Uchaguzi 2020 Tundu Lissu anaahidi kufufua viwanda gani?

Mwambie atutajie hivyo viwanda atakavyofufua na mwisho akaifufue na Bills maana anakurupuka tu!

Kiwanda cha korosho Mtwara, kiwanda cha samaki mafia, kiwanda cha plastic amboni tanga, and many more
 
Tunaomba picha za viwanda alivyo jenga mheshimiwa nchi nzima
 
Bora lissu anasema atafufua viwanda vilivyokufa, Magufuli alisema atajenga viwanda, Amejenga viwanda vingapi mpaka sasa?
 
Kabla viwanda havijafa malighafi zilipita wapi?
 
Huyu ni wakuonea hurumu ameshindwa kujenga ofisi ya chama wanapanga na wanalipwa mamilion leo afufue kiwanda .aibu sana huyu mpiga mizinga mikutanoni
mpaka tarehe 27 mtaita maji mma.
 
Kaka mtu akisema anataka kufufua uchumi humaanisha nini?

 
Kabla viwanda havijafa malighafi zilipita wapi?
Zilipita kwanjia ambazo garama ya usafirishaji wa bidhaaa hadi kwa mtumiaji kule kijijini kwenu, nikubwa kiasi ambacho mtumiaji wa mwisho analipia beikubwa kununua bidhaaa ilee. Hivyo usafirishaji wa reli ya kisasa ni muhimu kwakua garama yake ni ndogo ukilinganisha na bidhaa iliyosafirishwa kwa njia ya barabara. Chaajabu lisu haelewi chochote kuhusu hayaaa. Halafu anatulazimisha tumpe uraisi.
 
Hivyo viwanda vilivyouliwa na CCM. Si unavijua?
 
T

Tupatie majibu ya ruzuku ya billion miatatu 300 imeifanyia nini?sasa MTU ofisi ya chama hameshindwa ataweza kuendesha nchi.

Unataka majibu ya 300b, je unafahamu ccm inachukuaga bilioni ngapa na kama unajua, naomba uje na matumizi yake kabla ya kuhitaji matumizi ya hizo 300b za chadema
 
Nani kakwambia SGR ni kwa ajili ya kubeba mizigo?Mnafeli wapi Lumumba?
 
Mwenzako alimradi awe Rais tu, mhurumieni Kwa kuwa Hana alijualo!
Mara atetee ushoga, mara kile, mara hiki, hajielewi baba wa watu!!

Ama kweli, Tanzania tumepatikana!
Tunamgombea wa ajabu haijapata Kutokea nchi hii
Kama ni mgombea wa ajabu itakua nafuu kwenu lakn bado anapasua vichwa
 
Akili yako ni ya kuvukia barabara tu!Hivi nani kakwambia SGR ni kwa ajili ya mizigo?Eti usafirishaji wa reli ya kisasa😁😁😁!Muwe mnajielimisha kwanza,SGR ni kwa ajili ya abiria kwa maana it is bult for speed!Mizigo itaendelea kusafirishwa na reli iliyokuwepo siyo hii ya kisasa inayojengwa!
 
Ufipani tabu kwelikweliii. Kwahiyoo hujui kama hiii SGR itabeba mizigo pia na kuisafirisha kwa haraka?
Tabu kwele kweliiiii.
SGR is bult for speed!Hapa zitanunuliwa treni za abiria zenye kasi!Mizigo itaendelea kusafirishwa kwenye reli ya zamani ya kawaida!
 
Viwanda alivyojinga Mwl Nyerere ulidhani hivi vya Vyerehani[emoji1787][emoji1787]
 
Hizo Akili zako za kisoda unatia huruma na familia yako wanajuta kuwa na we we. Hiyo reli itapitisha mizigo na abilia, ndio maana itajengwa had I ruwanda na Burundi. Kwahiyoo huko Burundi na ruwanda nako watakuwa wanabebea abilia kwa mjibu wenu wa wavuta sigara Kali za ufipaniiii. Hii SGR imepenya hadi kuelekea pale kamanga feli mwanza, kwahyo kule itakuwa inabeba wavuviiii???
Hovyo kabisaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…