Tundu Lissu anasema serikali inahonga hela nyingi kwa viongozi wa dini

Tundu Lissu anasema serikali inahonga hela nyingi kwa viongozi wa dini

Friends and Our Enemies,

Katika mkutano wake na vyombo vya habari leo hii,Makamu Mwenyekiti wa Chadema anasema kwamba mabillion ya mapesa yanahongwa kwa makanisa na maaskofu ili kuzibwa midomo.

Kauli hizi ni kauli za uchochezi na zenye kuleta taharuki sana ndani ya Taifa,Makanisa na Maaskofu kazi yenu ni kushiriki katika vitendo vya Rushwa?

Baraza la maaskofu kupitia katibu wao Padre Kitima Wamekuwa hodari sana wa kutoa matamko ya kulaani na kuikosoa serikali,hapo hapo Tundu lisu anasema kuwa maaskofu na makanisa yamekuwa vinara wa kushiriki vitendo hivyo.

Tunataka Kuskia Matamko kutoka baraza la maaskofu kuhusu kauli hizi za Tundu lisu na chama chake cha chadema.
Hao wanaohongwa nao ni makanjanja wa imani tu
 
Ukisikia Maaskofu Maanake ndiyo wote wanatoka TEC? Toa ududu huo kwenye akili yako. Halafu kwanini utake tamko la TEC ?
KWANI WALE AMBAO WALICHUKUA MGAO WA FEDHA HARAMU ZA ESCROW HAWAKUTOKA TEC??

HIZI HAO JAMAA MBONA NDIYO ZAO TOKEA KITAMBO TUH??SASA MNAKANUSHA AU MNAKUBALI ALICHOKISEMA MAKAMU MWENYEKITI WA CHADEMA TUNDU LISU?
 
Una hoja nzuri kabisa,

Lakini kwa nini huwa nyie wenye mrengo fulani huwa mnacomment sana kwa herufi kubwa? Nimeona mara nyingi mkitumia capital letter ku-comment, huwa ni kwa nini? Kuna kitu nataka nijifunze
Huo ni msisitizo wa makelele yake kimaandishi.
 
Serikali hii imekuwa inatumia pesa kila mahali kulazimisha ushawishi.

Kanisani zimemwagwa pesa.

Msikitini zimemwagwa pesa .

Simba na Yanga zinamwagiwa pesa.[Goli la mama]

Madaktari wanamwagiwa pesa [Madaktari wa Samia]

Lissu mwenyewe alitumiwa Abduli akamwagie pesa ili "atulie"

Najiuliza hizi pesa Samia anatoa wapi, na mshahara wake ni kiasi gani?

It is alarming!
Ni pesa za walipa kodi zinatapanywa tu
 
KAULI KASEMA TUNDU LISU NA ZIKO WAZI KUWA MAASKOFU NA MAKANISA WANACHUKUA RUSHWA NA HONGO ILI WAZIBWE MIDOMO,LISU SIYO KICHAA BASI WATUELEZE MAASKOFU NA MAKANISA KWA NINI WANACHUKUA RUSHWA?

..amesema Samia anahonga MAASKOFU.

..Na haijulikani fedha anazohonga chanzo chake ni kipi.
 
Samia ametoa hela karibia majimbo yote hata kwa shughuli ndogo tu kama ukarabati wa majengo ya Kanisa.

Kule Nzega, majuzi tu, watu wake walipomwambia kuwa Kanisa katoliki paeokia ya Nzega mjini wanafanya ukarabati wa Kanisa, Samia katuma milioni 50, na Bashe milioni 30. Wewe unaamini hizo pesa zinatolewa kwa sababu Samia na Bashe wanalipenda sana kanisa katoliki parokia ya Nzega?

Na Samia amefanya hivyo kwa zaidi ya makanisa 20 nchi nzima!!

..Samia anatoa wapo fedha zote hizo?

..mbona Nyerere, Mwinyi, Mkapa, walikuwa hawatoi fedha hovyohovyo kwa Makanisa?
 
..kwa hiyo Mama Abduli amemhonga Mbowe, pamoja na Maaskofu?

..Mama Abduli ametoa wapi fedha hizo, au na yeye amehongwa?
MAASKOFU NA MAKANISA SIYO MARA YA KWANZA HII KUHUSIKA NA KASHFA YA KUCHUKUA HONGO,HATA KWENYE SAKATA LA ESCROW MAKANISA NA MAASKOFU WALINUFAIKA NA MGAO WA FEDHA HARAMU,SASA MAKAMU MWENYEKITI WA CHADEMA ANAPOSEMA KUWA MAASKOFU NA MAKANISA YAMEHONGWA RUSHWA KWANINI TUSIWAHOJI HAO MAASKOFU??
 
..Samia anatoa wapo fedha zote hizo?

..mbona Nyerere, Mwinyi, Mkapa, walikuwa hawatoi fedha hovyohovyo kwa Makanisa?
NA KWANINI MAASKOFU NA MAKANISA WAPOKEE??

FEDHA ZA SADAKA HAZIWATOSHI HUKO MAKANISANI HADI WAKIMBILIE RUSHWA KUTOKA KWA WANASIASA??
 
Kwa hiyo kwa vile wewe mimba yako ilitungwa kwenye mkesha wa mbio za mwenge, unao uhalali wa kutungisha mimba kwenye mkesha wa mwenge!!??
SASA KAMA UMEKUJA MWENYEWE KWENYE MKESHA WA MWENGE KUUZA WOWOWO KWANINI WATU WASIKUPELEKEE MOTO??

SI,UMEUTAKA??UNAPEWA TUH UHANGAIKE NAO
 
Back
Top Bottom