Uchaguzi 2020 Tundu Lissu anaanza kutumia lugha chafu

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu anaanza kutumia lugha chafu

Ukisikiliza Hotuba zake za Kagera, utaona TL anaanza kutumia lugha chafu na za kichochezi.

Lissu amekuwa na mvuto, sijui kwanini ameanza kujiletea utata kwa matusi na tuhuma asizo na ushahidi nazo, Amemwiita Raisi Magufuli Mwizi pamoja na MaRaisi wote waliopita isipokuwa Nyerere.

Yeye ni mwana Sheria na anajua mafunzo yake ya sheria yanasema " INNOCENT UNTIL PROVEN GUILTY", sasa sijui ni sheria gani anayoitumia kuwaita waheshimiwa hawa wezi, na kama anao ushahidi kama ni wezi, kwa nini asiwafungulie kesi na iwapo mahakama itawahukumu, basi hata sie tutakuwa na haki ya kuwaita wezi.

Lissu anazungumzia HAKI, na anailaumu awamu hii kuwa haitendi haki. Jee yeye hapa anatenda haki?? TL Practice what you preach
Lissu bado ni mgonjwa chezea risasi wewe!!
 
Katika maisha yangu..huu ndy utawala na mtawala mkuu nimeshuhudia akitukana matusi hadharani wazee wetu ambao ni wafanyakazi mchana kweupe. Bila kujali kuwa lugha hyo inasikilizwa na watoto nchi nzima. Katika kipindi ambacho watoto ama watu wamejifunza kauli mbaya sana basi ni kipind cha mtawala huyu.

Mtoa mada je hajawah kusikia maneno makali toka kwa mtawala hyu mpaka Leo uone kuwa yeye ni mstaarabu? Wewe huna masikio? Kwani nikisema wewe ni mwovu ama mwizi na wewe hujakanusha tuhuma zako kweny platform za kisiasa je si utakuwa umekubali? Siasa ni nguvu ya hoja yako msigeuze Matusi baada ya kusemwa ukweli eboo!

Tuliwambia msibane wapinzani mtakuja juta sasa angalieni Mchakamchaka huu..hakna cha vijana wala wazee kujibu hoja hizi za Mpinzani Matata Tundu !!Hakika Tundu ni mtundu amewaweka Tunduni Kitundu!!Mungu bariki Tanzania mpya itakayojali utu wetu na haki zetu!

Sent from my SM-G920F using JamiiForums mobile app
Mara nyingi sana nimekemea na kuyazungumzia kauli chafu za Magufuli, kusifia wake za watu, kuwafananisha watu na sura zake na kusema pengine baba yake aliputa huko nk....,

Tumefundishwa tusitukane watu wala tusiwasingizie.

Lissu hakufanya vizuri hapo kwa tuhuma za kinafiki, kama anapenda ukweli kwanini asimzungumzie mwenye kiti wake na matendo anayoyafanya ndani ya chama. Wacheni kuwa HYPOCRITES
 
Wewe ni mimba iliyonusurika.
Ubelgiji alienda kutibiwa, ulitaka asirudi?
alishatibiwa kitambo tu, akawa na vikao na Robert Amstadarm vya kuandaliwa kuja kuleta vurugu nchini na amefadhiliwa kwa dhamana ya kuwapa rasilimali za nchi hii hao mabwanyenye, Lissu hana uchungu wowote na nchi hii hata ikiingia vitani yeye ameshapewa uraia wa ubelgiji, pia Mimba ni mama yako.
 
Wewe ni mimba iliyonusurika.
Ubelgiji alienda kutibiwa, ulitaka asirudi?
Wabelgiji wameenda wamemwongezea madawa ya uchizi ndiyo maana anaongea kichizi kichizi tu na wanaomwamini ni machizi tu au wengine wako huko ili wapige pesa za mabeberu na watz wajinga kama juzi kati Faru John amezipiga Tshs 50m lakini wanasaccos wanachekelea tu kama mazuzu!
 
Magufuli anaweza kuthibitisha uongo wa Lissu kwa kuweka wazi Commercial Invoice ya ndege alizonunua na kutuambia pesa ya discount ilipoenda.

Atuambie pesa Tzs bilioni 80 zilitumikaje katika kujenga uwanja wa ndege Chato na kwa nini mahesabu ya matumizi yake na yale ya Atcl hayakaguliwi na CAG.

Pia atuambie namna zabuni za ujenzi wa reli na bwawa la Stieglar Gorge zilivyopatikana na kwa nini anaficha financier wa hiyo miradi. Pia atuambie ni kwa nini Ndugai alitibiwa kwa yale mabilioni huku wengine wakifa kwa kukosa hata Anti Malarial Drugs.

Akitupa maelezo ya hayo basi Lissu atakuwa muongo na apelekwe mahakamani.
 
Ukisikiliza Hotuba zake za Kagera, utaona TL anaanza kutumia lugha chafu na za kichochezi.

Lissu amekuwa na mvuto, sijui kwanini ameanza kujiletea utata kwa matusi na tuhuma asizo na ushahidi nazo, Amemwiita Raisi Magufuli Mwizi pamoja na MaRaisi wote waliopita isipokuwa Nyerere.

Yeye ni mwana Sheria na anajua mafunzo yake ya sheria yanasema " INNOCENT UNTIL PROVEN GUILTY", sasa sijui ni sheria gani anayoitumia kuwaita waheshimiwa hawa wezi, na kama anao ushahidi kama ni wezi, kwa nini asiwafungulie kesi na iwapo mahakama itawahukumu, basi hata sie tutakuwa na haki ya kuwaita wezi.

Lissu anazungumzia HAKI, na anailaumu awamu hii kuwa haitendi haki. Jee yeye hapa anatenda haki?? TL Practice what you preach

Kazi kweli kweli.

Mkuu Lissu mmekuwa mkimsema anatumia lugha chafu hata kabla ya shambulizi lile la risasi.

Alipokuwa anatafuta wadhamini hapo sasa ndiyo kabisa mlikuwa hamlali. Mkiitisha tume asiteuliwe kuwa mgombea eti kwa sababu anatumia lugha chafu.

Mkuu labda kama leo ulimaanisha kuwa sasa ameacha kutumia lugha chafu? Kwa makelele yenu aanze mara ngapi basi?

Ama kwa hakika, kwa Lissu, kila mburula atarokota makopo.
 
Ukisikiliza Hotuba zake za Kagera, utaona TL anaanza kutumia lugha chafu na za kichochezi.

Lissu amekuwa na mvuto, sijui kwanini ameanza kujiletea utata kwa matusi na tuhuma asizo na ushahidi nazo, Amemwiita Raisi Magufuli Mwizi pamoja na MaRaisi wote waliopita isipokuwa Nyerere.

Yeye ni mwana Sheria na anajua mafunzo yake ya sheria yanasema " INNOCENT UNTIL PROVEN GUILTY", sasa sijui ni sheria gani anayoitumia kuwaita waheshimiwa hawa wezi, na kama anao ushahidi kama ni wezi, kwa nini asiwafungulie kesi na iwapo mahakama itawahukumu, basi hata sie tutakuwa na haki ya kuwaita wezi.

Lissu anazungumzia HAKI, na anailaumu awamu hii kuwa haitendi haki. Jee yeye hapa anatenda haki?? TL Practice what you preach
Rais magufuli anatumia sheria ipi kuwaita wenzake majizi na mafisadi ?
 
Ukisikiliza Hotuba zake za Kagera, utaona TL anaanza kutumia lugha chafu na za kichochezi.

Lissu amekuwa na mvuto, sijui kwanini ameanza kujiletea utata kwa matusi na tuhuma asizo na ushahidi nazo, Amemwiita Rais Magufuli Mwizi pamoja na MaRais wote waliopita isipokuwa Nyerere.

Yeye ni mwana Sheria na anajua mafunzo yake ya sheria yanasema " INNOCENT UNTIL PROVEN GUILTY", sasa sijui ni sheria gani anayoitumia kuwaita waheshimiwa hawa wezi, na kama anao ushahidi kama ni wezi, kwa nini asiwafungulie kesi na iwapo mahakama itawahukumu, basi hata sie tutakuwa na haki ya kuwaita wezi.

Lissu anazungumzia HAKI, na anailaumu awamu hii kuwa haitendi haki. Jee yeye hapa anatenda haki?? TL Practice what you preach
Ni shida akumbuke kesho nae ataitwa Jambazi
 
Ukisikiliza Hotuba zake za Kagera, utaona TL anaanza kutumia lugha chafu na za kichochezi.

Lissu amekuwa na mvuto, sijui kwanini ameanza kujiletea utata kwa matusi na tuhuma asizo na ushahidi nazo, Amemwiita Rais Magufuli Mwizi pamoja na MaRais wote waliopita isipokuwa Nyerere.

Yeye ni mwana Sheria na anajua mafunzo yake ya sheria yanasema " INNOCENT UNTIL PROVEN GUILTY", sasa sijui ni sheria gani anayoitumia kuwaita waheshimiwa hawa wezi, na kama anao ushahidi kama ni wezi, kwa nini asiwafungulie kesi na iwapo mahakama itawahukumu, basi hata sie tutakuwa na haki ya kuwaita wezi.

Lissu anazungumzia HAKI, na anailaumu awamu hii kuwa haitendi haki. Jee yeye hapa anatenda haki?? TL Practice what you preach
Acha kujitoa ufahamu akafungue kesi mahakama gani
 
KAMA RAIS SIO MWIZI AJITOKEZE AKANUSHE MADAI YOTE YA LISIU. aanze na Mayanga constructions, aje aseme alivyopata zile hekta25,000 aje aseme hela za uwanja Chato zimetoka kwenye bajeti ipi
 
Kwani si ni kibaraka kweli!! ameletwa toka ubelgiji na wazungu kuja kuleta vurugu na amekutana na baadhi ya mapunguani kama wewe mnamwona yuko sawa tu wakati Lissu mwenyewe ana faili mirembe
Jitu zima ovyo..Ulaya umewahi kufika?
 
Mbona wao wanamwita kibaraka kwa ushahidi gani?
1. Ushahidi ni kuwa Lissu alisema kuwa Tanzania siyo lazima kuendelea kuwepo hapa ulimwenguni. Hii inonyesha Lissu ameishakubaliana na wanunuzi (mabeberu) wa kuja kutununua watanzania kwa mafungu huku Lissu akiwa msimamizi.
2. Na kuhakikisha hatanii, ameishaanza kuwaandaa wenzake kisaikolojia kwa kuubadili wimbo wa Taifa ili waanze kuisahau Tanzania. Walifanya hivyo kwenye vikao vya chama cha CHADEMA Pale Mlimani city mbele ya uongozi wajuu wa chama hicho.
3.Irani ya Chadema inatamka wazi kuwa wataweka rehamani machimbo ya madini yetu kwa mabeberu!

@mwasiti52 niongeze ushahidi!?
 
Back
Top Bottom