Katafuteni shughuli nyingine serikali kwa sasa inaongea lugha moja na wapinzani .
Ndg.Tundu Lissu hatomsahau mh.SSH maisha yake yote.....
Bila ya mh.rais SSH asingepata STAHIKI ZAKE ZOTE ZA UBUNGE ....
#Siempre SSH 🙏
[emoji15][emoji1787]Mwenyekiti wa chama chetu HAPINGWI /HAZODOLEWI/HASIMANGWI GIZANI.....
Tundu Lissu amepewa passport mpya na Serikali ya Tanzania baada ya ile ya awali kupotea kwa kuibwa kule Ujerumani.
Lissu amekabidhiwa passport yake leo na balozi wetu.
Lissu amesema Rais Samia anafanya kazi kubwa na nzuri sana hivyo Watanzania wote tumuunge mkono ili tujenge Tanzania mpya yenye Upendo na Umoja.
Tundu Lissu amemshukuru sana Rais Samia.
===
"Niko tayari kurudi nyumbani muda wowote baada ya masuala ya kiusalama kukamilika, siishi Ubelgiji kwa hiari yangu naishi kwasababu kuna watu katika nchi yetu ambao walijaribu kuniua, walinipiga risasi nyingi sana na watu hao mpaka sasa Serikali yetu inawaita watu wasiojulikana hakuna uchunguzi uliofanywa hakuna alie kamatwa, hakuna alieshitakiwa, hakuna anayejulikana, kwahiyo katika mazingira hayo inabidi tuangalie masuala ya kiusalama ili niweze kurudi nikiwa salama"- Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu.
Source: Star tv
Maendeleo hayana vyama!
Sasa sema alichosema unambwelambwela nini?Ulichokisema na alichokisema ni tofauti
Lengo lako nn haswaa!?
Ni jambo jema. Awaase na viongozi wenzake na wanachama/wanaharakati wa Chadema, wawe wanaokosoa serikali kwa lugha ya staha. Waache kuropoka na kutukana. Wanaweza kufikisha ujumbe wao kwa watawala bila matusi na kashfa na ujumbe ukafika.
Tundu Lissu amepewa passport mpya na Serikali ya Tanzania baada ya ile ya awali kupotea kwa kuibwa kule Ujerumani.
Lissu amekabidhiwa passport yake leo na balozi wetu.
Lissu amesema Rais Samia anafanya kazi kubwa na nzuri sana hivyo Watanzania wote tumuunge mkono ili tujenge Tanzania mpya yenye Upendo na Umoja.
Tundu Lissu amemshukuru sana Rais Samia.
===
"Niko tayari kurudi nyumbani muda wowote baada ya masuala ya kiusalama kukamilika, siishi Ubelgiji kwa hiari yangu naishi kwasababu kuna watu katika nchi yetu ambao walijaribu kuniua, walinipiga risasi nyingi sana na watu hao mpaka sasa Serikali yetu inawaita watu wasiojulikana hakuna uchunguzi uliofanywa hakuna alie kamatwa, hakuna alieshitakiwa, hakuna anayejulikana, kwahiyo katika mazingira hayo inabidi tuangalie masuala ya kiusalama ili niweze kurudi nikiwa salama"- Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu.
Source: Star tv
Maendeleo hayana vyama!
Ni jambo jema. Awaase na viongozi wenzake na wanachama/wanaharakati wa Chadema, wawe wanaokosoa serikali kwa lugha ya staha. Waache kuropoka na kutukana. Wanaweza kufikisha ujumbe wao kwa watawala bila matusi na kashfa na ujumbe ukafika.
Hapana.Tanzania yetu sote wale wa visasi ,washamba na malimbukeni wa madaraka kazi yenu Ni rahisi kupokea na kuishi maisha halisia ya Kitanzania.
Na unahakika Samia hakusema lolote juu ya Lissu baada ya kumtembelea Nairobi, au umechagua upande mmoja tu? Kwa hiyo Samia naye tumpachike sifa ya "#dishlimetilt"?Hazimtoshi yule, usishangae akaja na kuanza kumtukana tena.
SSH alienda kumsalimia lisu alipokuwa anatibiwa nairobi, lakini baada ya kuapishwa kuwa rais, lisu huyo huyo ndiye alikuwa wa kwanza kumbambikia majina ya kijinga, mara Magufuli wa kike, mara dikteta mwanamke!
Jamaa ni chizi mr #dishlimetilt
Huu mstari unatoka kitabu gani mkuu cha bibiliaMaandiko yanatwambia " Tazama ilivyo vyema na kupendeza, ndugu wakae pamoja kwa umoja "
Ni Jambo jema,, na Ni wakati wa kusameheana kwa mabaya yote na kuyasahau,, tufungue ukrasa mpya kwetu sisi watanzania,, tuwe kitu kimoja!
Itabidi Ndugai aje ahojiwe hadharani atuambie yeye ndio alikosea ?au SSH ndio amekosea?Lisu atarejeshewa gharama za matibabu na kulipwa mafao yake ya ubunge!
aminaAmina
Siku niliposema kitakachompata lissu, waliokuwepo waliona naota. In 24hrs happened what happened.Sio bure yaelekea up mmoja wa wasiojulikana na bado unayatafuta uyatakayo! Ila kamwe hutafanikiwa utajikuta unamfuata yeye uliyeamini ataendelea kutesa taifa la Mungu.
Kweli tunategemeana lakini sio kufikia kuita nyeupe nyeusi au nyeusi nyeupe na kusujudia binadamu.🤣🤣
Tulia mrusi....
Binadamu TUNATEGEMEANA kile akitoacho M/Mungu.
Wajamaa tunawatii viongozi Wetu ukweli wa kuwatii....anayesujudiwa ni M/Mungu tu ....Kweli tunategemeana lakini sio kufikia kuita nyeupe nyeusi au nyeusi nyeupe na kusujudia binadamu.