Man over woman
Member
- Jan 10, 2025
- 40
- 71
Ni ngumu reminds you Lema anapambana ili kutetea kauli yake ya FAM must GoAnamuamini vipi kama ataingiwa na roho ya ukabila manuever yakifanyika FAM ashinde?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni ngumu reminds you Lema anapambana ili kutetea kauli yake ya FAM must GoAnamuamini vipi kama ataingiwa na roho ya ukabila manuever yakifanyika FAM ashinde?
anamuamimije mkazikazini ndugu yake na FAM, je akiamua kumbamiza chini ili kulinda cheo cha ndugu yeke?Tayari amesha pigwa mapema sana...
Mungu na ambariki Lema kama atasimamia ukweliNi ngumu reminds you Lema anapambana ili kutetea kauli yake ya FAM must Go
Ushindwe!!!Wakati wa kusafirisha kura umeme ukatike uone shughuli inavyoanza
Mimi au mbowe?Ushindwe!!!
Kwanini hawakupiga kura mapema?Wakati wa kusafirisha kura umeme ukatike uone shughuli inavyoanza
U katika USHINDWE inawakilisha wewe, Mbowe, TANESCO na wagaigai wengine ambao wanataka kutia nzi kwenye togwa hapo ukumbini.Mimi au mbowe?
Huo mchezo unauelewa vizuri lakini?U katika USHINDWE inawakilisha wewe, Mbowe, TANESCO na wagaigai wengine ambao wanataka kutia nzi kwenye togwa hapo ukumbini.
Yes asubuhi walikua 900 total was 1200Kwa jicho pevuu huu uchaguzi una ngumi hapo baadae kama sahivi tu kwenye kuhakiki majina watu wanazozana hivi asbuhi wapiga kura walitangazwa kuwa906 kufikia sahivi idadi imepiga u turn ni1007 Mpaka matokeo kutangazwa jumla ya kura ni2000
UnaotaAshapigwa tayari. Lema is mboweee
Na hao wanaotolewa ukumbini Kunani kwenye uhakiki?Yes asubuhi walikua 900 total was 1200
Safi sana. Lissu, heche, LemaMgombea uenyekiti wa CHADEMA Taifa na makamu mwenyekiti anayemaliza muda wake, Tundu Lissu, amemteua Godbless Lema kuwa wakala wake katika uchaguzi unaofanyika leo.
View attachment 3209003
Kuteuliwa kwa Lema, ambaye si mjumbe wa mkutano mkuu kwa sasa, kumetangazwa na Katibu Mkuu wa chama hicho, John Mnyika, leo Jumanne, Januari 21, 2025 katika ukumbi wa Mlimani City, Dar es Salaam.
"Nimepokea barua toka kwa Tundu Lissu akimchagua Godbless Lema kuwa wakala wake kwenye uchaguzi Mkuu, Miongozo ya katiba inamruhusu" - John Mnyika
View attachment 3209007
Akitoa tangazo hilo muda mchache kabla ya uchaguzi huo kuanza, Mnyika amesema suala hilo halivunji kanuni za uchaguzi.
Soma, Pia: Yanayojiri Uchaguzi Mkuu CHADEMA nafasi ya Mwenyekiti & Makamu Mwenyekiti 2025: Ni Mbowe au Lissu?
HahahahAnamuamini vipi kama ataingiwa na roho ya ukabila manuever yakifanyika FAM ashinde?