Tundu Lissu aongoza kura za mtandaoni dhidi ya Mbowe kwa kura asilimia 84 dhidi ya 16

Tundu Lissu aongoza kura za mtandaoni dhidi ya Mbowe kwa kura asilimia 84 dhidi ya 16

Nyie ni washabiki tu
Washabiki hua wana kelele sana na maneno maneno,kama wanawake wavaa madera wanaoshinda mabarazani 😝

Wewe ndio una makelele. Nimekuuliza swali dogo tu hao wajumbe wa mkutano mkuu hawaishi kwenye jamii?. Halafu Leo mnadharau mashabiki wa CHADEMA kisa uenyekiti wa chama.
 
LISSU 2025, GEN Z EAST AFRICA wote watamiminika hapa Tanzania kuja kupush REFORMS ili tupate UCHAGUZI HURU NA WA HAKI. SIO UCHAFUZI WA MCHENGERWA NA MAMA MKWE WAKE.
Hatuta g z wa nchi nyingine tunajitosheza, Mbowe ameyataKa yatamrudi ,tukutane snduku la kura , hakuna cha kufungia wajukne safe house , chama cha watu lazima
lindwa kwa nguvu kubwa ,sasa jichanganye
 
Wewe ndio una makelele. Nimekuuliza swali dogo tu hao wajumbe wa mkutano mkuu hawaishi kwenye jamii?. Halafu Leo mnadharau mashabiki wa CHADEMA kisa uenyekiti wa chama.
Washabiki wa mitandaoni mngekua mnazingatiwa ccm ingeshasahaulika

Humu mmejaa nyuma ya keyboard mnajazana ujinga tu na matumaini hewa, field hamuonekani.

Nyie hata vitambulisho vya kupiga kura hamna 🙆
 
..hakuna mtu anapenda kukaa mahali hatakiwi, yeye ana watu wengi nje ya chadema..ya nini kubaki asikotakiwa? Mbowe hawezi kuhama, na sababu unazijua! kati yao mwenye best option ya kuhama ni lisu, vinginevyo hao tiss wanaowalipa mpige kelele hapa wana lao jambo!

Jiheshimu TISS gani ananilipa?Nyie Kama mnalipwa na Abdul kuleni kimya kimya. Halafu nani kakwambia Lissu hapendwi CHADEMA?. Machawa wachache wa Mbowe waliolipwa na Abdul ndio wanapiga kelele na sio CHADEMA.

Nimekwambia hivi, Lissu ahami na uenyekiti atachukua. Yani CCM washinde kwa Asilimia 99 serikali za mitaa halafu bado tuhangaike na Mbowe Kwa miaka mingine mitano. Narudia Tena, Lissu ahami labda uhame wewe.
 
View attachment 3183324

Kwa mujibu wa kura za maoni zilizo fanywa na Jambo online TV matokeo yapo hiv:

Watoa maoni: 12,148

Tundu Lissu kapata kura 10,204 sawa na 84%

Freeman Mbowe kapata kura 1,944 sawa na 16%.

Haya ni maoni ya watanzania walio nje ya mfumo wa Chadema. Wajumbe wa mkutano mkuu wana nafasi ya kuyakubali au kuyakataa.
Mpe Lissu Kwa mageuxi ya Haki?
 
Washabiki wa mitandaoni mngekua mnazingatiwa ccm ingeshasahaulika

Humu mmejaa nyuma ya keyboard mnajazana ujinga tu na matumaini hewa, field hamuonekani.

Nyie hata vitambulisho vya kupiga kura hamna 🙆

Nani Hana kitambulisho Cha kupiga Kura? Mbona unaropoka. Mimi nimeshiriki maandamano yote ya CHADEMA kasoro ya juzi sikuwepo nilikuwa Kigali. Halafu Mimi kitambulisho ninacho. Sijui kwanini unawatuka a mashabiki kisa tu mwenyekiti wa CHADEMA. Hao mashabiki ndio wapiga kura mkutano mkuu, wanachama wa CHADEMA na pia wapiga kura wa CHADEMA uchaguzi mkuu. Kitendo Cha kuwadharau kitawapoteza daima.
 
Sijaelewa hapo ulipoandika wananchi wanataka Chadema iongozwe na Mbowe.!
Hizo ndizo "indisha" za kihuni kuchanganya akili za watu. Hata katika mambo rahisi; kunaingizwa sintofahamu za maksudi kuvuruga tu mambo. Hivyo ndivyo nchi inavyo kwenda siku hizi. Hakuna kwenda katika mstari ulio nyooka katika jambo lolote, ni lazima aweo na kupinda pinda kiaina.
 
Washabiki wa mitandaoni mngekua mnazingatiwa ccm ingeshasahaulika

Humu mmejaa nyuma ya keyboard mnajazana ujinga tu na matumaini hewa, field hamuonekani.

Nyie hata vitambulisho vya kupiga kura hamna 🙆
Ndugu kuwa na nidham , tulio mtaani ndo tupo jf ,je nikisema hu mpumbavu nitakua nimekufunjia hesma ,sasa nasema hu mpumbavu na jrekebishe ,asema Bwana.

Usipo jirekebisha ,utavilingwa kama mpira asema Bwana
 
Shida waliopiga kura twitter siyo ndo wapiga kura kwenye mkutano,,,Lissu huu uchaguzi hatoboi hata nusu ya kura,,,,wakati Mbowe alishapanga safu yake,Uchaguzi ni maaandalizi siyo unakurupuka tu unasema unagombea,,,Lissu anafikiri atapigiwa kura na akina sativa na sarungi
Wengi wapo na Lisu moyoni na machoni wapo na mbowe kwa ajili ya kula pesa zake anazogawa kama njugu, uchaguzi huru na haki Lazima Lisu atapata kura nyingi lakini kwa kuwa mbowe anautaka uenyekiti kwa udi na uvumba lazima ataiba kura uchakachuaji utafanyika kwa bidii kubwa mpaka mbowe awe mwenyekiti tena ingawa ni kwa njia haramu
 
Uzuri au ubaya hizi ni kura haramu, kula halali zinapigwa physically na watu ambao huenda hata mitandaoni hawapo.
 
Uzuri au ubaya hizi ni kura haramu, kula halali zinapigwa physically na watu ambao huenda hata mitandaoni hawapo.
Kura halali zitamchagua Lisu lakini kamati haramu itachakachua na kupora ushindi lisu na kumtangaza Mbowe kuwa mshindi haramu
 
Kwanini ilikuwa rahisi kumpisha Lowasa agombee na wakatumia nguvu kubwa kumsafisha Lowasa
,Kwa nini sasa hivi ni ngumu kumpisha Lisu agombee.
Kama ikitokea Mbowe ameshinda atawezaje kuwaaminisha jamii kuwa hakutumia cheo chake kusalia kwenye kiti.
Kwanini Mbowa asingekubali kuwa makamu akamuacha Lisu anayekubalika na wengi jamii agombee kama alivyomuachia Lowasa kipindi kile.
Mbowe katafuna pesa nyingi za chama kienyeji sasa anahofia mwenyekiti mpya ataibua maovu yake akaingia matatani kwa upotevu mkubwa wa pesa za chadema
 
Back
Top Bottom