Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Happy Black women DayView attachment 1597224
28/10 2020 wanawake weusi tuna jambo letu
Nileteeni Tulia, Nitatulia, Tulia Tulia ππππ πππ"Sugu nisugue"[emoji1782][emoji1782][emoji1782]
Umekula ndio, umeshiba ndio, una njaa ndio! " Bwege Bungeni 2020"Kila analofanya Magufuli kwa Mahera ni sawa tu.
Ninampenda sana Bwege ππππUmekula ndio, umeshiba ndio, una njaa ndio! " Bwege Bungeni 2020"
Umewaza!Mbeya msimpe kura Tulia, hatosikilizwa na boss wake kwa ajili ya rangi yake kama lami
Hivi kwa akili zenu! Ni kwamba JPM alimaanisha hivyo mnavyotafsiri ninyi? Tuambieni kwenye serikali ya JPM wamejaa wanawake weupe?? Mwambieni aache viroja na kutafuta kiki kwa JPM ajikite kwenye sera !Porojo zip chief.?
Usiniquote kama huna cha kunijibu ni Bora ukakaa kimya tu ! Ni busara pia!.Unafikiri kwa kutumia nini?
Kwanini umjibie?Hivi kwa akili zenu! Ni kwamba JPM alimaanisha hivyo mnavyotafsiri ninyi? Tuambieni kwenye serikali ya JPM wamejaa wanawake weupe?? Mwambieni aache viroja na kutafuta kiki kwa JPM ajikite kwenye sera !
Simjibii!, ila ni kwa sababu namjua ! Ule ni utani tu na hajaanza leo! em nijibu hili swali ! Kwenye serikali ya JPM kuna wanawake weupe tu?.
Mi mtoto wa happy kata ya Maendeleo, mikutano ya Masimenti inabumaje?Umewaza!
Ni utani tu?!Magufuli siyo raia wa kawaida.Magufuli ni Rais wa nchi.Kila analofanya na kuongea linafuatiliwa dunia nzima na watu tofauti tofauti pamoja na mashirika tofauti tofauti na kutafsiriwa tofauti tofauti kwa namna yake yenye athari kwa nchi yetu ya Tanzania.Kila analofanya na kuongea linawakilisha Watanzania walivyo.Simjibii!, ila ni kwa sababu namjua ! Ule ni utani tu na hajaanza leo! em nijibu hili swali ! Kwenye serikali ya JPM kuna wanawake weupe tu?.
Maelezo mareefu ! Unafikili sijui hayo! Naomba unijibu hilo swali nililouliza kwanza!.Ni utani tu?!Magufuli siyo raia wa kawaida.Magufuli ni Rais wa nchi.Kila analofanya na kuongea linafuatiliwa dunia nzima na watu tofauti tofauti pamoja na mashirika tofauti tofauti na kutafsiriwa tofauti tofauti kwa namna yake yenye athari kwa nchi yetu ya Tanzania.Kila analofanya na kuongea linawakilisha Watanzania walivyo.
Utani wa Rais unatakiwa kuwa tofauti na utani wa mtu wa kawaida.Utani wa Rais unatakiwa kuwa na vimelea vya kujenga nchi zaidi na siyo vimelea vya kubomoa nchi na ubaguzi.Magufuli pamoja na ninyi watu wake hamuyajui yote hayo.Magufuli hajui yote hayo kwa sababu ni country bumpkin.
πππ Kafanyeni Hilo Jambo.View attachment 1597224
28/10 2020 wanawake weusi tuna jambo letu