Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
alikuwa kiboko yakeMwendazake jee!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
alikuwa kiboko yakeMwendazake jee!!
hahaha sasa umeandika nini na weweNi kweli he seems confused
Mwanzoni nilikuwa namshangaa amekuaje
Lakini nadhani anahitaji msaada,bado ana uchungu sana ila jinsi anavyo pambana na huo uchungu inaonekana kama anapotea
Ukweli ni kwamba asipokuwa makini anajimaliza kisiasa mwenyewe,atafika stage watu watampuuza
Mada kama hizi ndio zinadhihirisha jinsi gani waTanzania tulivyo weupe kwenye mada zinazohitaji matumizi ya akili badala ya mihemko.....
Nipo break point ya kunduchi now njoo unywe bia hapa uache umama.
bado upo kwenye giza kama Tundu Lissu ache tukuache kwani imeshatoka Corona III muulize Odinga hapo Kenya ameponaHuu ujinga wa kusema mbona viongozi hawavai barakoa na hawaambukizwi ulienea sana mwaka jana. Kilipoingia kimbembe cha ''wave'' la pili lililoondoka na akina Kijazi na Magufuli hatusikii tena huu ujinga. Naona umebaamua kubaki mjinga mmoja. Anyways inaonekana hata corona huijui kwa kuindani ndiyo maana unatoa hoja za kisomo cha watu wazima.
Mimi sio mwanasheria, lakini najiuliza je kama kweli Lissu anamuongelea huyo jamaa yako, na kama ni kweli yupo hai ... Je sheria ya Tanzania inaruhusu mtu aliyetenda kosa akiwa Ubelgiji (nchi nyingine) kushtakiwa katika Mahakama za Tanzania. Je atakuwa amevunja sheria za nchi ipi, na atashtakiwa katika mahakama za nchi gani?
Je kama kweli kafariki huyo jamaa (ambaye wote hatujui kama ni yeye anayeongelewa) Lissu atakuwa na kosa gani? Isitoshe kwa sheria za Tanzania Mahakama/Mshtaki ndio watapaswa kuthibitisha kwamba Lissu anamuongelea huyo jamaa na si Lissu ndio athibitishe kwamba hamuongelei huyo jamaa
Kwenye hili suala kuna KAMA, KAMA ... Kuna kama nyingi sana ambazo kwenye sheria hazina nafasi
[emoji1787]
Hakuna jambo gumu kama kujadili siasa humu jamiiforums......uwanja wa siasa umekuwa uwanja wa kutukanana matusi ya nguoni........umeona mkuu!!![emoji16][emoji16]
kuna watu wameona kamanda ameingia chaka,but kwa vile ni kamanda kiongozi basi no way ni kukaa upande wake tu,eti hakumtaja kwa jima[emoji38][emoji38]
siku Tundu Lissu akimuona jamaa aliyemtaja kafa kuwa ni miongoni mwa wanaomlinda Rais Mama Suluhu Hassan hata kwa pembeni tu sijui atafunika wapi miwani yakeShida ya Lissu ameokoteza maneno Twitter
Hii si mara ya kwanza Lissu kuwazulia watu. Jamaa ni muongo muongo.siku Tundu Lissu akimuona jamaa aliyemtaja kafa kuwa ni miongoni mwa wanaomlinda Rais Mama Suluhu Hassan hata kwa pembeni tu sijui atafunika wapi miwani yake
halafu hata barakoa hawana sijui?
View attachment 1740660
Yaani Lijamaa Lako Ulilolipigania Limekufa Yaan.
Limashatangulia wherever it is that they tanguliaring
Nami nimeyatazama mahojiano ya Tundu Lissu na Shaka Ssali kwenye kipindi cha Straight Talk Africa kirushwacho na runinga ya Voice of America.
Bw. Lissu kaongea mambo mengi. Na kama kawaida yake kila apatapo wasaa au fursa ya kufanya hivyo, kwenye mahojiano haya na Shaka, katema nyongo yake dhidi ya Rais Magufuli.
Ila kilicho kamata uangalifu wangu ni madai yake yeye Lissu kuwa eti yule aliyekuwa mlinzi wa Rais Magufuli, naye kafa kwa C-19!
Naamini alikuwa anamzungumzia huyu jamaa. Jamaa ambaye ali stand out kati ya waliokuwa walinzi wa marehemu.
View attachment 1739998
Hii picha hapa chini ni baada ya Magufuli kufariki. Hapa walikuwa kanisani [nadhani ni pale kwa Mtakatifu Petro].
View attachment 1739999
Huyu jamaa mpaka kule Chato nilimuona [kama sijakosea].
Sasa, endapo ni kweli amekufa [iwapo Lissu alimaanisha ni huyu], basi jamaa atakuwa amekufa baada ya tarehe 26, Machi 2021.
Lissu kasema “his security officer...the guy that you see...the dark guy that you see behind him all the time...is dead”
Lakini kwa nini tuandikie mate wakati wino upo? Msikilize mwenyewe ili usiseme labda namzushia au napotosha alichokisema.
Video ya mahojiano ni ndefu. Kwa kuokoa muda, anzia dakika ya 21:10 mpaka 21:36.
Tundu Lissu amechanganyikiwa? Ni nani aliyemwambia kuwa huyo jamaa [kama ndo yeye anayemzungumzia] kafa? Na amekufa lini?
Tuliokuwa tunafuatilia msiba wa Magufuli kwenye runinga tulimuona jamaa. Picha zake nyingi tu za wakati wa msiba zipo mtandaoni na hata humu JF zipo!
How can Tundu Lissu say this so confidently?
Where does he get his information from?
I don’t know about you guys but this is slander.
If I were the guy [don’t know his name], I’d be lawyering up right now, even though Lissu didn’t specifically mention his name, but in my view, the description he gave is sufficient enough to know who he was talking about.
I don’t know much about Tanzanian laws with regards to defamation and slander, but if I were the guy, I’d shoot my shot and sue the hell out of him.
Calumniating people’s deaths is not cool.
wewe mchawi?We ndo umesema mkuu, ametaja jina? Tuwe waadilifu.
Sasa angalia mada kama hii ya kipuuzi kabisa.Ila kilicho kamata uangalifu wangu ni madai yake yeye Lissu kuwa eti yule aliyekuwa mlinzi wa Rais Magufuli, naye kafa kwa C-19!
Naamini alikuwa anamzungumzia huyu jamaa. Jamaa ambaye ali stand out kati ya waliokuwa walinzi wa marehemu.
ulimbong'olea mkuu.ndu wako mpka uwe na uhakika na uandikacho.Comments zote humu hakuna aliyeelezea chanzo cha hasira za Tundu Lissu. Kwa mujibu wa ndugu zake wa karibu ni kuwa Tundu Lissu hawezi kudindisha tena baada ya zile risasi,Jogoo haliwiki. Kwa wanaume mliopo JF ambao unajua vizuri utamu wa K unadhani mtu aliyesababisha wanawake uanze kuwaona kama madume utamchukia kiasi gani!?.. kwahiyo msimshangae sana Lissu. Maisha yameshakosa maana kabisa. Ila tulimwambia asiyefunzwa na mama yake hufunzwa na ulimwengu. Hata Kama JPM kafa Ila na yeye JOGOO halisimami tena. Ukikuta ni kweli alidokolewa na Amsterdam usishangae.
Credible source kwako ni wale wanaosema uongo kwenye nyumba za ibada!!???
Nimejaribu kusoma nione wapi naweza ona Credible source ya hii habari, but nilivyosoma tu hapo juu nikaishia hapo hapo. Blah blah kama kawaida.