Tundu Lissu anasema serikali inahonga hela nyingi kwa viongozi wa dini

Tundu Lissu anasema serikali inahonga hela nyingi kwa viongozi wa dini

THE BIG SHOW

JF-Expert Member
Joined
Feb 28, 2012
Posts
16,950
Reaction score
13,527
Friends and Our Enemies,

Katika mkutano wake na vyombo vya habari leo hii,Makamu Mwenyekiti wa Chadema anasema kwamba mabillion ya mapesa yanahongwa kwa makanisa na maaskofu ili kuzibwa midomo.

Kauli hizi ni kauli za uchochezi na zenye kuleta taharuki sana ndani ya Taifa,Makanisa na Maaskofu kazi yenu ni kushiriki katika vitendo vya Rushwa?

Baraza la maaskofu kupitia katibu wao Padre Kitima Wamekuwa hodari sana wa kutoa matamko ya kulaani na kuikosoa serikali,hapo hapo Tundu lisu anasema kuwa maaskofu na makanisa yamekuwa vinara wa kushiriki vitendo hivyo.

Tunataka Kuskia Matamko kutoka baraza la maaskofu kuhusu kauli hizi za Tundu lisu na chama chake cha chadema.
 
ACHANA NA HABARI ZA MASHEIKH USITAKE KUBALANCE STORY

TUNATAKA TAMKO KUTOKA TEC KUHUSU KAULI ZA MAKAMU MWENYEKITI WA CHADEMA,JE KUMBE NI KWELI MAKANISA NA MAASKOFU WANAHONGWA RUSHWA KUZIBWA MIDOMO?
Huna ujuacho

Kanisani Kuna watu wema wanaipenda Tanzania ndio wanampa taarifa Lissu pia

Kanisani sio watu wote waadilifu kwenye utawala wa Kikwete uliona walivyopewa pesa za escrow

Kanisani msikitini kote Kuna watu wema na wezi

Unakumbuka kadnari Pengo kwenye utawala wa Magufuli ?

Lissu anaongea akiwa na evidence kutoka ndani usifikili kakurupuka ni kweli Kuna mapadri wanahongwa

Serikali zote za kishenzi ufanya hivyo kuteka kanisa na msikiti na wapinzani uchwara

Ila watumishi pure uwa hawayumbi
 
Kutokana na mfululizo wa viongozi wa dini kujihusisha na siasa hasa kwa kauli zao wanapokuwa kwenye ibada mimi nilihofia nikajua hapa labda hawa wanatishiwa au wanahongwa hela huwenda lissu yupo sahihi
 
Friends and Our Enemies,

Katika mkutano wake na vyombo vya habari leo hii,Makamu Mwenyekiti wa Chadema anasema kwamba mabillion ya mapesa yanahongwa kwa makanisa na maaskofu ili kuzibwa midomo.

Kauli hizi ni kauli za uchochezi na zenye kuleta taharuki sana ndani ya Taifa,Makanisa na Maaskofu kazi yenu ni kushiriki katika vitendo vya Rushwa?

Baraza la maaskofu kupitia katibu wao Padre Kitima Wamekuwa hodari sana wa kutoa matamko ya kulaani na kuikosoa serikali,hapo hapo Tundu lisu anasema kuwa maaskofu na makanisa yamekuwa vinara wa kushiriki vitendo hivyo.

Tunataka Kuskia Matamko kutoka baraza la maaskofu kuhusu kauli hizi za Tundu lisu na chama chake cha chadema.
Mbona tayar umeshamhukumu? Unafikiri kanisa la RC ni kama la mwamposa? Wale wanajielewa na hawababaishwi na Chawa kama wewe
 
Friends and Our Enemies,

Katika mkutano wake na vyombo vya habari leo hii,Makamu Mwenyekiti wa Chadema anasema kwamba mabillion ya mapesa yanahongwa kwa makanisa na maaskofu ili kuzibwa midomo.

Kauli hizi ni kauli za uchochezi na zenye kuleta taharuki sana ndani ya Taifa,Makanisa na Maaskofu kazi yenu ni kushiriki katika vitendo vya Rushwa?

Baraza la maaskofu kupitia katibu wao Padre Kitima Wamekuwa hodari sana wa kutoa matamko ya kulaani na kuikosoa serikali,hapo hapo Tundu lisu anasema kuwa maaskofu na makanisa yamekuwa vinara wa kushiriki vitendo hivyo.

Tunataka Kuskia Matamko kutoka baraza la maaskofu kuhusu kauli hizi za Tundu lisu na chama chake cha chadema.
nimeshangaa sana mtu asie na sifa ya kupiga kura na ambae hajajiandikisha ndio kinara wa kulalamikia viongozi wasio na sifa kuenguliwa..

kusingizia viongozi wa dini kupokea rushwa ni dalili za kujikatia tamaa kwakwe kutafuta uongozi hususani kugombea urasi.

Infact,
Chadema wameshamueleza kwamba hastahili nafasi hiyo na kwahivyo anatafuta sababu ya kujifukuzisha chadema 🐒
 
nimeshangaa sana mtu asie na sifa ya kupiga kura na ambae hajajiandikisha ndio kinara wa kulalamikia viongozi wasio na sifa kuenguliwa..

kusingizia viongozi wa dini kupokea rushwa ni dalili za kujikatia tamaa kwakwe kutafuta uongozi hususani kugombea urasi.

Infact,
Chadema wameshamueleza kwamba hastahili nafasi hiyo na kwahivyo anatafuta sababu ya kujifukuzisha chadema 🐒
Usipojiandikisha kupiga kura unapoteza haki zako zote kama raiya? Ni kifungu gani hocho cha katiba kinaeleza hivyo?
 
ACHANA NA HABARI ZA MASHEIKH USITAKE KUBALANCE STORY

TUNATAKA TAMKO KUTOKA TEC KUHUSU KAULI ZA MAKAMU MWENYEKITI WA CHADEMA,JE KUMBE NI KWELI MAKANISA NA MAASKOFU WANAHONGWA RUSHWA KUZIBWA MIDOMO?
Unadhani hao TEC ni vichwa maandazi kama ww hawajui Lisu kaongea nini? Hao TEC wengi ni PhD holders wanajua muktadha wa kinachoongelewa, sio wale wa suruali za nusu uwanja unaweza kuwaproveke bila logic.
 
Unadhani hao TEC ni vichwa maandazi kama ww hawajui Lisu kaongea nini? Hao TEC wengi ni PhD holders wanajua muktadha wa kinachoongelewa, sio wale wa suruali za nusu uwanja unaweza kuwaproveke bila logic.
MANENO HAYO SIJASEMA MIMI,KASEMA LISU KAMA MAKAMU MWENYEKITI WA CHADEMA NA VIDEO IPO.

KANISA KWA NINI LINACHUKUA RUSHWA??
 
Wewe ni kondoo kweli kweli. Kwani Maaskofu wapo TEC tu?
MAASKOFU WAPO TEC AU WAPI HIYO NI JUU YENU...SISI TUNACHOTAKA KUJUA KWANINI MAASKOFU NA MAKANISA YANACHUKUA RUSHWA??

KWAHIYO ANACHOSEMA TUNDU LISU NI KWELI?
 
Back
Top Bottom