Tundu Lissu anayeliliwa na Amos Makalla huyu hapa, Anacheeeeka

Tundu Lissu anayeliliwa na Amos Makalla huyu hapa, Anacheeeeka

View attachment 3132780

Bado haijajulikana sababu hasa ya Amos Makalla kumlilia Tundu Lissu, hasa ikizingatia kwamba hakuna hata mara moja Lissu amemzungumzia Makalla na huenda hata Hamfahamu.

Bali imejulikana kwamba ili kiongozi wa CCM asikilizwe na Jamii ni Lazima amzungumzie kiongozi wa Chadema, Na hasa akimzungumzia kwa Ubaya.

Soma Pia: Amos Makalla: CHADEMA imegawanyika, kuna upande wa Lissu na upande wa Mbowe
Tundu Lissu ni Mtu mwenye furaha wakati wote.

This Man is Blessed
 
Shida ya Africa ni Kama tu migogoro ya ndoa, Ukijaribu kuisolve kwa kutumia Exterbal forces (majirani na ndugu) basi ujue ndo unaimalizia kuibomoa bila kujua hata kama una nia ya dhati. Amin tu hakuna jirani anapenda kuona mnafurah mnanenepa mnachekeanachekeana kila siku chumbani huku mkimuumiza na vilio vya mahaba.
Lakini tutafanyaje sasa Bwana ni mkali, hashauriki hawasikilizi wanafamilia ni mnyanyasaji tukisema tuendelee kushauliana na kuvumiliana kuna siku atakutwa mke kauwawa na watoto wanekufa njaa.
Bora ndoa ivunjike kila mtu akasurvive na dhiki yake kwa amani, Me naona hivyo.
Hahaha
 
22 October 2024

Je Marehemu Hawa Waliweza Kufufuka Toka Makaburini, Kujikongoja Hadi Kituo cha Uandikishwaji Kupewa nafasi ya Kujiandikisha ktk daftari la Mkaazi?


View: https://m.youtube.com/watch?v=xDMhBU0BM9c
Madudu kibao mchalato wa maandalizi uchaguzi serikali za mitaa 27 November 2024, daftrari la mkaazi lina majina ya marehemu kibao, na majina yao kubandikwa kuwa marehemu watapiga kura November 2024


Hayo ni sehemu tu madudu kibao yaliyobainika huku wasimamizi wasaidizi ni makada wa CCM ...
 
Vijana wa CHADEMA BAVICHA WAKIWA KTK KARANDINGA LA POLISI SIKU YA VIJANA DUNIANI MBEYA 2024

1729623210349.jpeg

Jumla ya vijana zaidi ya 500 wanachama wa CHADEMA walikamatwa katika operesheni kubwa ya jeshi la Polisi nchini Tanzania kuwazuia wasiweze kushiriki kongamano la kuadhimisha Siku ya Vijana Duniani iliyoandaliwa kufanyika jijini Mbeya Tanzania .
 
View attachment 3132780

Bado haijajulikana sababu hasa ya Amos Makalla kumlilia Tundu Lissu, hasa ikizingatia kwamba hakuna hata mara moja Lissu amemzungumzia Makalla na huenda hata Hamfahamu.

Bali imejulikana kwamba ili kiongozi wa CCM asikilizwe na Jamii ni Lazima amzungumzie kiongozi wa Chadema, Na hasa akimzungumzia kwa Ubaya.

Soma Pia: Amos Makalla: CHADEMA imegawanyika, kuna upande wa Lissu na upande wa Mbowe
Anataka kutuaminisha kuwa ccm hakuna mpasuko?kwa mini team za uongozi zinapangwa mpya Mara kwa mara? Umeona cdm ikibadilisha wachezaji?
Chadema wakati mwingine wanakuwa kama mabagaa, Sasa kituonyesha lissu akiwa na upinde wake anayehudumu top ndo nini?!!!!
 
Ahadi kibao za serikali ya Tanzania chini ya chama dola kongwe tawala CCM

MARCH 2023
GENEVA, SWITZERLAND
Wasilisho

GEORGE B. SIMBACHAWENE, Waziri wa Mambo ya Katiba na Sheria wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania , alisema kati ya mapendekezo 252 yaliyowasilishwa kwake, nchi ilikubali kutekeleza 167 na 20 kwa sehemu. Mapendekezo 167 yaliyokubaliwa ni yale yanayoendana na Katiba ya Tanzania na Katiba ya Zanzibar; haya ni mapendekezo ambayo pia yanawiana na sera, sheria na programu za nchi zinazohusu ukuzaji na ulinzi wa haki za kiraia, kisiasa, kiuchumi, kijamii na kiutamaduni, masuala ya haki za binadamu yanayojitokeza, juhudi za kupambana na rushwa, uhifadhi wa mazingira na vipaumbele vyetu vya maendeleo.

Miongoni mwa mapendekezo ambayo hatimaye yalikubaliwa ni mapendekezo ambayo nchi iliyazingatia hapo awali au ambayo iliahirisha kuchukua nafasi. Mashauriano ya kina ndani ya Serikali na maoni yaliyotolewa na wadau mbalimbali yalipelekea kukubalika kwa mapendekezo kuhusu masuala yanayohusu umri wa kuolewa; sera ya kuwajumuisha wasichana wa shule wajawazito; au uhuru wa kujieleza na haki ya kupata habari, pamoja na haki ya ushiriki wa kisiasa.

Mapendekezo 65 yaliyotajwa hayaendani na katiba, sera, sheria, mila, imani na utamaduni wa nchi au yanahitaji mashauriano zaidi kabla ya kufanya uamuzi madhubuti, alisisitiza Waziri. Haya ni pamoja na mapendekezo kuhusu watu walio katika mahusiano ya jinsia moja. Serikali inajitahidi kuhakikisha kwamba Watanzania wote wanafurahia haki sawa za binadamu - kiraia, kisiasa, kiuchumi, kijamii na kiutamaduni. Hata hivyo, mahusiano ya jinsia moja yameendelea kupigwa marufuku katika sheria zetu za makosa ya jinai na kwenda kinyume na mila, desturi na imani zetu, Waziri alieleza.

Zaidi ya hayo, nchi haiwezi kujitolea kukomesha hukumu ya kifo, hata kama Serikali haijatekeleza hukumu hii kwa zaidi ya miaka 29 kwa kuwa kuna kusitishwa kwa maombi yake, alisema Bw.

Muhtasari wa mjadala

Wajumbe kadhaa walikaribisha jitihada za Tanzania za kuboresha utekelezaji wa haki za binadamu nchini pamoja na kufikia Malengo ya Maendeleo Endelevu ifikapo mwaka 2030. Watoa mada wengi walifurahia mapendekezo mengi yaliyokubaliwa na Tanzania, hasa kuhusu kuendelea kuimarisha hatua zinazolenga kupambana na ukatili dhidi ya wanawake na wasichana.

Baadhi ya wazungumzaji walikaribisha hatua zilizochukuliwa ili kuhakikisha upatikanaji bora wa huduma za afya kwa wote nchini, hasa kupitia ongezeko la bajeti za serikali kwa ajili hiyo. Juhudi za kuimarisha uhuru wa mahakama na kuboresha upatikanaji wa haki, pamoja na hatua zinazochukuliwa kukabiliana na utumikishwaji wa watoto pia zilikaribishwa.

Tanzania iliombwa kupitisha ramani ya utekelezaji ili kutekeleza mapendekezo yaliyokubaliwa.

Ujumbe uliitaka nchi kuchukua hatua kuhakikisha kuwa wanawake wana haki sawa na wanaume katika masuala ya mirathi.

Wazungumzaji kadhaa, pamoja na kukaribisha kushuka kwa kiwango cha ukatili dhidi ya watu wenye ualbino, waliiomba nchi kuendelea kupambana na dhana potofu dhidi ya watu hao.


Hitimisho

MHESHIMIWA SIMBACHAWENE amewashukuru wale wote waliovutiwa na Universal Periodic Review ya nchi yake. Alisisitiza dhamira ya Tanzania ya kutekeleza mapendekezo iliyoyakubali, kwani hakuna shaka yatakuwa na athari za moja kwa moja katika utekelezaji wa haki za binadamu na maendeleo endelevu katika nchi hii.



Hati hii iliyotolewa na Huduma ya Habari ya Umoja wa Mataifa huko Geneva imekusudiwa kwa madhumuni ya habari; haijumuishi hati rasmi.


HRC22.044F
 
2020 5 February
Tanzanian Opposition Leader Zitto Kabwe received death threats


View: https://m.youtube.com/watch?v=2VNPF85xZ6w
after he and a coalition of opposition activists wrote the World Bank asking the Bank to withhold a loan to the government over human rights violations. In June 2019, he was arrested and banned from travelling outside the country. Zitto Kabwe, Founder, Alliance For Change and Transparency Political Party, appeared live to discuss Tanzania's current human rights situation.
 
22 October 2024

Je Marehemu Hawa Waliweza Kufufuka Toka Makaburini, Kujikongoja Hadi Kituo cha Uandikishwaji Kupewa nafasi ya Kujiandikisha ktk daftari la Mkaazi?


View: https://m.youtube.com/watch?v=xDMhBU0BM9c
Madudu kibao mchalato wa maandalizi uchaguzi serikali za mitaa 27 November 2024, daftrari la mkaazi lina majina ya marehemu kibao, na majina yao kubandikwa kuwa marehemu watapiga kura November 2024


Hayo ni sehemu tu madudu kibao yaliyobainika huku wasimamizi wasaidizi ni makada wa CCM ...

Wameumbuka!
 
Duuh hii kali sana.

Faiza foxy sijui kawa vipi. ..huyu sasa hivi anawaza kama wafuasi wa magufuli.

Kumbe malalamiko yake enzi za magufuli ilikuwa sababu ya chuki tu.

Kama ilikuwa kwa sababu ya kusimania haki basi asingekuwa anafurahia haya ya sasa maana yanafanana na yale aliyofanya Magufuli.

Akifanya Magu ni mbaya akifanya mtu wao ni poa tu.

Chuko chuki chuki......siasa za bongo mavi matupu.
Huyo Bibi ana udini usio na mfano
 
Chadema wanapenda wazungu mno, shauri yao?
Kumtukana mtu matusi ya mzazi wake ,kama vile ndyo maana mama au Baba yako ana moja mbili tatu hiyo ni ishara kwamba unawadharau wazazi wako pia.Maana ujue unaweza kujibiwa mambo magumu,mabaya na yakweli usiyo yajua kuhusu mzazi wako mpaka ukataman kurusha ngumi au kuzimia kabisaa au ukataman ardhi ipasuke.
 
Kwanini amevaa koti la Boniphace Jacob?
 
Back
Top Bottom