Stroke
JF-Expert Member
- Feb 17, 2012
- 37,630
- 47,434
Board nini??Hivi hizi nywele za board guard mnaziona lakini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Board nini??Hivi hizi nywele za board guard mnaziona lakini?
MShikamano chamani umejaaa koo.Katibu Mkuu bado ni John Mnyika
Mwenyekiti Mpya wa CHADEMA, Tundu Lissu akiwa kwenye Mkutano wa Baraza Kuu la Chama ambalo limekutana leo Jumatano, Januari 22, 2025 katika ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es Salaam, ameanza kupanga safu yake ya uongozi kwa Kuteua Katibu Mkuu, Manaibu Katibu Wakuu pamoja na wajumbe wa Kamati Kuu.
Mh. Tundu Lissu amefanya uteuzi kama ifuatavyo
Katibu Mkuu
1. John John Mnyika
Manaibu Katibu Mkuu
1. Aman Golugwa - Naibu Katibu Mkuu Tanganyika (Tanzania Bara)
2. Wakili Ally Ibrahim Juma - Naibu Katibu Mkuu Zanzibar
Wajumbe wa Kamati Kuu
1. Godbless Lema
2. Dkt. Rugemeleza Nshala - Mwanasheria Mkuu wa Chama
3. Rose Mayemba
4. Salma Musa Kasanzu
5. Hafidh Ally Salehe
Pia soma
- Freeman Mbowe akubali kushindwa, awapongeza Lissu na Heche kwa ushindi
View: https://www.youtube.com/live/n57Tc7XtINo
Salim Mwalimu ana kimeo cha covid 19.
PhD Harvard UniversityMwenye wasifu wake tafadhali....
Huyu ndio alikuwa alijotoaga ufahamu kama chawa namba moja wa mzee MboweKigalla arudi kwenye ualimu wake wa upe tu huko dodoma.
Lissu ni kiongozi wa hiki chama zaidi ya miaka ishirini ,hiyo chadema mpya ndio ipi hiyo?Chadema mpyaa
LimekuchomaLissu ni kiongozi wa hiki chama zaidi ya miaka ishirini ,hiyo chadema mpya ndio ipi hiyo?
Mwenyekiti Mpya wa CHADEMA, Tundu Lissu akiwa kwenye Mkutano wa Baraza Kuu la Chama ambalo limekutana leo Jumatano, Januari 22, 2025 katika ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es Salaam, ameanza kupanga safu yake ya uongozi kwa Kuteua Katibu Mkuu, Manaibu Katibu Wakuu pamoja na wajumbe wa Kamati Kuu.
Mh. Tundu Lissu amefanya uteuzi kama ifuatavyo
Katibu Mkuu
1. John John Mnyika
Manaibu Katibu Mkuu
1. Aman Golugwa - Naibu Katibu Mkuu Tanganyika (Tanzania Bara)
2. Wakili Ally Ibrahim Juma - Naibu Katibu Mkuu Zanzibar
Wajumbe wa Kamati Kuu
1. Godbless Lema
2. Dkt. Rugemeleza Nshala - Mwanasheria Mkuu wa Chama
3. Rose Mayemba
4. Salma Musa Kasanzu
5. Hafidh Ally Salehe
Pia soma
- Freeman Mbowe akubali kushindwa, awapongeza Lissu na Heche kwa ushindi
View: https://www.youtube.com/live/n57Tc7XtINo
Aliwezaje kuwa Rais wa TLS?Mwanasheria anaitwa " Nshala" kesi mtashinda vipi ?
Lema MweneziTungeenda na Lema, Mnyika kafanya kazi nzuri ila ilifaa apumzike kwanza.
sheria haina siasa, ni sheriaKwa kweli. Nshala Hana usiasa.
Ni kweli. Anastahili kuendelea. Mungu ambariki.Amepiga kazi sana...
ni sawa gentleman,Nilimsikia Januari Makamba anasema juzi Dodoma kwamba Makamu Mwenyekiti wa Chama anafanya kazi nyepesi ila mtendaji Mkuu wa Chama ni Katibu Mkuu.
Kwa hiyo kama mtendaji Mkuu ni Katibu Mkuu,ina maana Tundu Lissu lazima aje na wasaidizi wapya.
Halafu,wakati huu baada ya Uchaguzi,ni wakati wa kukiunganisha Chama.
ALWAYS hotuba ya kwanza inahusu malengo mapya ya kiongozi mpya pamoja na kuunganisha Chama kwa sababu ya rift iliyotokea wakati wa Kampeni.
Huu siyo wakati wa triumphalism kwa kiongozi mpya.
No fear. No triumphalism.