Mr Dudumizi
JF-Expert Member
- Sep 9, 2020
- 7,799
- 14,215
Lucas Mwashambwa leo hii anashirikiana na Erythrocyte kumpambania Mbowe awe mwenyekiti wa CDM 🤣🤣Lumumba yote iko kwa tapeli mwenzao mbowe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lucas Mwashambwa leo hii anashirikiana na Erythrocyte kumpambania Mbowe awe mwenyekiti wa CDM 🤣🤣Lumumba yote iko kwa tapeli mwenzao mbowe.
Ukweli mwana kazingua snMkuu usiongee kinyonge, tapeli Mbowe linafaa kufokewa hata na watoto wa wale waliouwawa kwa ajili ya kupigania mageuzi.
Hata kama ni za mtandaoni aisee hili gap ni.kubwa sana.View attachment 3183324
Kwa mujibu wa kura za maoni zilizo fanywa na Jambo online TV matokeo yapo hiv:
Watoa maoni: 12,148
Tundu Lissu kapata kura 10,204 sawa na 84%
Freeman Mbowe kapata kura 1,944 sawa na 16%.
Haya ni maoni ya watanzania walio nje ya mfumo wa Chadema. Wajumbe wa mkutano mkuu wana nafasi ya kuyakubali au kuyakataa.
UWT wamepewa hela na Abduli wampambanie MboweLucas Mwashambwa leo hii anashirikiana na Erythrocyte kumpambania Mbowe awe mwenyekiti wa CDM 🤣🤣
Nimegundua kwenye hela watu wengi ni mashetaniMkuu usiongee kinyonge, tapeli Mbowe linafaa kufokewa hata na watoto wa wale waliouwawa kwa ajili ya kupigania mageuzi.
sawa lakini sisi watu wa X kwenye uchaguzi mkuu mtatuhitaji piaShida waliopiga kura twitter siyo ndo wapiga kura kwenye mkutano,,,Lissu huu uchaguzi hatoboi hata nusu ya kura,,,,wakati Mbowe alishapanga safu yake,Uchaguzi ni maaandalizi siyo unakurupuka tu unasema unagombea,,,Lissu anafikiri atapigiwa kura na akina sativa na sarungi
Watasambaza mabilioni kwa mabilioni ili tu Lissu asifanikiwe.UWT wamepewa hela na Abduli wampambanie Mbowe
Watu wanafanya biashara ya siasaNimegundua kwenye hela watu wengi ni mashetani
Lisu anapendwa sn na wananchi wa kawaidaWatasambaza mabilioni kwa mabilioni ili tu Lissu asifanikiwe.
Sisi tunamtegemea Mungu.
well said...Mzee Ally Hassan Mwinyi aliwahi kuwaambia wajumbe wa mkutano mkuu wampigie kura mgombea ambaye wananchi walioko nje / mitaani wanamtarajia, na wana msema vizuri.
Ukiangalia jinsi anavyosifiwa na maadui wa Lisu, nachelea kusema kwamba huenda katika shambulio la Lisu kuna baraka zake. Maana walianza kutofautiana zaman toka alivyomleta Lowasa kugombea uraisi kwa nguvu na pia Lisu alianza kuonekana kuwa tishio kwa nafasi yake tangu miaka 9 iliyopita.Ukweli mwana kazingua sn
Mimi nimetoa analysis yangu jinsi mbowe anavyoenda kushinda,,,Lissu hakujiandaa na huu uchaguzisawa lakini sisi watu wa X kwenye uchaguzi mkuu mtatuhitaji pia
Hapana hapo ilikuwa ni Magu mwenyeweUkiangalia jinsi anavyosifiwa na maadui wa Lisu, nachelea kusema kwamba huenda katika shambulio la Lisu kuna baraka zake.
Mwisho wa siku jamii inamtaka LisuMimi nimetoa analysis yangu jinsi mbowe anavyoenda kushinda,,,Lissu hakujiandaa na huu uchaguzi
Safari hii mtahama nyie na tapeli lenu.form your own party..or join any established party having such sufficient capital! hata asisumbuke kugombea..Lisu ahame chadema!
Sawa jamiii lakini siyo wajumbe wa mkutano mkuu,,,alaf jamii ipi hiyo?twitter auMwisho wa siku jamii inamtaka Lisu
Hiyo hiyo ya Twitter ni jamii nayo, kumbuka kwenye poll wamepiga kura watu 10K hayo siyo kidogo wana effect kubwa snSawa jamiii lakini siyo wajumbe wa mkutano mkuu,,,alaf jamii ipi hiyo?twitter au