Tundu Lissu anayeshambulia Serikali worldwide kwanini bunge linamjibu countrywide? Hatuwezi kufika huko duniani kumjibu!

Tundu Lissu anayeshambulia Serikali worldwide kwanini bunge linamjibu countrywide? Hatuwezi kufika huko duniani kumjibu!

Mna kichwa gani huko CCM cha kuweza jibu au shiriki vipindi kama hard talk? Nyote ni makasuku mnaoropoka vya kumezeshwa!! Kama mkuu wenu wa Jela anatamka intapretenyuaa atweza lingua ya huko Mbele? No wonder ni mtupu sana kichwani kiasi cha kujiita kichaa


Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona huyu Lussu alikuwa anajilopokea tu,kuna wakati akabanwa akasema you can call back them cheza na kimalkia.
 
Hao BBC na CNN unadhani wanampenda Lissu Au wanatumwa na mazingira ya mabeberu wanaosaka vitu wasivyovipata. Jifunzeni Hakuna taifa linalohangaika na taifa lisilo na faida kiuchumi. Iwe kwa Serikali Au walipa kodi wake wakubwa. Kwa Lugha nyepesi huyu mnayemwita msomi Lissu anatumika wazi wazi na jiulize Sasa kwa faida ya nani. Zamani ningehisi hamuelewi. Ila sasa na wasiwasi wa akili. Siasa ni siasa lakini mtu mzima mwenye akili hawezi kuleta ushabiki katika Identity yake. Ndo Mana ndani ya ndoa huwezi Kuta mke Au mume wanaomba air Time kutangaza uwingi Wa maji Au ukibamia wa Mwenza eti apate amani. Huruma sana.
aah wewe acha upoyoyo identity ya mtu inapoteaje kwa kusema ukweli kwamba Tanzania ina raisi dikteta muaji mvunja katiba mwenye hasira anayesweka wapinzani ndani mbaguzi mkabila asiye fuata misingina maadili ya utumishi aliyegeuza nchi kuwa lindi la damu huyo ndio mzalendo anaokoa nchi na vizazi vijavyo
 
Nimeshangazwa na namna Tundu Lisu anavyopewa umaarufu wa bure bila sababu za msingi. Wakati Lisu akitumia vyombo vikubwa vya habari duniani kuinanga serikali na bunge lake, bunge linatumia TBC kumjibu, tena wala hawatumii extenal service kama ipo.

Najiuliza tu kama msemaji wa bunge au serikali hawawezi kumpinga na kumshushua Tundu Lisu kwa kutumia media za kimataifa.
Ingependeza hata kumuona msemaji wa CCM ndugu Polepole kwenda pale BBC au CNN kuweka mambo sawa dunia ijue ukweli.

Lakini yupo mwanaccm nguli ambaye ana uzoefu kidogo na hizo International media ndugu yetu Pascal Mayalla, katika hili nadhani angeweza kusaidia.
Cha msingi Tundu Lisu ni lazima ajibiwe kwa njia ile ile anayoipitia kushambulia na siyo hadi tumsubiri Salary slip atuletee mashambulizi hayo kwa tafsir ya kiswahilii ndio tukurupuke kumjibu.........Ndio sababu tunanukuliwa vibaya.

Niwatakie Ijumaa njema
Maendeleo hayana vyama!
Nenda kajibu wewe Pascal kalowa hoja zimemuishia.

Kwani hoja za Lisu ni za uongo?

Huwezi kajibu hoja za kweli kwa hoja za vioja na uongo.
 
Nimeshangazwa na namna Tundu Lisu anavyopewa umaarufu wa bure bila sababu za msingi. Wakati Lisu akitumia vyombo vikubwa vya habari duniani kuinanga serikali na bunge lake, bunge linatumia TBC kumjibu, tena wala hawatumii extenal service kama ipo.

Najiuliza tu kama msemaji wa bunge au serikali hawawezi kumpinga na kumshushua Tundu Lisu kwa kutumia media za kimataifa.
Ingependeza hata kumuona msemaji wa CCM ndugu Polepole kwenda pale BBC au CNN kuweka mambo sawa dunia ijue ukweli.

Lakini yupo mwanaccm nguli ambaye ana uzoefu kidogo na hizo International media ndugu yetu Pascal Mayalla, katika hili nadhani angeweza kusaidia.
Cha msingi Tundu Lisu ni lazima ajibiwe kwa njia ile ile anayoipitia kushambulia na siyo hadi tumsubiri Salary slip atuletee mashambulizi hayo kwa tafsir ya kiswahilii ndio tukurupuke kumjibu.........Ndio sababu tunanukuliwa vibaya.

Niwatakie Ijumaa njema
Maendeleo hayana vyama!




DAWA KUBWA YA TUNDU LISU NI KUMPA STAHIKI ANAZODAI MAANA NI HAKI YAKE. Kama kweli anachosema hajatendewa basi naamini mnapaswa kumlipa
 
Na target yenyewe inakunukuu vibaya?!!!

Hao viongozi wanamjibu Lissu hapa nyumbani maana ndio kuna nafasi ya kupotosha. Huko nje haswa hiyo hardtalk hakuna nafasi ya kupotosha kwani huko cheo hakiogopwi bali uwezo, na viongozi wetu hawana uwezo bila nguvu ya dola. Hakuna mwanaccm kuanzia jiwe mwenyewe mpaka nyie wabeba briefcase zake. Usishangae siku akijitokeza atakayejitoa muhanga akapigwa maswali mpaka akawataja wasiojulikana na anayewatuma. Huko hardtalk wanaenda wenye uwezo tu, sio wanaopata madaraka kwa wizi wa kura.
 
nilishauri hili kwenye uzi wangu huko nyuma, tundu lissu asinyamaziwe ajibiwe kisiasa na kitaaluma naamini atanyamaza na kuwa na hofu na anayoyafanya.

Narudia tena njia anayotumia Tundu Lissu itumike hiyo hiyo na ikiwezekana waende mbali zaidi ya anapoenda tundu lissu.

kuna wanaCCM wenye uwezo mkubwa sana wa kumjibu tundu lissu na atajibiwa asiamini hilo. Kuna watu kama mkuu wa wilaya wa Tanga, ukimsikiliza uwezo wake wa kujenga hoja na kuitetea ni mkubwa sana kuweza kumjibu lissu

Mkuu taja wote unaowajua, ila uwezo wao ni wa vyombo vya huku huku Africa ambapo cheo ndio humbemba mtu. Huko vyombo vya Ulaya hamna nafasi ya upotoshaji, ndio maana Magu kila akipiga mahesabu ataendaje nje anachanganyikiwa. Na uzuri akienda Ulaya atapanda kujibu yeye mwenyewe. Huko waandishi wa habari wana nguvu kuliko vyombo vya dola. Huyo mkuu wa wilaya uliyemtaja yeye ataishia kuhojiwa na mwambao FM kwani hana status ya hardtalk. Nashukuru pia kwa kujua huko juu ni viazi watupu ndio maana umemuona huyu kada wa chini ndio anayeweza. Hapa ndio uwezo hujitenga na ubabaishaji. Ingekuwa hawako nyuma ya shambulio la Lissu wangethubutu kwenda sio kinyume cha hapo.
 
Nimeshangazwa na namna Tundu Lisu anavyopewa umaarufu wa bure bila sababu za msingi. Wakati Lisu akitumia vyombo vikubwa vya habari duniani kuinanga serikali na bunge lake, bunge linatumia TBC kumjibu, tena wala hawatumii extenal service kama ipo.

Najiuliza tu kama msemaji wa bunge au serikali hawawezi kumpinga na kumshushua Tundu Lisu kwa kutumia media za kimataifa.
Ingependeza hata kumuona msemaji wa CCM ndugu Polepole kwenda pale BBC au CNN kuweka mambo sawa dunia ijue ukweli.

Lakini yupo mwanaccm nguli ambaye ana uzoefu kidogo na hizo International media ndugu yetu Pascal Mayalla, katika hili nadhani angeweza kusaidia.
Cha msingi Tundu Lisu ni lazima ajibiwe kwa njia ile ile anayoipitia kushambulia na siyo hadi tumsubiri Salary slip atuletee mashambulizi hayo kwa tafsir ya kiswahilii ndio tukurupuke kumjibu.........Ndio sababu tunanukuliwa vibaya.

Niwatakie Ijumaa njema
Maendeleo hayana vyama!
Sioni sababu, wapiga kura wako huku, huo umaarufu unaweza kumpatia nafasi ya kuwa lecturer huko nje na si vknginevyo.

Sent from my SM-T355Y using Tapatalk
 
Sioni sababu, wapiga kura wako huku, huo umaarufu unaweza kumpatia nafasi ya kuwa lecturer huko nje na si vknginevyo.

Sent from my SM-T355Y using Tapatalk
Mkuu usikariri...... Dunia ni kijiji ndio maana bunge linamjibu nchi ni zaidi ya wapiga kura!
 
Najiuliza tu kama msemaji wa bunge au serikali hawawezi kumpinga na kumshushua Tundu Lisu kwa kutumia media za kimataifa
Imagine msemaji wa Bunge akakalie kiti pale The HardTalk. Bora tu wamjibie kupita TBC1
 
Unataka waende huko ili wakaumbuke Mara 1000!!

Maswali ni magumu kujibika!!
mfano :
kwann mlikubali kuwa na mfumo wa vyama vingi?

kwann mnawaona wapinzan ni maadui wa maendeleo.

ina maana tanzania ilianzisha vikundi vya kuihujumu nchi kwa makusudi?

kama sivyo hivyo kwann rais anasema atahakikisha anaua vyama vya upinzani??

tundu lissu anasema serikali ndio iliyohusika nyie mnakataa kwann mnakataa ili hali rais alisema ni msaliti na msaliti dawa yake inajulikana?? dawa hiyo ni ipi ambayo wanajeshi huitumia kwa msaliti wa jeshi vitani??

mnasema sio nyie je mko tayar kuwaweka hadharani askari waliokua lindo siku ya tukio lakn wakapisha lindo ili shambulio litekelezwe??

kama sio nyie mmewafanya nn wale askali walioshindwa kulinda lindo lao?

kama nyie hamhusiki ilikuaje wale wote waliokua wanamwomboa mliwakamata ,
waliovaa tirshet za kumwombea na waujazi walikua kwenye taget ya vyombo vya usalama kwa kuhofia nini.

lissu mmemuweka kwenye kundi la wasaliti hebu twambie kasaliti nn mpaka sasa.

yapo mengi si serikali wala ccm inayoweza kujibu
Magonjwa mtambuka,Ndege John na Cocochanel watusaidie kujibu hapa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nadhani huenda CCM kwa sasa imejaa mazezeta kwa kwenda mbele, unafikiri kuna atakaye thubutu kumjibu Lissu kwa hoja? Karibu wote wamebakia kimya, porojo na propaganda tu. Lissu kawalaza Wote chaliii.

Nenda kamuulize Anna Makinda akwambie Lissu ni jembe la namna gani kwa hoja?

Wewe unafikiri, wale wasiojulikana waliamka tu na kwenda kumpiga risasi Lissu? Kwa vyovyote vile watakuwa walitumwa ili kumnyamazisha. Nani aliwatuma? Jibu kila mtu analo. Kama unabisha muulize Jiwe, huenda atakwambia kitu kuhusu Lissu.

Tundu Lissu ni kama bomu la atomic kwenye siasa za Tanzania. Hoja zake zinawanyima usingizi wanaCCM wote, kuanzia pale bungeni, Lumumba mpaka magogoni huenda huwa wanapata tumbo la kuharisha fulani hivi kila wakisikia Lissu ana hits kwenye media.

Kwa kukusaidia tu, fahamu kuwa, kuna wema wengi mnoo wamemzunguka Lissu na wengi wao ni wasomi, wanasheria, makada wa CCM wenye akili timamu, waandishi wa habari, wafanyakazi, wafanyabiashara, askari, wawekezaji na yote kwa yote, MUNGU yupo upande wa Lissu(Kaa tafakari tu, ni vipi aliweza kutoka akiwa hai katikati ya ile mvua ya risasi za bunduki za kijeshi.)
 
Back
Top Bottom