Tundu Lissu amzushia kifo mlinzi huyu wa Rais Magufuli?

Umesikiliza au una ropoka tu?
 
Kwa sababu hakumtaja kwa jina basi ni bora ukafunga hilo shithole lako. Kila siku post zako ni za chuki na watu wa upinzani, unakera
 
Lissu has to rethink nini hasa anahitaji katika Tanzania. Yes ana bitter experience with Magufuli but now anatumika vibaya


Zitto and Mbowe are the smartest political figures kwa sasa they know how to act kutokana na wakati.
Zitto na Mbowe walipigwa risasi ngapi?

Sent from my Nokia 8.1 using JamiiForums mobile app
 
Cha ajabu ameshafanya conclusion halafu Chini anauliza swali haha hiki kizazi cha zinaa na mchiriku kina shida sana!

Kuna vitu hawa vilaza walipaswa kuwaachia wenye akili wao wabakie kwenye petty issues bas!
Haka kajamaa Ni tabu tupu

Mwendazake kawachanganya Sana akili hii kind ya brainwash aliowafanyia mwendazake Ni konki kweli kweli

Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
 
Kwavile umesema kaongea mengi lakini hilo la kifo amekosea basi ni wazi kuwa yaliyobaki alipatia isipokuwa hilo.
Waswahili tunasema ameongea ukweli mtupu isipokuwa ulimi uliteleza kidogo.
 
Kweli kabisa nimeona watu wanatumia chuki kuchukia chuki
 
Kuna vifo vikitokea ukaonekana unahuzunika watu wanashangaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…