Mkuu,ina maana Tundu Lissu lazima aje na wasaidizi wapya.

Halafu,wakati huu baada ya Uchaguzi,ni wakati wa kukiunganisha Chama.

ALWAYS hotuba ya kwanza inahusu malengo mapya ya kiongozi mpya pamoja na kuunganisha Chama kwa sababu ya rift iliyotokea wakati wa Kampeni.

Huu siyo wakati wa triumphalism kwa kiongozi mpya.

No fear. No triumphalism.
 
Nilimsikia Januari Makamba anasema juzi Dodoma kwamba Makamu Mwenyekiti wa Chama anafanya kazi nyepesi ila mtendaji Mkuu wa Chama ni Katibu Mkuu.
Kwa hiyo kama mtendaji Mkuu ni Katibu Mkuu,ina maana Tundu Lissu lazima aje na wasaidizi wapya.
Halafu,wakati huu baada ya Uchaguzi,ni wakati wa kukiunganisha Chama.
ALWAYS hotuba ya kwanza inahusu malengo mapya ya kiongozi mpya pamoja na kuunganisha Chama kwa sababu ya rift iliyotokea wakati wa Kampeni.
Huu siyo wakati wa triumphalism kwa kiongozi mpya.
No fear. No triumphalism.
ni sawa gentleman,
ni muhimu kuwaheshimu na wengine wanamuunga mkono 🐒
 
Back
Top Bottom