Umesikiliza au una ropoka tu?Tundu Lissu ni mpuuzi saana! Kiongozi na msomi huwezi kuongea kama Malaya wa Tandale au Manzese Uwanja wa Fisi.
Kuna watu wanajua vitu vingi sana lakini hawaropoki kama huyu chizi. Huyu chizi Tundu Lissu hapimi maneno yake kwenye public domain.
This idiot is the disgrace for Tanzanians civilization!
"the dark guy that you see behind him all the time" moja kwa moja Apo mtu alieongelewa kila mtu kamuelewa kabisa sas ubishi wa nini kufikia conclusion kuwa Lissu ni mropokaji??
.Kama walikuwepo kwenye shughuli ya msiba mwenye picha zao aweke hapa tumalize utata kama zilivyowekwa picha za walinzi hao wengine.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu Jamaa sijui lissu kamfanya Nini ?We ndo umesema mkuu, ametaja jina? Tuwe waadilifu
Zitto na Mbowe walipigwa risasi ngapi?Lissu has to rethink nini hasa anahitaji katika Tanzania. Yes ana bitter experience with Magufuli but now anatumika vibaya
Zitto and Mbowe are the smartest political figures kwa sasa they know how to act kutokana na wakati.
Haka kajamaa Ni tabu tupuCha ajabu ameshafanya conclusion halafu Chini anauliza swali haha hiki kizazi cha zinaa na mchiriku kina shida sana!
Kuna vitu hawa vilaza walipaswa kuwaachia wenye akili wao wabakie kwenye petty issues bas!
Nipe basi vitendea kazi.Acha kejeli na matusi jenga hoja
Kweli kabisa nimeona watu wanatumia chuki kuchukia chukiUnajua mkuu wabongo wengi comprehension zao ni below margins!
Hebu fikiria huyo kilaza anajumuisha kwanza kisha anakuja uliza swali chini kutaka ujumuisho!
Anamhukumu mwenzie kwa chuki huku akimtuhumu huyo huyo kuwa ana chuki!
Shida ni kwamba hawa pakashume hawana akili za kuanzisha mada kisha wakaweza ficha upuuzi na hisia zao.
Mfano huku chini ameonesha wazi wazi kuwa na chuki na alimwenzishia uzi halafu anataka kujifanya yupo neutral!!
Hawa ndio wanawafanya waafrika wenzao waonekane ni Nyani!
Kuna vifo vikitokea ukaonekana unahuzunika watu wanashangaaHakuna raha duniani kama kushuhudia kifo cha adui yako that's all.
Kwa vyovyote mtakavyojifariji yule malaika wa chuki na giza aliyezikwa kichawi huku mkimuita Mungu alishindwa iokoa nafsi yake akafia mbali...
Yes kila mtu atakufa lakini kuna vifo vya wengine hushangaza na kuleta furaha sana!
Kwa sabaabu marehemu alitaka kumuua, ila kwa sababu Mungu si athumani akatangulia yeye....Kwanini bado anazozana na Marehemu
Kwa hiyo hata na mwendazake bado yuko ofisini anachapa kazi au siyo?Hakuna aliyekufa hata mmoja Lissu kachemka ,
Kwani mwendazake alifia wapi?tena alidai kafia Nairobi shame
Hapo hujamuona mtu mweusi kupita wote ambay alikua anakaa behind ya rais muda mwng ( muda wote ) ???Mbona kama unajichanganya hapa? Au mimi ndiyo sijakuelewa? Tunahoji huyo “dark guy” ni yupi kati ya hawa hapa?View attachment 1740098
Hakutumia stahaa, akili na subira wakati anazungumzaHata kama hajataja jina. Maelezo aliyoyatoa yanaelekeza kwa huyo jamaa.
Lissu ni mropokaji mno.
Lissu is a sadistLissu kashakata tamaa ya kuishi maisha ya furaha.