Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio tu kiwanda Cha Mbeya no Mwanza jineri, Mwatex nyakato, urafiki dsm na viwanda vingine kibao vimekufa na vikatelekezwa vimebaki magofu tu.Mmmh Leo ndo nimeamin ccm wasomi ni wachache na mtaji wa CCM ni watu wajinga
Ivi kwa Mtanzania anaejielewa anaweza kushangaa habari ya viwanda kufa? Basi huyo atakuwa mwendawazimu.
Kwa taarifa yako tu kuanzia mwaka 1979 viwanda vingi vilianza kufa kwa sababu ya anguko la kiuchumi mfano. Kiwanda cha nguo Mbeya.
Ova...niwashaur vijana wa Lumumba, Lisu akiongea msiwe mnakurupuka kujibu ata kama mliagizwa na bashiru mana mtakuwa mnadharirika tu.
Ccm waliwahi kujenga offisi wapi na lini wakati muda wote wanatumia offisi za majengo ya ummaT
Tupatie majibu ya ruzuku ya billion miatatu 300 imeifanyia nini?sasa MTU ofisi ya chama hameshindwa ataweza kuendesha nchi.
We labda umezaliwa juzi ndo maana unauliza viwanda vilivyo kufa morogoro.Vitaje hivyo viwanda vya kufufua bwashee......povu halikusaidii!
Nimemsikia Tundu Lisu akiahidi mjini Morogoro kwamba endapo atachaguliwa kuwa Rais wa Tanzania atafufua viwanda vyote vilivyokufa.
Ndio namuuliza hivyo viwanda vilivyokufa viko wapi? Atoe hata mifano 10 kama ana sema kwa utafiti na takwimu.
Watanzania siyo wajinga.
Maendeleo hayana vyama!
Hiiii pingapinga yenu ya ufipaniiii inwagarimu saaana, kila bunge likipanga bajet nyie mnaweka makaratasi puani na mdomoni na kutoka injeee. Ona sasaa huelewiii kinachoendelea kuhusu miladii hiii
Havijabinafsishwa?
lissu ni mgombea wa hovyo kuliko wote ambao upinzani uliwahi kutoa nchi hii
Yaani anajikuta tu hana cha kusema anaropoka,kuna kiwanda gani huko moro kinahitaji kufufuliwa?
Kwa kuwa Lissu anajua ukweli wote kuhusu porojo za awamu hii ya tano kujenga viwanda zaidi ya 8,000 ambavyo hakuna mtu yeyote yule ambaye aliwahi kuviona, kuonyeshwa ama hata kuambiwa vipi wapi!Nimemsikia Tundu Lisu akiahidi mjini Morogoro kwamba endapo atachaguliwa kuwa Rais wa Tanzania atafufua viwanda vyote vilivyokufa.
Ndio namuuliza hivyo viwanda vilivyokufa viko wapi? Atoe hata mifano 10 kama ana sema kwa utafiti na takwimu.
Watanzania siyo wajinga.
Maendeleo hayana vyama!
Wewe kapuku,tuanzie hapo Dodoma-Dar ambapo bado hapajakamilika!
Kwahiyo mizigo itakuwa inasafirishwa kwa SGR kutoka Dar -Dodoma?Reli ya kawaida itabeba nini?
Huko Rwanda reli haitafika!Ni geresha tu!
[/QUOTE
Hujui lolote kenye huuu mradi. Hunataarifa kama kutakuwa na bandari ya inchi kavu hapo kibaha?? SwaliVipi mbona chadema hawaweki mabarakoa midomoni kama zamanii, au nawao wamekubali korona imeisha.Ndugu hutakiwi hata kulipwa bk.3 kwa kazi mbovu unayofanya
Zile kiki zimeishaaa??
Hovyokabisa
Kwa umeme upi ikiwa JNHP haitaki?Mmmh Leo ndo nimeamin ccm wasomi ni wachache na mtaji wa CCM ni watu wajinga
Ivi kwa Mtanzania anaejielewa anaweza kushangaa habari ya viwanda kufa? Basi huyo atakuwa mwendawazimu.
Kwa taarifa yako tu kuanzia mwaka 1979 viwanda vingi vilianza kufa kwa sababu ya anguko la kiuchumi mfano. Kiwanda cha nguo Mbeya.
Ova...niwashaur vijana wa Lumumba, Lisu akiongea msiwe mnakurupuka kujibu ata kama mliagizwa na bashiru mana mtakuwa mnadharirika tu.
Wala ata usiende mbali Ayo maneno kaongea akiwa morogoro chapu kwa haraka viwanda Kama vitatu vimefungwa 2019 - 2020Nimemsikia Tundu Lisu akiahidi mjini Morogoro kwamba endapo atachaguliwa kuwa Rais wa Tanzania atafufua viwanda vyote vilivyokufa.
Ndio namuuliza hivyo viwanda vilivyokufa viko wapi? Atoe hata mifano 10 kama ana sema kwa utafiti na takwimu.
Watanzania siyo wajinga.
Maendeleo hayana vyama!
Kwa nani..Havijabinafsishwa?
Sera yenu ya ubinafsishaji mfu haituitaki. Vimebinafsishwa kwa tija ipi? Kama vimebinafsishwa halafu havizalishi vina maana gani. Tunataka tuone tija.Unazungumzia viwanda vilivyobinafsishwa ndio uvifufue?......nyie ni mabepari wa wapi?
Hiyo Urafiki yuko mchina aliyewekeza tangu kinaasisiwa, UFI yupo Maboya anatangaza Injili!
Kwahiyo mnafikiria kufufua azimio la Arusha bwashee?!