Uchaguzi 2020 Tundu Lissu: Aongelea suala la Magufuli kuwazungumzia Wanawake

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu: Aongelea suala la Magufuli kuwazungumzia Wanawake

Liji
JPM anaamini katika uzuri tena weupe, hata malikia Ester alienda kwa mfalme akiwa wakupendeza Sasa janamke jeusi ti Kama mkaa na bayaa hata likija kuomba kitu unajiuliza kwanini halijaishia ngazi za chini huko? Haaa! Nipo natania tu.
Tulia libaya, jeusi Kama mkaa wa chunya, mnataka huo mkosi tuupeleke wapi?
nyuma pasi ya maana
[/QUOTE]
Kwetu tunamwita KINYAMANA, Hana kulia Wala kushoto, Hana mbele Wala nyuma. Yeye ni kivuli tu
 
Safi,acha Magufuli afundishwe adabu kwa maneno yake mwenyewe,na kwa sababu wasaidizi wake wanamwogopa kumkosoa,ngoja Lissu amnyooshe
 
JPM anaamini katika uzuri tena weupe, hata malikia Ester alienda kwa mfalme akiwa wakupendeza Sasa janamke jeusi ti Kama mkaa na bayaa hata likija kuomba kitu unajiuliza kwanini halijaishia ngazi za chini huko? Haaa! Nipo natania tu.
Wanawake weusi wote kura zetu kwa Tundu Lissu
 
Kila analofanya Magufuli kwa Mahera ni sawa tu.
Chadema wamemlalamikia mtukufu magufuli huko NECCCM Tumeccm mara kadhaa kwa faulu zake dhidi ya chadema lakini hawataki kusikiliza, tayari mkurugenziccm wa Tumeccm ana faili lake ICC kwa hizo njama za kuandaa uchakachuaji na kusababisha machafuko
 
JPM anaamini katika uzuri tena weupe, hata malikia Ester alienda kwa mfalme akiwa wakupendeza Sasa janamke jeusi ti Kama mkaa na bayaa hata likija kuomba kitu unajiuliza kwanini halijaishia ngazi za chini huko? Haaa! Nipo natania tu.
Mbona Tulia wa mbeya ni ni mweusi kama gunia la mkaa lakini humuomba ridhaa ya kuwahujumu chadema kuiba bilion 12 na Ndungai kwa kisingizio cha kuzitumia kwenye matibabu india anamkubalia
 
Waziri wa Elimu ni mweusi kama Giza la usiku wa mvua kijijini kusiko na umeme ameivuruga Elimu ya Tanzania kumbe weusi ndiyo umemponza
Tulia alipaswa atuunge mkono weusi wenzake kwenye jambo letu.
 
Jogoo la Rufiji kuwa mahali ya mama yake mzazi pia alichemsha sana
 
Wanawake Weusi wamejiapiza kuwa ikifika rather 28 wanakula kichwa na kumrudisha mtu kijijini Chatu
 
Back
Top Bottom