CHIEF PRIEST
JF-Expert Member
- Dec 13, 2021
- 11,635
- 21,347
CCM ni genge la kigaidi linalotumia mabavu ya vyombo vya dola kuendelea kutawala kidhalimuCCM ni chama chenye kufanya na kuendesha siasa za kistaarabu.tofauti na CHADEMA ambao hufanya siasa za chuki ,vurugu na kupandikiza uhasama na kuchochea ubaguzi.
Mbona wewe na mimatusi yako kama kichaa au mwendawazimu lakini hujawahi kupigwa Risasi?CCM hujibu hoja kwa risasi na mabomu
Mwaka unakaribia Keisha,Leo ndio nimeiona umenena points!Hayo ndio mageuzi ya fkra.Ndugu zangu watanzania,
Tundu Lissu anayo mengi sana ya kujifunza kutoka Katika picha hii inayomuonesha Katibu Mkuu wa CCM Mheshimiwa Balozi Dkt Emmanueli Nchimbi akifurahia jambo na Mwenyekiti wa CHADEMA Mheshimiwa Freeman Mbowe.
Hii picha ilichukuliwa na kupigwa hapo jana walipokutana viongozi mbalimbali wa vyama vya siasa katika mashauriano ya Masuala mbalimbali chini ya kituo cha Demokrasia Tanzania. Picha hii na namna viongozi wetu hawa wa vyama vyetu wanavyotabasamu na kufurahi inaonyesha siasa siyo uadui.
Lakini pia inaonyesha namna viongozi hawa walivyoelewa vyema na kuzifanyia kazi 4R Za Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan ambaye aliziasisi na kuzileta katika lengo la kulileta pamoja Taifa na kujenga umoja wa kitaifa, ndio sababu ya kuona leo watu wakiwa huru kuzungumza yaliyo katika vifua vyao kwa uhuru bila hofu.
Pia soma:
Lakini ndio sababu ya kuona viongozi wa vyama vya siasa wakikutana kwa pamoja kama hivi na kufanya mashauriano kwa njia ya amani kabisa, pamoja na vyama vya siasa kufanya mikutano ya hadhara na ile ya ndani bila shida wala vikwazo vya aina yoyote ile baada ya kuwa taratibu zote zimefuatwa na kuzingatiwa.
- Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe akamatwa uwanja wa Ndege Songwe
- Lissu, Mnyika na Sugu wakamatwa na Polisi usiku huu. Baadhi ya Waandishi wa habari pia wakamatwa
Sasa angekuwa ndio Lissu yupo kwenye nafasi ya Mbowe yaani ya uwenyekiti ungeona namna anavyotoa matamko makali makali na ya hovyo hovyo yenye kujenga chuki,uhasama,uadui na kuchochea ubaguzi kwa misingi tofauti tofauti kwa maslahi yake binafsi.maana yeye ni mtu ambaye anapenda mavurugu vurugu na uhasama wa kisiasa.
Ndio maana hutoa lugha zisizo nzuri akiwa mwenye majukwaa ya siasa.ndio sababu hupenda kuita haya ni Ma CCM na yale ni Ma PoliCCM. Yeye huona ambao hawapo kwenye chama chake au hawakubaliani naye kuwa wote hawana akili na hawajitambui na ni mambumbu tu.
anasahau kuwa katika siasa hakunaga adui wa kudumu wala rafiki wa kudumu na siasa siyo vita wala uadui.anasahau pia kuwa ili upate ushindi katika ngazi ya aina yoyote ile basi ni lazima ufanye kazi ya kuyashawishi makundi mbalimbali kukuunga mkono na kuwa upande wako badala ya kuyachukia na kuyatukana kwa matusi na lugha za udhalilishaji.
Ndio sababu Lissu anachukiwa na watu wengi sana na watumishi na wafanyakazi wengi sana katika vyombo vya ulinzi na usalama kutokana na maneno yake ya kuwadhalilisha na kuwashushia heshima. ndio maana hakuna anayeweza kumuunga mkono hata kwa kificho tu, maana kila mtu anaona ni mtu mropokaji, mkurupukaji, Mwenye kujaa mihemuko, jazba, hasira na hivyo kushindwa kutumia Busara na hekima katika kuzungumza na kushawishi watu.
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
CCM inapita na kushinda Uchaguzi kwa nguvu ya hoja na ushawishi wa kisera .tofauti na vyama kama CHADEMA havina uwezo hata wa kuandaa ilani yake.CCM ni genge la kigaidi linalotumia mabavu ya vyombo vya dola kuendelea kutawala kidhalimu
CCM bila mbeleko ya Polisi, Tume ya Uchaguzi na TISS mapema tu chaliiiCCM inapita na kushinda Uchaguzi kwa nguvu ya hoja na ushawishi wa kisera .tofauti na vyama kama CHADEMA havina uwezo hata wa kuandaa ilani yake.
Lini na wapi umeniona au kunisikia nikitukana?Mbona wewe na mimatusi yako kama kichaa au mwendawazimu lakini hujawahi kupigwa Risasi?
Hata ije Tume ya uchaguzi kutoka Marekani bado CCM itapita na kushinda kwa kishindo kikuu kitakacho itetemesha Dunia nzima.CCM bila mbeleko ya Polisi, Tume ya Uchaguzi na TISS mapema tu chaliii
Wewe si ulikuwa unatukana mimatusi mikubwa mikubwa kabla hujapigwa ban na kushikwisha adabu.Lini na wapi umeniona au kunisikia nikitukana?
Mpumbavu mkubwa wewe sijawahi kutukana mtu nilipigwa ban kwa chuki binafsi yamoderator ambaye na kada wa CCM.Wewe si ulikuwa unatukana mimatusi mikubwa mikubwa kabla hujapigwa ban na kushikwisha adabu.
Wale waliompiga risasi baada ya kushindwa kupambana naye kwa hoja ndiyo magaidi, CCM hii haina tofauti na Bokoharam.siasa za lisu ni kama zinashabiyana na matendo ya kigaidi
Angekua siyo adui mngelimchapa Risasi 38? Na 19 kumuingiaNdugu zangu watanzania,
Tundu Lissu anayo mengi sana ya kujifunza kutoka Katika picha hii inayomuonesha Katibu Mkuu wa CCM Mheshimiwa Balozi Dkt Emmanueli Nchimbi akifurahia jambo na Mwenyekiti wa CHADEMA Mheshimiwa Freeman Mbowe.
Hii picha ilichukuliwa na kupigwa hapo jana walipokutana viongozi mbalimbali wa vyama vya siasa katika mashauriano ya Masuala mbalimbali chini ya kituo cha Demokrasia Tanzania. Picha hii na namna viongozi wetu hawa wa vyama vyetu wanavyotabasamu na kufurahi inaonyesha siasa siyo uadui.
Lakini pia inaonyesha namna viongozi hawa walivyoelewa vyema na kuzifanyia kazi 4R Za Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan ambaye aliziasisi na kuzileta katika lengo la kulileta pamoja Taifa na kujenga umoja wa kitaifa, ndio sababu ya kuona leo watu wakiwa huru kuzungumza yaliyo katika vifua vyao kwa uhuru bila hofu.
Pia soma:
Lakini ndio sababu ya kuona viongozi wa vyama vya siasa wakikutana kwa pamoja kama hivi na kufanya mashauriano kwa njia ya amani kabisa, pamoja na vyama vya siasa kufanya mikutano ya hadhara na ile ya ndani bila shida wala vikwazo vya aina yoyote ile baada ya kuwa taratibu zote zimefuatwa na kuzingatiwa.
- Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe akamatwa uwanja wa Ndege Songwe
- Lissu, Mnyika na Sugu wakamatwa na Polisi usiku huu. Baadhi ya Waandishi wa habari pia wakamatwa
Sasa angekuwa ndio Lissu yupo kwenye nafasi ya Mbowe yaani ya uwenyekiti ungeona namna anavyotoa matamko makali makali na ya hovyo hovyo yenye kujenga chuki,uhasama,uadui na kuchochea ubaguzi kwa misingi tofauti tofauti kwa maslahi yake binafsi.maana yeye ni mtu ambaye anapenda mavurugu vurugu na uhasama wa kisiasa.
Ndio maana hutoa lugha zisizo nzuri akiwa mwenye majukwaa ya siasa.ndio sababu hupenda kuita haya ni Ma CCM na yale ni Ma PoliCCM. Yeye huona ambao hawapo kwenye chama chake au hawakubaliani naye kuwa wote hawana akili na hawajitambui na ni mambumbu tu.
anasahau kuwa katika siasa hakunaga adui wa kudumu wala rafiki wa kudumu na siasa siyo vita wala uadui.anasahau pia kuwa ili upate ushindi katika ngazi ya aina yoyote ile basi ni lazima ufanye kazi ya kuyashawishi makundi mbalimbali kukuunga mkono na kuwa upande wako badala ya kuyachukia na kuyatukana kwa matusi na lugha za udhalilishaji.
Ndio sababu Lissu anachukiwa na watu wengi sana na watumishi na wafanyakazi wengi sana katika vyombo vya ulinzi na usalama kutokana na maneno yake ya kuwadhalilisha na kuwashushia heshima. ndio maana hakuna anayeweza kumuunga mkono hata kwa kificho tu, maana kila mtu anaona ni mtu mropokaji, mkurupukaji, Mwenye kujaa mihemuko, jazba, hasira na hivyo kushindwa kutumia Busara na hekima katika kuzungumza na kushawishi watu.
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Kwa papai kama wewe ndiye unajidanganya hivyo, hatuhitaji tume toka nje tunataka Tume huru, Katiba mpya na uwanja sawa wa kufanya siasa.Hata ije Tume ya uchaguzi kutoka Marekani bado CCM itapita na kushinda kwa kishindo kikuu kitakacho itetemesha Dunia nzima.
Lete majina na ushahidi wa hao waliompiga Risasi .Wale waliompiga risasi baada ya kushindwa kupambana naye kwa hoja ndiyo magaidi, CCM hii haina tofauti na Bokoharam.
Kama ilani tu ya uchaguzi mnashindwa kutengeneza ni vipi mnaweza kuwashawishi watu wenye akili Timamu wawape kura za ndio?Kwa papai kama wewe ndiye unajidanganya hivyo, hatuhitaji tume toka nje tunataka Tume huru, Katiba mpya na uwanja sawa wa kufanya siasa.
Hiyo ni kazi ya Jeshi la Polisi, au hata hili nalo ni kugumu kulielewa?Lete majina na ushahidi wa hao waliompiga Risasi .
Kwanza kwa comment hii unatakiwa upigwe tena Ban ya mwaka mzima mpaka ushike adabuMpumbavu mkubwa wewe sijawahi kutukana mtu nilipigwa ban kwa chuki binafsi yamoderator ambaye na kada wa CCM.
Hiyo ya kwenu ambayo kila mwaka mnakiri kuwa haitekelezeki ina faida gani zaidi ya kuwa ni utapeli na hadaa tu kwa wapiga kura?Kama ilani tu ya uchaguzi mnashindwa kutengeneza ni vipi mnaweza kuwashawishi watu wenye akili Timamu wawape kura za ndio?
Nimeshakuambia kuwa mimi naingia humu kama burudani tu tofauti na wewe ambaye unafanya hapa ndiyo sehemu ya kupatia mkate wako wa siku. Ukifungiwa wewe utakufa njaa, papai wewe.Kwanza kwa comment hii unatakiwa upigwe tena Ban ya mwaka mzima mpaka ushike adabu
na mbona kama unalisema kwa namna moja au nyingineHiyo ni kazi ya Jeshi la Polisi, au hata hili nalo ni kugumu kulielewa?