Uchaguzi 2020 Tundu Lissu: Aongelea suala la Magufuli kuwazungumzia Wanawake

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu: Aongelea suala la Magufuli kuwazungumzia Wanawake

Hivi kwa akili zenu! Ni kwamba JPM alimaanisha hivyo mnavyotafsiri ninyi? Tuambieni kwenye serikali ya JPM wamejaa wanawake weupe?? Mwambieni aache viroja na kutafuta kiki kwa JPM ajikite kwenye sera !
Kama alikuwa hamaanishi hivyo alikuwa anaropoka basi! Sasa unaona ni jambo jema kuropoka ropoka kila wakati akisimama jukwaani?
Kama akili yako inaona sawa basi wewe utakuwa ni tatizo kuliko hata yeye
 
Maelezo mareefu ! Unafikili sijui hayo! Naomba unijibu hilo swali nililouliza kwanza!.
Ni kweli serekalini kumejaa wanawake weusi na ni kweli kabisa kuwa Magufuli anafanya utani lakini hoja yangu ya msingi ni kwamba Rais hapaswi kufanya utani unaobomoa nchi au utani wa kibaguzi kwa sababu Rais huwa anafuatiliwa na nchi tofauti tofauti ambazo zinakuwa na tafsiri tofauti tofauti katika kile Rais anachofanya na kuongea.Hii inaweza kupelekea utani wake wa kibaguzi kutafsiriwa vibaya na kuonekana kuwa Watanzania ni watu wasiojitambua,wabaguzi na watu wa hovyo.Na hili ndilo lililotokea.

Utani wa Rais unatakiwa kuwa tofauti na utani wa mtu wa kawaida.Utani wa Rais unatakiwa kuwa na vimelea vya kujenga nchi zaidi na siyo vimelea vya kubomoa nchi au ubaguzi.Na ndiyo maana Obama alipokuwa Rais alikuwa akitaka kutania alikuwa anakuwa makini sana.
 
Hivi kwa akili zenu! Ni kwamba JPM alimaanisha hivyo mnavyotafsiri ninyi? Tuambieni kwenye serikali ya JPM wamejaa wanawake weupe?? Mwambieni aache viroja na kutafuta kiki kwa JPM ajikite kwenye sera !
Sera za lisu tumeshazisikia na ndio maanatunamuunga mkono sana.
Ila wewe ulivomjinga hautaelewa kuhusu hili.
Umeulizwa kwamba Tulia kule mbeya akipewa ubunge aendi kumsikiliza kisa ni mweusi?
 
Mgombea urais Jamhuri ya muungano wa Tanzania, kupitia CHADEMA, Tundu Lissu, akizungumzia tukio la mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano kupitia CCM, Dkt Magufuli juu ya kauli zake kuhusu wanawake

My Take
Dkt. Magufuli ashauriwe, anadhalilisha wanawake
View attachment 1597203
Jamaa anajua sana ku - articulate jambo

Na kwenye siasa ndivyo ilivyo, kwamba, ukishindwa kuutumia vizuri mdomo wako katika kuongea kama anavyoshindwa kutumia Magufuli mara kwa mara...

Basi, maneno hayo ya mdomo wako mwenyewe yanageuka kuwa nyundo ya kukuponda mwenyewe..!

Na huwa ni balaa sana makosa hayo yawakute watu wa aina ya Tundu Lissu wataalamu kuwasiliana na hadhira kwa kuongea ama kwa maandishi. Mpaka utaomba - poo!
 
Simjibii!, ila ni kwa sababu namjua ! Ule ni utani tu na hajaanza leo! em nijibu hili swali ! Kwenye serikali ya JPM kuna wanawake weupe tu?.
Kila siku anapanda tu kwenye majukua kututania sisi?
Anaongea ujinga mara Sugu akamsugue,mara mama yake!.
Sera tutakuja kusikia saa ngapi?
Sisi atuendi pale kusikia utani za kijinga tunaenda pale kusikia sera.
 
Hivi mke wa Magufuli ni white?

Angekuwa anapenda white si angekuwa analala london, washington Berlin nk huko ndo ziko white zenyewe.
 
Hivi kwa akili zenu! Ni kwamba JPM alimaanisha hivyo mnavyotafsiri ninyi? Tuambieni kwenye serikali ya JPM wamejaa wanawake weupe?? Mwambieni aache viroja na kutafuta kiki kwa JPM ajikite kwenye sera !
Kwa iyo hakumaanisha.? 😄 😄 😄

Hivi angekuwa ni Mpinzani katamka hayo maneno leo, ungekuja kuandika hii 'porojo' hapa.?

Kazi yenu mataga ni ngumu sana
 
JPM anaamini katika uzuri tena weupe, hata malikia Ester alienda kwa mfalme akiwa wakupendeza Sasa janamke jeusi ti Kama mkaa na bayaa hata likija kuomba kitu unajiuliza kwanini halijaishia ngazi za chini huko? Haaa! Nipo natania tu.
 
Nileteeni Tulia, Nitatulia, Tulia Tulia 😁😂😀😅😄😃😃
Anahitaji vitoto white, Tulia sio toney red, sio brown, sio neutral, ni rangi ya buti la Jeshi.
Akiwa Taifa Mkapa Stadium kasema HASIKILIZI WANAWAKE MIPINGO " EBONY"
 
Mgombea urais Jamhuri ya muungano wa Tanzania, kupitia CHADEMA, Tundu Lissu, akizungumzia tukio la mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano kupitia CCM, Dkt Magufuli juu ya kauli zake kuhusu wanawake

My Take
Dkt. Magufuli ashauriwe, anadhalilisha wanawake #BlackWomenMatters
View attachment 1597203
Huenda anazungumzia kwa utani maana wasukuma na wazaramo watu wa pwani ni watani, na matamko yote aliyatoa akiwa mikoa ya ukanda wa Pwani, ni utani utamaduni wetu wa tz
 
Liji
JPM anaamini katika uzuri tena weupe, hata malikia Ester alienda kwa mfalme akiwa wakupendeza Sasa janamke jeusi ti Kama mkaa na bayaa hata likija kuomba kitu unajiuliza kwanini halijaishia ngazi za chini huko? Haaa! Nipo natania tu.
Tulia libaya, jeusi Kama mkaa wa chunya, mnataka huo mkosi tuupeleke wapi?
 
Anahitaji vitoto white, Tulia sio toney red, sio brown, sio neutral, ni rangi ya buti la Jeshi.
Akiwa Taifa Mkapa Stadium kasema HASIKILIZI WANAWAKE MIPINGO " EBONY"
😁😂😀🙄😅😃😃
Wanawake Mipingo Wakajipange Upya Maana Mitano Tena
 
Wanawake weupe aliowateua
Jokate
Ummy Mwalimu
Angela Kariuki
Jenista Mhagama

Wengine mtaongezea
 
Back
Top Bottom