johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Nimemsikia Tundu Lisu akiahidi mjini Morogoro kwamba endapo atachaguliwa kuwa Rais wa Tanzania atafufua viwanda vyote vilivyokufa.
Ndio namuuliza hivyo viwanda vilivyokufa viko wapi? Atoe hata mifano 10 kama ana sema kwa utafiti na takwimu.
Watanzania siyo wajinga.
Maendeleo hayana vyama!
Ndio namuuliza hivyo viwanda vilivyokufa viko wapi? Atoe hata mifano 10 kama ana sema kwa utafiti na takwimu.
Watanzania siyo wajinga.
Maendeleo hayana vyama!