Tundu Lissu ana kipi hasa katika CV yake zaidi ya kuropokwa tu na makelele ya uanaharakati

Tundu Lissu ana kipi hasa katika CV yake zaidi ya kuropokwa tu na makelele ya uanaharakati

Umemvunjia heshima gwiji wa sheria nchini, Tundu Lissu

-muulize yeye ni gwiji wa Nini hapa Tanzania, labda ni ugwiji wa Kuhonga Malaya wa Vyuoni
 
Uko sahihi kabisa kamanda Lissu hafai kabisa hasa legacy yoyote, he has never been any hero in any scenario, ni mtu anaetumika, ubishi, kujiamisha yeye ndio anajua na akili zake ndio final, amekuwa poyoyo tu Kwa mwenyekiti wake tu ndio anaufyata. Silika yake ni ya udikteta
-wewe boya tu, utajuaje legacy ya Lissu huku akili umeziweka kwenye Kuhonga Malaya wa Vyuoni.
-Legacy anayo yeye ndiye aliye uchambua Muungano Kwa ufasaha mkubwa wakati wa bunge la Katiba, na kama ulifuatilia like bunge la Katiba yeye alihusika Kwa kiasi kikubwa kuunda Kanuni za Bunge Maalum la Katiba 2014, au hujui?
-
 
Wasalaam

Niende moja kwa moja hivi huyu mtu wa kawaida sana kama Tundu Lissu ana nini hasa?hana cv yoyote hapa Tanzania hajawahi kutrend na uibuaji wa kashfa wala hoja yoyote ya kifisadi, maana zaidi ya kuwa kibaraka wa mabeberu na undumila kuwili hana lolote la maana.

CV ya Lissu ni kusherehekea na kufurahia saana kifo Cha Magufuli hio ndio legacy yake.

Hana CV yoyote kama iconic political figure, zaidi ya uanaharakati uchwara na mufilisi, hana sifa ya kugombea urais 2025 na hatagombea urais, hana jeuri ya kutolamba asali, hana vibe la kufuruka mbele ya Rais Hassan au Mgombea yeyote wa CCM come 2025.

Watoto wake inasemekana sio watanzania, record zake hana uzalendo anafurahia Tanzania ikipoteza inasemekana anatuhujumu kuuza gap za kushtakiwa kihuni kimataifa.

Vita ya corona virus alitusaliti, inasemekana ana support ushoga na hajaukana hadharani, awamu hii ya SITA amemute hana hoja uanaharakati kafeli. Afanye hand kulamba asali atulie.

Umaarufu wake ni wa huruma tu wa kupigwa risasi za kifedhuli na kiutopolo na watu washenzi tu ambao hawajui kutumia silaha waharibifu tu.

Ujio wa Tundu Lissu hauna vibe lolote zaidi tu ya kumbukizi tu kuwa alisurvive kifo tu basi hana zaidi umaarufu wa kunusurika kifo tu.

Ajipange kwa ajili ya kuropokwa na kuwazia Jimbo la Singida mashariki.

Lissu hana legacy yoyote ndani ya cv yake anaebisha ashushe hoja.

Chadema kabaki Heche na Mnyika basi wengine kama Lissu ni mapopoma tu

Wadiz
Tundu lisu hajawai kua chawa Wala mlamba viatu...

Laiti tundu lisu angekua na tabia kama za mwigilu au yeyote mwenye kujipendekeza currently ange shakua jaji mkuu au hata wazir.....

Inajulikana na yeyote Alie timamu tundu lisu ni Moja ya wanasheria wakipekee duniani kama wakili....Cc mama makinda...

Tundu lisu ni genius kwenye mambo ya kisheria anazijua in and out....

Na NDIO maana Rais wetu mama Samia Hana bifu na mzalendo tundu lisu....

Alishawai kuwalaza na viatu jopo la mawakili wa upande wa serikali......
 
Lissu hana cv yoyote ya kusisimua majukwaa hana msijifiche kwenye kivuli cha huruma mbona yeye huyu fedhuli alishangilia sana kifo Cha Magufuli?
Kumbe unataka akusisimue!? [emoji1787]
 
Unauliza hii nini chini chini ya mkia wa mbuzi huku unaona ni nini, LISSU anafaa kuwa rais wa Tanzania maana mengi anajua hayajakaa sawa jinsi inavyotakiwa iwe.
Aende kwanza Ikungi akajenge nyumba ya kufikia anapoenda nyumbani kwao!

Unataka urais ilhali hata Shelter ya kufikia kwenu huna,unafikia Guest House!

Na chama nacho kimepamga Kinondoni na huko mashinani kiko hoi.
JamiiForums-355495924_remastered.jpg
20230113_080002.jpg
 
Wasalaam

Niende moja kwa moja hivi huyu mtu wa kawaida sana kama Tundu Lissu ana nini hasa?hana cv yoyote hapa Tanzania hajawahi kutrend na uibuaji wa kashfa wala hoja yoyote ya kifisadi, maana zaidi ya kuwa kibaraka wa mabeberu na undumila kuwili hana lolote la maana.

CV ya Lissu ni kusherehekea na kufurahia saana kifo Cha Magufuli hio ndio legacy yake.

Hana CV yoyote kama iconic political figure, zaidi ya uanaharakati uchwara na mufilisi, hana sifa ya kugombea urais 2025 na hatagombea urais, hana jeuri ya kutolamba asali, hana vibe la kufuruka mbele ya Rais Hassan au Mgombea yeyote wa CCM come 2025.

Watoto wake inasemekana sio watanzania, record zake hana uzalendo anafurahia Tanzania ikipoteza inasemekana anatuhujumu kuuza gap za kushtakiwa kihuni kimataifa.

Vita ya corona virus alitusaliti, inasemekana ana support ushoga na hajaukana hadharani, awamu hii ya SITA amemute hana hoja uanaharakati kafeli. Afanye hand kulamba asali atulie.

Umaarufu wake ni wa huruma tu wa kupigwa risasi za kifedhuli na kiutopolo na watu washenzi tu ambao hawajui kutumia silaha waharibifu tu.

Ujio wa Tundu Lissu hauna vibe lolote zaidi tu ya kumbukizi tu kuwa alisurvive kifo tu basi hana zaidi umaarufu wa kunusurika kifo tu.

Ajipange kwa ajili ya kuropokwa na kuwazia Jimbo la Singida mashariki.

Lissu hana legacy yoyote ndani ya cv yake anaebisha ashushe hoja.

Chadema kabaki Heche na Mnyika basi wengine kama Lissu ni mapopoma tu

Wadiz
Mbona mna wasiwasi sana na Tindu Lissu ,?Jamaa ana tisha sana.
 
Ili mradi unajua kuandika na unao uhuru wa kufanya hivyo basi unajiandikia tu, iwe pumba, iwe mchele ili mradi umeandika. Lakini kama kweli JamiiForum is the home of great thinkers, hebu tunapokuwa wana-JF na tuonyeshe kwa vitendo kama great thinkers, fanya research, jenga hoja itakayowafanya hao great thinkers wenzako kutumia great thinking abilities walizonazo kujibu hoja.
 
Lissu hana cv yoyote ya kusisimua majukwaa hana msijifiche kwenye kivuli cha huruma mbona yeye huyu fedhuli alishangilia sana kifo Cha Magufuli?
Sawa hana cv yoyote

Tuweke ya kwako sasa mzee wa ma cv

Ova
 
Yes.
Jamaa ukiondoa kushambuliwa na wahalifu, hana kitu chochote cha maana.

Ndio maana hata wapambe wake humu 24/7 wanaimba risasi tuuuuuuuu.
Yani utadhani ndio maisha yanaishia hapo.
 
Lissu ni presidential material, akipewa kuongoza nchi anaweza kuleta mageuzi makubwa katika nyanja zote za watanzania. Hao wengine wanaotawala ni walewale sawa na msitu mpya lakini nyani ni walewale hawabadiliki tabia. Tanzania itashuhudia mabadiliko makubwa ya kiihistoria haijawi kutokea. Yule ni mwanasiasa za kimageuzi nchi itapiga hatua kubwa kimaendeleo kuliko hata nyakati za tawala zilizopita, ana uthubutu
 
Back
Top Bottom