Tundu Lissu anayeliliwa na Amos Makalla huyu hapa, Anacheeeeka

Great to meet with my good friend @TunduALissu today in Brussels for a quick exchange of views! ‍ @ChademaTz.


Vorsitzender des Auswärtigen Ausschusses / Chair of the Foreign Affairs Committee | Mitglied des Europäischen Parlaments.
 
Naamini siasa za sasa zimwmtupa mkomo Amos Makala.......ni kama hana hoja anaachwa na muda kila uchwao....sio zile siasa alizozoea za enzi zile Guninita na Suka Said Suka....karne hii naona iko too digital.....inaenda kasi.....sana...!!
 
Lissu anawanyima utlivu wa mioyo sana viongozi wa CCM.
Lisu akiwa Tanzania huwezi muona akicheka hata akipiga picha na waswahili viongozi wenzie wa Chadema lakini akipiga picha na mzungu yeyote hata awe bwege meno yote utayaona nje anacheka

Ukoloni wa kizungu umemjaa kichwani kwake
 
Kuna chadema huwa mnachambua Hadi mambo ya ndani ya CCM kama viongozi wa pamba vile miili Yao Ipo pamba roho zao Simba au yanga
 
Uko sahihi sana. Ila ninachojua, uelewa wa Makalla wa kudadavua mambo ni mdogo sana ukilinganisha na ule wa Lissu. Na analijua hilo. Hivyo, ili ajipandishe chati anaona amtajetaje Lissu.
Binadamu hatuezi kua sawa ,alafu uongozi sio elimu tuh na hekima pia
Kitu ambacho lisu hana
Ye kutwa na wazungu kuwasujudia
Hatuezi mpa nchi chawa wa ulaya
 
Binadamu hatuezi kua sawa ,alafu uongozi sio elimu tuh na hekima pia
Kitu ambacho lisu hana
Ye kutwa na wazungu kuwasujudia
Hatuezi mpa nchi chawa wa ulaya
Acha hilo. Lissu alipigwa hadi risasi, na wewe unajua ni kwa nini. Uwezo wake upo juu ya unachokisema,na ndiyo maana Watanzania wengi wanamuelewa . Suala la Wazungu kumjua hiyo ni coincidence ya mambo mawili. Mosi, Lissu alisomea kwao na ni moja ya Wanafunzi waliofanya vizuri sana darasani na nje ya darasa,so they have his records as a material personel. Pili, kwa aina ya Siasa anazifanya Lissu na Chama chake cha Chadema ni obvious dunia itamfahamu.
 
yaani makala aililie hiyo ,,,,,,,,,,,wapi na wapi
 
Chadema hawako kwa ajiri ya watu bali matumbo yao tu. Sasa lisu hata hajajiandikisha kupiga kula halafu unategemea nini. Lakini chama che hewe ni cha wachaga na inajulikana wazi wachaga wote ni wezi na wasaka fursa ndo mana hata kanisa katoliki limevamiwa. Wachaga hawataki kabisa kabila lingine kujoin jesuit fathers kisa mkuu kwa hapa tanzania ni mchaga na anaitwa Jerome yupo pale dodo st clever
 
Vikwazo na Kibano soon mpaka huko lumumba waendeshe kila dakika
 
Vikwazo na Kibano soon mpaka huko lumumba waendeshe kila dakika

Safari hii haikwepeki vikwazo vikali, baada ya CCM na serikali yake kuihadaa jumuiya ya kimataifa na wadau wa maendeleo wa kimataifa kuwa iliachana na utawala wa kiimla ulioanza 2016, huku ukiendelea kukomaa hadi sasa 2024 kuelekea 2025
 
Huyu jamaa katelekeza familia muda wote yupo na huyo basha Amsterdam
 
Makala mweka hazina wa zamani wa mboga mboga! Habari ya mchpuko wako Jenister Mhagama? Mfunze basi kienglish cha kuombea ugali asituabishe tena kama kwenye ule mkutano wa kumtambua Dr aliyechaguliwa mkurugenzi wa WHO Afrika? Please hatutaki tena zey zey kamu andi---
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…