Tundu Lissu apata passport mpya, amshukuru Rais Samia, kurudi Nchini

Tundu Lissu apata passport mpya, amshukuru Rais Samia, kurudi Nchini

Magu alikuwa pepo... alikuwa amejaa chuki moyoni mwake kama nyoka. Ndo maana nature ikamkataa. Karma ikamuondoa
 
Tundu Lissu hatamsahau Mama Samia milele, nasema kweli, na naamini kilichobaki ni kumlipa stahiki zake za Ubunge na apate haki yake iliyobakia, kisha aendelee na maisha yake.
Tatizo kubwa la Lissu ni unpredictable, anaweza fanyiwa mema yote na serikali ya Mh. SSH, ikiwa pamoja na kulipwa stahiki zake za ubunge alizonyimwa awali kwa kuonewa, ila pamoja na kufanyiwa hayo hachelewi kugeuka haraka akikosa kitu kimoja tu, na kuanza kuitukana na kuishambulia serikali, hizi ni tabia za kimalaya malaya, haziridhiki hata umfanyie nini.

Sasa ukiwa na mtu unpredictable, hata umfanyie nini haridhiki, ni mtu wa kugeuka geuka, yaani atataka Katiba mpya, atataka Tume huru ya uchaguzi, atataka tena bila staha mikutano ya siasa kila kona ya nchi iwe wakati wote bila kuangalia muda wa uchaguzi tu, yaani iwe nchi ya mikutano ya siasa kila kukicha, hakuna kujenga nchi au kufanya maendeleo, atataka Polisi wasimhoji, atataka uhuru wa kusema hata vitu ambavyo vitaleta vurugu au uchochezi, atataka vitu hata huwezi akaridhika na akikosa ataanza kutukana na kuisema hovyo serikali.

Tundu Lissu huo ndio udhaifu wake mkubwa sana, haridhiki hata afanyiwe wema vipi, so wekeni haya maneno mtakumbuka, na asipoangalia Mh. Rais Mama Samia, atamchukia tena vibaya kwa tabia ya Lissu asipochunga tabia yake. Very unpredictable, haridhiki.
 
Aiseee upinzani kwishney
Afadhali mama Samia hata akiua upinzani kwa njia hii nzuri ya kusikiliza kero za wapinzani nakuzitatua ni nzuri sana kuliko bwana yule aliyeamini upinzani ni uhaini na kutaka kuufuta kwa kumwaga damu.

Samia shika hapo hapo nchi inaenda vizuri kwa amani tele watu wamejawa na furaha na tabasamu tele kwa uongozi wako wa kumsikiliza kila mmoja bila kujali itikadi za kisiasa.
 
hakuna mkate mgumu mbele ya chai. wafuasi wa chadema huu ni wakati mzuri sana kujifunza namna wanavyokuwa used na watu wenye maslahi ya familia zao.
Nyie ndo wanafiki na husda roho zinawauma sana mnapoona serikali inakaa na viongozi wa chadema wanaongea lugha moja. Roho mbaya hazitawasaidia kwanini muumie kuona mbowe na lissu wanamsifia Mh. Rais?
 
Kwani uwepo wa majambazi ndani ya CHADEMA ndio chama chote kina mijangili?!!!

1)Yule jambawazi muiba magari Arusha ni mwanachama nguli wa CDM.....

2)Yule......ni kiongozi nguli wa CDM....

3)Jangili nanihii ni kiongozi ndani ya BAVICHA.....
Taifa haliendelei kwa sababu tuna asilimia kubwa ya watu Kama wewe.
 
JK aliwaamini na kuwalea bila kusahau kuwatetea mkamdharau na kumuita majina mengi.JPM alitumia style yenu ya ubabe ubabe bahati nzuri aliiwezea kuliko yenu mkakosa pa kuponyokea.Kwa mama Samia mnashindwa kufurukuta na hasa mlipopewa ugaidi mmenywea balaa pole yenu
Afadhali mama Samia hata akiua upinzani kwa njia hii nzuri ya kusikiliza kero za wapinzani nakuzitatua ni nzuri sana kuliko bwana yule aliyeamini upinzani ni uhaini na kutaka kuufuta kwa kumwaga damu.

Samia shika hapo hapo nchi inaenda vizuri kwa amani tele watu wamejawa na furaha na tabasamu tele kwa uongozi wako wa kumsikiliza kila mmoja bila kujali itikadi za kisiasa.
 
Hazimtoshi yule, usishangae akaja na kuanza kumtukana tena.

SSH alienda kumsalimia lisu alipokuwa anatibiwa nairobi, lakini baada ya kuapishwa kuwa rais, lisu huyo huyo ndiye alikuwa wa kwanza kumbambikia majina ya kijinga, mara Magufuli wa kike, mara dikteta mwanamke!

Jamaa ni chizi mr #dishlimetilt
Akifanya vizuri atasifiwa, akizingua anachanwa tu, hata yeye mwenyewe slogan akizinguliwa anazingua.
 
Si ndio asili yenu kushupaza shingo
Upinzani mnaoutaka nyie ni wa Lissu kumtukana Rais si ndio? Katafuteni kazi za kufanya serikali inaongea lugha moja na wapinzani atleast for now
 
JK aliwaamini na kuwalea bila kusahau kuwatetea mkamdharau na kumuita majina mengi.JPM alitumia style yenu ya ubabe ubabe bahati nzuri aliiwezea kuliko yenu mkakosa pa kuponyokea.Kwa mama Samia mnashindwa kufurukuta na hasa mlipopewa ugaidi mmenywea balaa pole yenu
Usipotoshe umma. Kesi ya kutungwa ya Mbowe na wenzake iliasisiwa na mwendazake nabgenge lake la kina Kingai tangu 2020.

Makomandoo walikuwa mahabusu tangu 2020 ila wakawa wanamlia tuming Mbowe ikiwa ataendeleza harakati za katiba mpya wamkamate ila akitulia waachane naye.

Samia ni mama mshika dini mzuri hataki uonevu usio na tija kwa wananchi kama wa bwana yuuule.

Halafu mimi wala sio CHADEMA kama unavyodhani bali mpenda haki wa kawaida kabisa. Yeyote anayetendewa haki nafurahi bila kujali itikadi yake.
 
Ndo utetezi wenu huu😂😂😂😂so JPam ndo alienda BBC kutangaza ugaidi na kusema jamaa alikua amekimbilia nje kuogopa kukamatwa . Pole zenu wakuu

Usikane chama chako mkuu.Jiamini
Usipotoshe umma. Kesi ya kutungwa ya Mbowe na wenzake iliasisiwa na mwendazake nabgenge lake la kina Kingai tangu 2020.

Makomandoo walikuwa mahabusu tangu 2020 ila wakawa wanamlia tuming Mbowe ikiwa ataendeleza harakati za katiba mpya wamkamate ila akitulia waachane naye.

Samia ni mama mshika dini mzuri hataki uonevu usio na tija kwa wananchi kama wa bwana yuuule.

Halafu mimi wala sio CHADEMA kama unavyodhani bali mpenda haki wa kawaida kabisa. Yeyote anayetendewa haki nafurahi bila kujali itikadi yake.
 
Ndo utetezi wenu huu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]so JPam ndo alienda BBC kutangaza ugaidi na kusema jamaa alikua amekimbilia nje kuogopa kukamatwa . Pole zenu wakuu

Usikane chama chako mkuu.Jiamini
Kusema vile ni kwasababu alikuwa aidha misinformed kwa maksudi ama bahati mbaya ndo maana alivyogundua ukweli akafanya uamuzi wa busara kabisa.

Siwezi kukana chama endapo ningekuwa mwanachama wa chama hicho. Kwasababu kuwa mwanachama wa chama chochote sio dhambi hata.
 
😂😂😂😂😂😂ndipo mnapofirahisha hapo kujigeuza watetezi wa Rais iliradi tu mjipe matumaini

Jiamini hakuna atakayekupopoa kisa ni mfuasi wa chadema
Kusema vile ni kwasababu alikuwa aidha misinformed kwa maksudi ama bahati mbaya ndo maana alivyogundua ukweli akafanya uamuzi wa busara kabisa.

Siwezi kukana chama endapo ningekuwa mwanachama wa chama hicho. Kwasababu kuwa mwanachama wa chama chochote sio dhambi hata.
 
Back
Top Bottom