Tundu Lissu aongoza kura za mtandaoni dhidi ya Mbowe kwa kura asilimia 84 dhidi ya 16

Tundu Lissu aongoza kura za mtandaoni dhidi ya Mbowe kwa kura asilimia 84 dhidi ya 16

View attachment 3183324

Kwa mujibu wa kura za maoni zilizo fanywa na Jambo online TV matokeo yapo hiv:

Watoa maoni: 12,148

Tundu Lissu kapata kura 10,204 sawa na 84%

Freeman Mbowe kapata kura 1,944 sawa na 16%.

Haya ni maoni ya watanzania walio nje ya mfumo wa Chadema. Wajumbe wa mkutano mkuu wana nafasi ya kuyakubali au kuyakataa.
Inabidi wayaheshimu kama wanataka CHADEMA iendelee kuwa na wafuasi wengi kama ilivyo sasa. Wakiyapuuza ina maana wanapoteza around 80% ya wafuasi wake.
 
Hili tapeli litaondoka kwa aibu kuu.
Shida kubwa ni wale wabunge 19 wakiongozwa na Halima mdee wanatumia pesa nyingi nguvu kubwa kuhakikisha kuwa mbowe anaendelea kuwepo ili kuficha ufisadi wake na kuwasaidia kupata viti maalum uchaguzi ujao 2025
 
ayatollah-skull-graffiti-black-on-white-seen-in-avignon-france-europe-DJ0FP7.jpg

Hivi kuna tofauti gani kati ya Mbowe na Ayatolah?
 
Mchagga mpiga vibunda hawezi sikia hii lazima akafanye figisu huko ndani ili apite aendelee kuzipiga.
 
Wafuasi wa Mbowe watakuja kukuambia, wapiga kura hawapo mtandaoni..

It's the same nonsense CCM has always been feeding us.
Ni kweli hawapo mitandaoni,huku kumejaa washabiki na wapiga kelele
 
View attachment 3183324

Kwa mujibu wa kura za maoni zilizo fanywa na Jambo online TV matokeo yapo hiv:

Watoa maoni: 12,148

Tundu Lissu kapata kura 10,204 sawa na 84%

Freeman Mbowe kapata kura 1,944 sawa na 16%.

Haya ni maoni ya watanzania walio nje ya mfumo wa Chadema. Wajumbe wa mkutano mkuu wana nafasi ya kuyakubali au kuyakataa.
Mitandao inapiga kura siku hiyo!
 

Attachments

  • 5900516-2dae5c1f3887d759229713b8a563fcc1.mp4
    7.1 MB
Back
Top Bottom