Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Umejieleza meengii utadhani wewe ndiye nafsi ya pili ya hao viongozi.Umeona au kusikia wamekataa kuongea na hao CHADEMA?Acha ubumbaji wa maneno.Lisu huyu aliyekuwa akiponda viongozi wa dini kuwa wamelamba asali huyu wa kusema ataongea na viongozi wa dini? Wepi labda anaongelea huyo mtu wa kabila yake padri na bagonza
Viongozi wa Dini wazito akina Askofu Shoo,Bakwata,Baraza la maaskofu Tanzania haeawezi kaa kusikiliza mtu kama Lisu ambaye kutwa alikuwa akiwadhalisha toka ameanza siasa zake alikuwa akimtbua tu shehe katimba,Askofu Bagonza na Mwamakula na huyo Mwanamapinduzi
Vyombo vya usalama kutwa amekuwa akivikebehi hata hotuba yake ya jana kaongea bila ushahidi kuwa vinatumiwa na CCM na polisi huwaita polisi CCM
Hawa leo ndio ajitie kuhutubia
Anakumbuka shula wakati kumekucha
Lisu hakuna sehemu ambayo hajaifanyia character assassination wawe viongozi wa dini,Vyombo vya dola hadi mahakama alisema wazi kuwa kwanza majaji wenyewe hawajui kingereza
Lisu ni shida
