Muulize Lissu acha ulopolopo. Lissu aliposema kwa mara ya kwanza kuwa JPM kazima mlibisha, hili la mlinzi wake naye kutangulia mbele za haki, sio jipya, na Rais hana mlinzi mmoja. Mtafute Lissu akutajie jina kama unalihitaji!
Video i wapi mkuu Lusungo ? Tafadhali tuwekee.Halafu mbele ya maaskofu aisee.... ile video kila saa naiangalia nasema hiiiii!
Ndo maana alikua na mambo ya ajabu sana maana mcha Mungu hangeweza simama madhabahuni akawasuta watumishi wa Mungu...
Mtu wa Mungu kweli asingewatesa maaskofu kiasi kile.
Jamaa alikua mshirikina first class
These decisions were made at the very highest levels of government between the two States, so discretely that even Kenya’s Foreign Affairs Ministry was not aware of the arrangements
Magufuli’s air ambulance and an accompanying entourage landed at Wilson Airport on Sunday night, when the runway had already been closed to other planes.
Aliishakujaribu!hata saa mbovu kuna wakati mishale inaangukia penyewe,
ila sio kwei kwamba ina uzima.
Useme tu hujaweza kusoma. Nikutafsirie kwa kiswahili.
Aliishakujaribu!
tunachobishania hapa ni kuwa Mlinzi wa Rais mweusi anayekaa nyuma yake lkn sio Mwanajeshi kuwa kafa na Covid na sio matatizo ya moyo ya karibu muongo mmojaFact: Magulifu aliacha kuonekana kwenye hadhara tangu tarehe 28.02
Fact: Lissu akahoji yuko wapi kwani ana habari za uhakika kuwa ana covid
Fact: Serikali ikiwemo washabiki maandazi kama wewe mkasema ni mzima na anachapa kazi.
Fact: Baadae ikajulikana ni kweli alikuwa mgonjwa kama alivyosema Lissu na amefariki dunia
Therefore: Tutaachaje kumwamini Lissu aliyesema ukweli tangu mwanzoni , tuamini serikali iliyosema uongo tangu mwanzoni?
Tena kiongozi mkubwa kabisa unasema uongo kwenye nyumba ya ibada!!???Mtu mzima tena jinsia ya Kiume kuwa muongo ni hatari sana.
umetema nyongo kukukarakara kisa tu umponde lisuHata kama hajataja jina. Maelezo aliyoyatoa yanaelekeza kwa huyo jamaa.
Lissu ni mropokaji mno.
Huyo hamaa hajafa, yupo. Lissu nampenda na kumkubali ila katika hili amenisikitisha. Haikua na haja ya kutajataja waliokufa na covid matokeo yake kataja na walio hai
Hata hivyo hii haiondoi ukweli wa maelezo yake kuhusu kifo cha magu
Huu ujinga wa kusema mbona viongozi hawavai barakoa na hawaambukizwi ulienea sana mwaka jana. Kilipoingia kimbembe cha ''wave'' la pili lililoondoka na akina Kijazi na Magufuli hatusikii tena huu ujinga. Naona umebaamua kubaki mjinga mmoja. Anyways inaonekana hata corona huijui kwa kuindani ndiyo maana unatoa hoja za kisomo cha watu wazima.tunachobishania hapa ni kuwa Mlinzi wa Rais mweusi anayekaa nyuma yake lkn sio Mwanajeshi kuwa kafa na Covid na sio matatizo ya moyo ya karibu muongo mmoja
je Mbona mpaka leo Walinzi waliobaki hawavai barakoa au kuambukizwa Corona?
Rais wetu Mama Samia Suluhu Hassan mbona hajaambukizwa hiyo Corona?
wapambe na wote wa Hayati JPM hakuna aliyefuata kwa kuambukizwa Corona?
Hebu mtake Tundu Lissu aridhike kuwa Corona haikumuondoa JPM walinzi wote hata wa Mama suluhu mpaka leo hawavai hivyo kusema wameambukizwa?
Kahawa hii hapana usinipatie Mkuu.
1 Pigwa Risasi 2 kosa kataliwa fedha za matibabu kosa 3 Nyang'anywa Ubunge Kosa
Makosa matatu halafu usamehe kijinga? hebu acheni upuuzi.
Mwendazake jee!!Lissu is a sadist
mkuu inatosha inatosha sasa ameelewaUnajua mkuu wabongo wengi comprehension zao ni below margins!
Hebu fikiria huyo kilaza anajumuisha kwanza kisha anakuja uliza swali chini kutaka ujumuisho!
Anamhukumu mwenzie kwa chuki huku akimtuhumu huyo huyo kuwa ana chuki!
Shida ni kwamba hawa pakashume hawana akili za kuanzisha mada kisha wakaweza ficha upuuzi na hisia zao.
Mfano huku chini ameonesha wazi wazi kuwa na chuki na alimwenzishia uzi halafu anataka kujifanya yupo neutral!!
Hawa ndio wanawafanya waafrika wenzao waonekane ni Nyani!
Nipo break point ya kunduchi now njoo unywe bia hapa uache umama.Wewe na wewe bado una moyo wa kupiga bla bla bla hapa! Nyie mlikuwa mnabisha mnasema rais anachapa kazi! Leo umefufuka bibi Josephina Mshumbuzi? Tuambie basi umempa nini Dr mpaka ukamteka akili zake namna ile!
Na hapo haukuwa mjadara wa ana kwa ana lkn bado kakalishwa chini na Prof Lumumba. Ingekuwa wako Live ana kwa ana angekuwa kituko zaidi,maana hana uwezo wa kujenga hoja,huwa anatamani hata kumrukia mtu kichwani. Rejea Kipindi kile wakutanishwe na Balozi Masilingi
Dah....hebu muache Rais wangu mtarajiwa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hata kama hajataja jina. Maelezo aliyoyatoa yanaelekeza kwa huyo jamaa.
Lissu ni mropokaji mno.