Pre GE2025 Tundu Lissu amteua John Mnyika kuwa Katibu Mkuu. Ateua Manaibu Katibu Wakuu na Wajumbe wa Kamati Kuu
Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Hapana. Anastahili. Ni mtu ninayemfahamu.
ni kweli kabisa, mnyika bado anafaa sana kuendelea kuwepo kwenye top management
Tungeenda na Lema, Mnyika kafanya kazi nzuri ila ilifaa apumzike kwanza.
mnyika bado anafaa sana, hata kabla ya uteuzi huu mimi binafsi nilitoa comment humu mtandaoni kwamba tundu lisu asimuache john mnyika.
 
Pole sana kwa walutheri wakiwemo askofu Shoo na Bagonza na waprotestant akina Askofu Mwamakula na walokole akina Askofu Mwanamapinduzi chama chenu cha Chadema wakatoliki wamechukua hatamu za chama kiko chini ya wakatoliki Lisu na Mnyika

Pole ziwafikie pia chama cha Christian Democrstic Union cha Ujerumani baba mlezi wa hiari wa Chadema kwa miaka nenda rudi
Duh 🙄 binadamu wengine ni kama wasted sperm
 
Back
Top Bottom