Sijaelewa hapo ulipoandika wananchi wanataka Chadema iongozwe na Mbowe.!View attachment 3183324
Kwa mujibu wa kura za maoni zilizo fanywa na Jambo online TV matokeo yapo hiv:
Watoa maoni: 12,148
Tundu Lissu kapata kura 10,204 sawa na 84%
Freeman Mbowe kapata kura 1,944 sawa na 16%.
Haya ni maoni ya watanzania walio nje ya mfumo wa Chadema. Wajumbe wa mkutano mkuu wana nafasi ya kuyakubali au kuyakataa.
Mbowe angeachana na hii kitu kama ana washauri wazuriView attachment 3183324
Kwa mujibu wa kura za maoni zilizo fanywa na Jambo online TV matokeo yapo hiv:
Watoa maoni: 12,148
Tundu Lissu kapata kura 10,204 sawa na 84%
Freeman Mbowe kapata kura 1,944 sawa na 16%.
Haya ni maoni ya watanzania walio nje ya mfumo wa Chadema. Wajumbe wa mkutano mkuu wana nafasi ya kuyakubali au kuyakataa.
Punguza pupa kwani unashindana na nani kuwahi kupost taarifa hii mkuu?View attachment 3183324
Kwa mujibu wa kura za maoni zilizo fanywa na Jambo online TV matokeo yapo hiv:
Watoa maoni: 12,148
Tundu Lissu kapata kura 10,204 sawa na 84%
Freeman Mbowe kapata kura 1,944 sawa na 16%.
Haya ni maoni ya watanzania walio nje ya mfumo wa Chadema. Wajumbe wa mkutano mkuu wana nafasi ya kuyakubali au kuyakataa.
SureWafuasi wa Mbowe watakuja kukuambia, wapiga kura hawapo mtandaoni..
It's the same nonsense CCM has always been feeding us.
View attachment 3183324
Kwa mujibu wa kura za maoni zilizo fanywa na Jambo online TV matokeo yapo hiv:
Watoa maoni: 12,148
Tundu Lissu kapata kura 10,204 sawa na 84%
Freeman Mbowe kapata kura 1,944 sawa na 16%.
Haya ni maoni ya watanzania walio nje ya mfumo wa Chadema. Wajumbe wa mkutano mkuu wana nafasi ya kuyakubali au kuyakataa.
Mwambieni mbowe aache mambo ya kitemi, chama si mali yake kama anavyo jinasibu chama ni cha wanachama wote from grassroot, kwahiyo kupendwa na sijui na kamati kuu ambao ni wachache lakini wanachama wengine wakawa hawakupendi ambao ni wengi, jibu ni kwamba hupendwi labda atumie utemi wake tuLife isn't about working hard, it's about working smart...hata katika biashara unapotafuta masoko ni lazima ufahamu "Targeted Audience" yako ni ipi.
Hata kwenye mpira kinachoangaliwa ni magoli mangapi yameingia wavuni,timu yenye magoli mengi ndio hushinda,hata kama timu pinzani ilikua na ball possession kubwa na wamecheza mpira mzuri lakini wasipofunga ni kazi bure.
Yawezekana Lissu anapendwa na wananchi wa kawaida ila Mbowe akawawin wajumbe wanaopiga kura....
Nimechoka siwafundishi kila kitu✍️
Hata hao wajumbe wanatokana na wananchi wa kawaida. Akiwa-win kwa influence ya pesa ya abdul ataharibu kila kitu, kishapewa angalizo naYawezekana Lissu anapendwa na wananchi wa kawaida ila Mbowe akawawin wajumbe wanaopiga kura....
Nimechoka siwafundishi kila kitu✍️
Na akitumia huo utemi wake tutaunga mkono CHAUMA kuliko kuwa na kiongozi ambaye amefikia ukomo wa mawazo na analazimisha kuwepo tu.M
Mwambieni mbowe aache mambo ya kitemi, chama si mali yake kama anavyo jinasibu chama ni cha wanachama wote from grassroot, kwahiyo kupendwa na sijui na kamati kuu ambao ni wachache lakini wanachama wengine wakawa hawakupendi ambao ni wengi, jibu ni kwamba hupendwi labda atumie utemi wake tu
Maoni ya wana lumumbaView attachment 3183324
Kwa mujibu wa kura za maoni zilizo fanywa na Jambo online TV matokeo yapo hiv:
Watoa maoni: 12,148
Tundu Lissu kapata kura 10,204 sawa na 84%
Freeman Mbowe kapata kura 1,944 sawa na 16%.
Haya ni maoni ya watanzania walio nje ya mfumo wa Chadema. Wajumbe wa mkutano mkuu wana nafasi ya kuyakubali au kuyakataa.
Mkuu usiongee kinyonge, tapeli Mbowe linafaa kufokewa hata na watoto wa wale waliouwawa kwa ajili ya kupigania mageuzi.Mbowe angeachana na hii kitu kama ana washauri wazuri
Omba mods warekebishe kichwa cha habari.View attachment 3183324
Kwa mujibu wa kura za maoni zilizo fanywa na Jambo online TV matokeo yapo hiv:
Watoa maoni: 12,148
Tundu Lissu kapata kura 10,204 sawa na 84%
Freeman Mbowe kapata kura 1,944 sawa na 16%.
Haya ni maoni ya watanzania walio nje ya mfumo wa Chadema. Wajumbe wa mkutano mkuu wana nafasi ya kuyakubali au kuyakataa.
Lumumba yote iko kwa tapeli mwenzao mbowe.Maoni ya wana lumumba
Bahati mbaya hao karibu wote sio wajumbe wa mkutano wa uchaguziView attachment 3183324
Kwa mujibu wa kura za maoni zilizo fanywa na Jambo online TV matokeo yapo hiv:
Watoa maoni: 12,148
Tundu Lissu kapata kura 10,204 sawa na 84%
Freeman Mbowe kapata kura 1,944 sawa na 16%.
Haya ni maoni ya watanzania walio nje ya mfumo wa Chadema. Wajumbe wa mkutano mkuu wana nafasi ya kuyakubali au kuyakataa.