BALENSIAGA
JF-Expert Member
- Aug 27, 2019
- 3,353
- 5,800
-muulize yeye ni gwiji wa Nini hapa Tanzania, labda ni ugwiji wa Kuhonga Malaya wa VyuoniUmemvunjia heshima gwiji wa sheria nchini, Tundu Lissu
Tundu Antipas Lissu: Historia na harakati zake katika siasa za Tanzania...
Ndugu wana JF, Kwa kipindi hiki nimeona nivyema tukajikumbusha historia ya Mwanasheria Mkuu wa CHADEMA ambaye pia ni Mbunge wa Singida Mashariki, akifanya mahojiano na mwadhishi wa habari Godfrey Dilunga mwaka 2011. Mtakumbuka kuwa Tundu Lissu anaendelea kujizolea umaarufu kutokana na umahili...www.jamiiforums.com
Utuambie wewe uliekuwepo na kujua kwamba aliuwawa hapo!nani alimua ben sanane pale ikulu
-wewe boya tu, utajuaje legacy ya Lissu huku akili umeziweka kwenye Kuhonga Malaya wa Vyuoni.Uko sahihi kabisa kamanda Lissu hafai kabisa hasa legacy yoyote, he has never been any hero in any scenario, ni mtu anaetumika, ubishi, kujiamisha yeye ndio anajua na akili zake ndio final, amekuwa poyoyo tu Kwa mwenyekiti wake tu ndio anaufyata. Silika yake ni ya udikteta
Tundu lisu hajawai kua chawa Wala mlamba viatu...Wasalaam
Niende moja kwa moja hivi huyu mtu wa kawaida sana kama Tundu Lissu ana nini hasa?hana cv yoyote hapa Tanzania hajawahi kutrend na uibuaji wa kashfa wala hoja yoyote ya kifisadi, maana zaidi ya kuwa kibaraka wa mabeberu na undumila kuwili hana lolote la maana.
CV ya Lissu ni kusherehekea na kufurahia saana kifo Cha Magufuli hio ndio legacy yake.
Hana CV yoyote kama iconic political figure, zaidi ya uanaharakati uchwara na mufilisi, hana sifa ya kugombea urais 2025 na hatagombea urais, hana jeuri ya kutolamba asali, hana vibe la kufuruka mbele ya Rais Hassan au Mgombea yeyote wa CCM come 2025.
Watoto wake inasemekana sio watanzania, record zake hana uzalendo anafurahia Tanzania ikipoteza inasemekana anatuhujumu kuuza gap za kushtakiwa kihuni kimataifa.
Vita ya corona virus alitusaliti, inasemekana ana support ushoga na hajaukana hadharani, awamu hii ya SITA amemute hana hoja uanaharakati kafeli. Afanye hand kulamba asali atulie.
Umaarufu wake ni wa huruma tu wa kupigwa risasi za kifedhuli na kiutopolo na watu washenzi tu ambao hawajui kutumia silaha waharibifu tu.
Ujio wa Tundu Lissu hauna vibe lolote zaidi tu ya kumbukizi tu kuwa alisurvive kifo tu basi hana zaidi umaarufu wa kunusurika kifo tu.
Ajipange kwa ajili ya kuropokwa na kuwazia Jimbo la Singida mashariki.
Lissu hana legacy yoyote ndani ya cv yake anaebisha ashushe hoja.
Chadema kabaki Heche na Mnyika basi wengine kama Lissu ni mapopoma tu
Wadiz
nikuambie wewe si utataka na picha ya makamba sr aliposema wazuri/ wema hawafi pale dodomaUtuambie wewe uliekuwepo na kujua kwamba aliuwawa hapo!
Kumbe unataka akusisimue!? [emoji1787]Lissu hana cv yoyote ya kusisimua majukwaa hana msijifiche kwenye kivuli cha huruma mbona yeye huyu fedhuli alishangilia sana kifo Cha Magufuli?
Aende kwanza Ikungi akajenge nyumba ya kufikia anapoenda nyumbani kwao!Unauliza hii nini chini chini ya mkia wa mbuzi huku unaona ni nini, LISSU anafaa kuwa rais wa Tanzania maana mengi anajua hayajakaa sawa jinsi inavyotakiwa iwe.
Mbona mna wasiwasi sana na Tindu Lissu ,?Jamaa ana tisha sana.Wasalaam
Niende moja kwa moja hivi huyu mtu wa kawaida sana kama Tundu Lissu ana nini hasa?hana cv yoyote hapa Tanzania hajawahi kutrend na uibuaji wa kashfa wala hoja yoyote ya kifisadi, maana zaidi ya kuwa kibaraka wa mabeberu na undumila kuwili hana lolote la maana.
CV ya Lissu ni kusherehekea na kufurahia saana kifo Cha Magufuli hio ndio legacy yake.
Hana CV yoyote kama iconic political figure, zaidi ya uanaharakati uchwara na mufilisi, hana sifa ya kugombea urais 2025 na hatagombea urais, hana jeuri ya kutolamba asali, hana vibe la kufuruka mbele ya Rais Hassan au Mgombea yeyote wa CCM come 2025.
Watoto wake inasemekana sio watanzania, record zake hana uzalendo anafurahia Tanzania ikipoteza inasemekana anatuhujumu kuuza gap za kushtakiwa kihuni kimataifa.
Vita ya corona virus alitusaliti, inasemekana ana support ushoga na hajaukana hadharani, awamu hii ya SITA amemute hana hoja uanaharakati kafeli. Afanye hand kulamba asali atulie.
Umaarufu wake ni wa huruma tu wa kupigwa risasi za kifedhuli na kiutopolo na watu washenzi tu ambao hawajui kutumia silaha waharibifu tu.
Ujio wa Tundu Lissu hauna vibe lolote zaidi tu ya kumbukizi tu kuwa alisurvive kifo tu basi hana zaidi umaarufu wa kunusurika kifo tu.
Ajipange kwa ajili ya kuropokwa na kuwazia Jimbo la Singida mashariki.
Lissu hana legacy yoyote ndani ya cv yake anaebisha ashushe hoja.
Chadema kabaki Heche na Mnyika basi wengine kama Lissu ni mapopoma tu
Wadiz
miradi bubu ya wazalendoAende kwanza Ikungi akajenge nyumba ya kufikia anapoenda nyumbani kwao!
Unataka urais ilhali hata Shelter ya kufikia kwenu huna,unafikia Guest House!
Na chama nacho kimepamga Kinondoni na huko mashinani kiko hoi.View attachment 2480932View attachment 2480934
Sawa hana cv yoyoteLissu hana cv yoyote ya kusisimua majukwaa hana msijifiche kwenye kivuli cha huruma mbona yeye huyu fedhuli alishangilia sana kifo Cha Magufuli?