UmkhontoweSizwe
Platinum Member
- Dec 19, 2008
- 9,454
- 8,894
Acha kumtetea chizi, utaaibika siku mojaTulia ww, Lisu hana haja ya kusifia. Hii ndio wiki mwaka jana taifa lilipata furaha ya ajabu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha kumtetea chizi, utaaibika siku mojaTulia ww, Lisu hana haja ya kusifia. Hii ndio wiki mwaka jana taifa lilipata furaha ya ajabu.
Tusi liko wapi hapo?Mama anamkubali Sana Lissu. Wewe Baki na matusi yako .
.Samahani, hivi wewe ni Homo Sexual ?
Mliozoea siasa za chuki za kulipwa tafuteni kazi nyingineAiseee upinzani kwishney
Sema hana roho mbaya kama yako lakiniMh.Rais wangu SSH ,kipenzi cha watanzania.....
Kila uchao anaendelea tu kutuwekea rekodi......
Rais SSH ni mbobezi wa siasa na diplomasia......
#Siempre SSH 🙏
#Siempre JMT🙏
Sana. Huko Lumumba watapasuka kwa hasiraInapendeza
🌹🌹❤️❤️❤️♥️♥️💯🌷🍾🍾🔥🔥💅Mh.Rais wangu SSH ,kipenzi cha watanzania.....
Kila uchao anaendelea tu kutuwekea rekodi......
Rais SSH ni mbobezi wa siasa na diplomasia......
#Siempre SSH 🙏
#Siempre JMT🙏
Kwenda kumsalimia sio sharti ya kuanza kuiga udikteta qa Magufuli.Hazimtoshi yule, usishangae akaja na kuanza kumtukana tena.
SSH alienda kumsalimia lisu alipokuwa anatibiwa nairobi, lakini baada ya kuapishwa kuwa rais, lisu huyo huyo ndiye alikuwa wa kwanza kumbambikia majina ya kijinga, mara Magufuli wa kike, mara dikteta mwanamke!
Jamaa ni chizi mr #dishlimetilt
👏👏👏👏👏📯📯📯🎼🎼🌹🌹❤️❤️❤️♥️♥️💯🌷🍾🍾🔥🔥💅
Roho yangu mbaya ilikutenda nini?!!!Sema hana roho mbaya kama yako lakini
Ulikuwa unatetea maovu hapo nyuma. Naona unakwenda na Upepo wa Samia👍👍Roho yangu mbaya ilikutenda nini?!!!
😳🤣Mwenyekiti wa chama chetu HAPINGWI /HAZODOLEWI/HASIMANGWI GIZANI.....Ulikuwa unatetea maovu hapo nyuma. Naona unakwenda na Upepo wa Samia👍👍
CCM hawataki kusikia hiyo....!!Maana yake baadhi ya mapendekezo aliyotoa Lissu kwa Samia walipokutana Belgium yameanza kufanyiwa kazi.
- Mbowe kaachiwa bila masharti.
- Passport.
Then.
- Kuruhusu mikutano ya siasa bila kanuni mpya, sheria ipo ifuatwe.
- Katiba Mpya.
Umekuwa mtoto mzuri. Endelea kubadilika😳🤣Mwenyekiti wa chama chetu HAPINGWI /HAZODOLEWI/HASIMANGWI GIZANI.....
Ni kazi nzuri Mh Rais anafanyaMaana yake baadhi ya mapendekezo aliyotoa Lissu kwa Samia walipokutana Belgium yameanza kufanyiwa kazi.
- Mbowe kaachiwa bila masharti.
- Passport.
Then.
- Kuruhusu mikutano ya siasa bila kanuni mpya, sheria ipo ifuatwe.
- Katiba Mpya.
Eti kuna watu wamechukizwa na hii taarifa. Jomba kama wewe ni mmojawapo jitafakari... Utakuwa una hulka za uchawi na uzandiki!!Tundu Lissu amepewa passport mpya na Serikali ya Tanzania baada ya ile ya awali kupotea kwa kuibwa kule Ujerumani.
Lissu amekabidhiwa passport yake leo na balozi wetu.
Lissu amesema Rais Samia anafanya kazi kubwa na nzuri sana hivyo Watanzania wote tumuunge mkono ili tujenge Tanzania mpya yenye Upendo na Umoja.
Tundu Lissu amemshukuru sana Rais Samia.
Source: Star tv
Maendeleo hayana vyama!
Mataga watanuna. Walitegemea Samia angeendeleza kikosi cha polisi cha kumuua Lissu na Mbowe . Kilocho asisiwa na Muuaji MagufuliTundu Lissu amepewa passport mpya na Serikali ya Tanzania baada ya ile ya awali kupotea kwa kuibwa kule Ujerumani.
Lissu amekabidhiwa passport yake leo na balozi wetu.
Lissu amesema Rais Samia anafanya kazi kubwa na nzuri sana hivyo Watanzania wote tumuunge mkono ili tujenge Tanzania mpya yenye Upendo na Umoja.
Tundu Lissu amemshukuru sana Rais Samia.
Source: Star tv
Maendeleo hayana vyama!