Tundu Lissu ana uwezo mdogo mno wa uongozi ukimlinganisha na Dkt. Slaa au mbowe ambao angalau wana maono

jana aliulizwa,
aliyoyazungumza ni msimamo wa chadema au maoni yake?

akasema eti ni maoni yake binafsi.

Nikajiuliza kulikoni sasa mbona huyu mungwana anaitumia chadema vibaya?

kumbe washauri wake ndiyo hao ulowataja? Dah, ndiyo maana yupo kama alivyo πŸ’
 
awali ni awali tu gentleman,
nimeeleza ukweli muungwana ili aweze kutafuta uelekeo mpya mapema , ili asije kusingizia ati hakuambiwa huko mbeleni...

kuhusu uchguzi wa serikali za mitaa wa November 27, hakuna haja kujadili pamoja na huyu muungwana ambae hata hajajiandikisha.

Infact,
Yeye binafsi kama Lisu amekubali uchaguzi wa serikali za mitaa uendelee kama ulivyopangwa πŸ’
 
Gentleman,
for sure nachukizwa mno na omba omba mwenye nguvu na uwezo wa kufanya kazi na kujikimu kwa nguvu zake mwenyewe kuchangiwa mara kwa mara bila kuridhika wala kutosheka.

zaidi sana,
anae lalamika saaana bila kuonyesha mbadala au suluhusho la malalamiko yake, namuona ni mtu dhaifu asie na maono, aliekosa uelekeo kabisa na anaetegemea wenye huruma walioguswa na imotional stories zake kuvutia watu wa mchangie chochote kitu,huyo ni mtu bure kabisa.

mbaya zaidi ni puppet, dah πŸ’
 
Lisu ni mtu pekee aliyebaki kuwa matumaini ya chadema,akiondoka ,hata
Hivyo wwni mtu usiyejitambua kabisa au uchawa unakusumbua leo akiondoka Lisu hakuna tena chadema
For sure akiondoka chadema, ataondoka yeye na yeye pekeeyake.

Infact,
Lisu ni useless nje ya chadema gentleman πŸ’
 
huo ndiyo ukweli mtupu,
muungwana ana kibegi tu Tanzania mengine yote yapo ngambo ambapo anategemezwa na mabwenyenye yaliyompatia makazi huko..

Akija Tz ni sawa na wewe uende mkoani tu utabeba shati moja na suruali 2 tu.

ndiyo ambavyo muungwana anafanya,
hana mavazi zaidi ya ya chama πŸ’
 
Lissu ndio mwanasiasa pekee pale chadema mwenye akili
 
Mamako, Mume wako, watoto wako, mmwanaumee wako wa nje, na ndugu wengine ukijumlisha unapata upeo wa akili wa Tundu Lissu.πŸ€£πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
zingatia wanaozungumzwa kwenye hoja ya msingi gentleman, ili twende sawa na wadau πŸ’
Wanaozungumziwa ndio hao hao wadau bila kujali ni wa mrengo gani ili mradi wanatugusa watanzanua na chaguzi au hata kama iwe chafuzi
 
Wanaozungumziwa ndio hao hao wadau bila kujali ni wa mrengo gani ili mradi wanatugusa watanzanua na chaguzi au hata kama iwe chafuzi
okay,
usinirefae mimi bas gentleman πŸ’
 
Mamako, Mume wako, watoto wako, mmwanaumee wako wa nje, na ndugu wengine ukijumlisha unapata upeo wa akili wa Tundu Lissu.πŸ€£πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
kwamba ndrugu zango wawe watu wa kuoamba omba kuchangiwa?

wawe watu wa kulalamika kama muungwana?

kweli ndrugu zango wakose hekima na busara na kufanywa vibaraka wa mabwenyenye ya magharibi, kweli gentleman?

with my deadbody haitawezekana kutumikishwa kizembe na mna hiyo. No, hapana aise, haiwezekani πŸ’
 
Chawa, Habari,
Yule kakataa rushwa ya Abdul na mama yake, huyu ndo tunamtaka, kama ana mapungufu binafsi kama trump mifumo imara itamshape

Huyu ndo atatufaa uraisi 2025
Siku 100 za kwanza ataanzisha mchakato wa katiba mpya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…