Tundu Lissu andaa hotuba kwa ajili ya Watumishi wa Umma na wa Vyombo vya Ulinzi na Usalama

Tundu Lissu andaa hotuba kwa ajili ya Watumishi wa Umma na wa Vyombo vya Ulinzi na Usalama

Lord denning

JF-Expert Member
Joined
Jun 3, 2015
Posts
15,819
Reaction score
33,255
Kwanza naomba kuanza kwa kukupongeza kwa mikakati yenu ikiwemo kuzungumza na Viongozi wa Dini ili kuunga mkono kazi nyeti mnayoifanya ya kuleta mabadiliko ya kweli kwenye Taifa letu. Watu hawa ni wa muhimu sana na kongole nyingi kwenu kwa mikakati hii.

Pili kuna kundi moja nchi hii naomba msilisahau kwenye hizo harakati zenu. Kundi hili huwa linatumiwa vibaya sana na CCM alafu linaachwaga kama Watoto yatima baada ya kutimiza azma za CCM. Kundi hili ni watumishi wa umma na wa vyombo vya ulinzi na usalama.

Hili ndo kundi la mwisho ambalo likipata akili na kufunuliwa basi udhalimu wa CCM ndo utafikia tamati.

Naomba andaa hotuba kuwaelezea vizuri na kuwaelimisha vizuri juu ya nafasi yao kwenye mustakabali wa hii nchi.

Waeleze kwa namna gani wao wana nafasi ya juu kuliko hawa wanasiasa wa CCM wanaowatumia tu kama madaraja ya kujinufaisha binafsi.

Waeleze kuwa CCM wanawatumia tu kama madaraja huku wakiwaacha kwa mishahara midogo isiyokidhi mahitaji yao na familia zao.

Waeleze namna CCM wanavyowatumia tu huku wakiwaacha na bima za afya zisizoweza kuwahudumia kwenye magonjwa makubwa.

Waeleze namna CCM wanavyowatumia huku wakiwaacha na pensheni za aibu zisizowawezesha kuendesha maisha vizuri baada ya kustaafu. Hii ni kwa wote! Polisi, Wanajeshi, Usalama wa Taifa na wengineo wote.

Waelezee wanavyotumiwa na kikundi cha wachache ndani ya CCM kupitisha mapensheni makubwa kwa wanasiasa na wenza wao huku wao wakiachwa na maisha duni baada ya kumaliza utumishi.

Waeleze kuwa hakuna chochote kibaya kitawapata endapo wakiamua kusimamia haki na kuitosa CCM.

Waambie CCM sio Mungu na bila CCM wataishi maisha mazuri wao na vizazi vyao sio kama wanavyoishi sasaivi huku CCM wakijinufaisha binafsi.

Mwisho waambie namna utakavyoheshimu wataalam na utaalam wao na kuondoa mfumo uliopo wa Wanasiasa kuwa ndo final say hadi kwenye masuala ya msingi ya kitaalam.
 
Kwanza naomba kuanza kwa kukupongeza kwa mikakati yenu ikiwemo kuzungumza na Viongozi wa Dini ili kuunga mkono kazi nyeti mnayoifanya ya kuleta mabadiliko ya kweli kwenye Taifa letu. Watu hawa ni wa muhimu sana na kongole nyingi kwenu kwa mikakati hii.

Pili kuna kundi moja nchi hii naomba msilisahau kwenye hizo harakati zenu. Kundi hili huwa linatumiwa vibaya sana na CCM alafu linaachwaga kama Watoto yatima baada ya kutimiza azma za CCM. Kundi hili ni watumishi wa umma na wa vyombo vya ulinzi na usalama.

Hili ndo kundi la mwisho ambalo likipata akili na kufunuliwa basi udhalimu wa CCM ndo utafikia tamati.

Naomba andaa hotuba kuwaelezea vizuri na kuwaelimisha vizuri juu ya nafasi yao kwenye mustakabali wa hii nchi.

Waeleze kwa namna gani wao wana nafasi ya juu kuliko hawa wanasiasa wa CCM wanaowatumia tu kama madaraja ya kujinufaisha binafsi.

Waeleze kuwa CCM wanawatumia tu kama madaraja huku wakiwaacha kwa mishahara midogo isiyokidhi mahitaji yao na familia zao.

Waeleze namna CCM wanavyowatumia tu huku wakiwaacha na bima za afya zisizoweza kuwahudumia kwenye magonjwa makubwa.

Waeleze namna CCM wanavyowatumia huku wakiwaacha na pensheni za aibu zisizowawezesha kuendesha maisha vizuri baada ya kustaafu. Hii ni kwa wote! Polisi, Wanajeshi, Usalama wa Taifa na wengineo wote.


Waelezee wanavyotumiwa na kikundi cha wachache ndani ya CCM kupitisha mapensheni makubwa kwa wanasiasa na wenza wao huku wao wakiachwa na maisha duni baada ya kumaliza utumishi.

Waeleze kuwa hakuna chochote kibaya kitawapata endapo wakiamua kusimamia haki na kuitosa CCM.

Waambie CCM sio Mungu na bila CCM wataishi maisha mazuri wao na vizazi vyao sio kama wanavyoishi sasaivi huku CCM wakijinufaisha binafsi.

Mwisho waambie namna utakavyoheshimu wataalam na utaalam wao na kuondoa mfumo uliopo wa Wanasiasa kuwa ndo final say hadi kwenye masuala ya msingi ya kitaalam.
aje aombe kuchangiwa pesa kwa dollar ya marekani safari ijayo na itapendeza sana :pedroP:
 
Ukisoma comment zao utaelewa kabisa kuwa CCM ni watu hatari ambao hawastahili kuendelea kuiongoza hii nchi maana wameshaifikisha shimoni.

Wamekalia ujinga na vitisho tu.
Yani anabugia kila ujinga anaopewa na viongozi wa CCM kizuzu tu.Vita itapiganwa kati ya nani na nani sasa?Kwa kupigania nini chanzo?Akili kama za huyo mtu ndiyo tunapata utofauti halisi wa punda,pundamilia na punda-mliaji.
 
Kwanza naomba kuanza kwa kukupongeza kwa mikakati yenu ikiwemo kuzungumza na Viongozi wa Dini ili kuunga mkono kazi nyeti mnayoifanya ya kuleta mabadiliko ya kweli kwenye Taifa letu. Watu hawa ni wa muhimu sana na kongole nyingi kwenu kwa mikakati hii.
Lisu huyu aliyekuwa akiponda viongozi wa dini kuwa wamelamba asali huyu wa kusema ataongea na viongozi wa dini? Wepi labda anaongelea huyo mtu wa kabila yake padri na bagonza

Viongozi wa Dini wazito akina Askofu Shoo,Bakwata,Baraza la maaskofu Tanzania haeawezi kaa kusikiliza mtu kama Lisu ambaye kutwa alikuwa akiwadhalisha toka ameanza siasa zake alikuwa akimtbua tu shehe katimba,Askofu Bagonza na Mwamakula na huyo Mwanamapinduzi

Vyombo vya usalama kutwa amekuwa akivikebehi hata hotuba yake ya jana kaongea bila ushahidi kuwa vinatumiwa na CCM na polisi huwaita polisi CCM

Hawa leo ndio ajitie kuhutubia
Anakumbuka shula wakati kumekucha

Lisu hakuna sehemu ambayo hajaifanyia character assassination wawe viongozi wa dini,Vyombo vya dola hadi mahakama alisema wazi kuwa kwanza majaji wenyewe hawajui kingereza

Lisu ni shida
 
Yani anabugia kila ujinga anaopewa na viongozi wa CCM kizuzu tu.Vita itapiganwa kati ya nani na nani sasa?Kwa kupigania nini chanzo?Akili kama za huyo mtu ndiyo tunapata utofauti halisi wa punda,pundamilia na punda-mliaji.
Wameshazoea kuishi kwa kuwatisha Watanzania.

Hawajui kuwa kila siku Watanzania wanazidi kupata akili.
 
Lisu huyu aliyekuwa akiponda viongozi wa dini kuwa wamelamba asali huyu wa kusema ataongea na viongozi wa dini? Wepi labda anaongelea huyo mtu wa kabila yake padri na bagonza

Viongozi wa Dini wazito akina Askofu Shoo,Bakwata,Baraza la maaskofu Tanzania haeawezi kaa kusikiliza mtu kama Lisu ambaye kutwa alikuwa akiwadhalisha toka ameanza siasa zake alikuwa akimtbua tu shehe katimba,Askofu Bagonza na Mwamakula na huyo Mwanamapinduzi

Vyombo vya usalama kutwa amekuwa akivikebehi hata hotuba yake ya jana kaongea bila ushahidi kuwa vinatumiwa na CCM na polisi huwaita polisi CCM

Hawa leo ndio ajitie kuhutubia
Anakumbuka shula wakati kumekucha

Lisu hakuna sehemu ambayo hajaifanyia character assassination wawe viongozi wa dini,Vyombo vya dola hadi mahakama alisema wazi kuwa kwanza majaji wenyewe hawajui kingereza

Lisu ni shida
Kwani uongo? We mwenyewe huoni namna ya baadhi ya viongozi wa dini wanavyokula rushwa za waziwazi za huyo Samia na mwanae?
 
Back
Top Bottom