Kweli Mkuu amebadirika sana mwenye hio I'dWewe
Mwenye ID hii umekuwa tofauti sana na vile ulikuwa una comment miaka kadhaa nyuma. I think ukubwa unakuendea vizuri.
My point is, am happy to see someone mature to a wiser person. Sorry kama itasound vibaya.
Mimi Imhotep nimetokea CCM au ulikuwa haujui?!Una uhakika kwamba CCM ni wala rushwa?
Legend Nimefurahi kukuona.Kuwa yatatokea yaliyotokea NCCR Mageuzi enzi hizo??
Ahaah... basi sawa.Mimi Imhotep nimetokea CCM au ulikuwa haujui?!
Hahahaah kiongozi nipo, huwa napita kimyakimya. Leo nimevuta kiti na kukaa hapa.Legend Nimefurahi kukuona.
Lema ni nabii! manabii hawana Kona Kona maana ni watumishi wa MunguAnamuamini vipi kama ataingiwa na roho ya ukabila manuever yakifanyika FAM ashinde?
Karibu sana Mkuu nilitamani kumuona Masanilo, Yo Yo, Kongosho na The Finest piaHahahaah kiongozi nipo, huwa napita kimyakimya. Leo nimevuta kiti na kukaa hapa.
Tumekimbia RUSHWA CCM ndio maana tuko CHADEMA, na kama CHADEMA ya Mbowe imeamua kuwa chama cha wala RUSHWA basi tutatafuta Platform nyingine.Ahaah... basi sawa.
Hongera sanaTumekimbia RUSHWA CCM ndio maana tuko CHADEMA, na kama CHADEMA ya Mbowe imeamua kuwa chama cha wala RUSHWA basi tutatafuta Platform nyingine.
RUSHWA ni ADUI wa HAKI.
Wewe
Mwenye ID hii umekuwa tofauti sana na vile ulikuwa una comment miaka kadhaa nyuma. I think ukubwa unakuendea vizuri.
My point is, am happy to see someone mature to a wiser person. Sorry kama itasound vibaya.
Mbowe hii mbona ipo dhahiri.Sijui huu uchaguzi nani ataibuka mshindi, washindani wametoa hotuba zinazoacha dillema wafuasi wao, ni wamoja, kuna kitu wamekubaliana tu, si bure kushusha temper za wafuasi wao wakubaliane na matokeo yatakayotoka. Kuna namna wamekubaliana
Kosa la kiufundi....!!! Tukutane kwenye matokeo!Tundu Lissu, amemteua Godbless Lema kuwa wakala wake katika uchaguzi unaofanyika leo.
Uzuri kwamba lissu atashindwa huku kibaraka akiwa shahidiHuo uchaguzi sidhani kama utamalizika pasipo ngumi kupigwa.
Lissu imekula kwake!Mwamba kanyooka yule, hana mambo hayo
DuuhMbona umeme ulishakatwa zamani Toka saa tano, jenereta ndio inayotumika labda useme ilindwe maana Mbowe na pro mama Abdul lazima wataihujumu tu.
sawaMbowe hii mbona ipo dhahiri.