Tundu Lissu apata passport mpya, amshukuru Rais Samia, kurudi Nchini

Siku niliposema kitakachompata lissu, waliokuwepo waliona naota. In 24hrs happened what happened.

Sijui unabishia nini. Aache tamaa za madaraka ndani ya chama, atakuwa salama.
Tena anavyoendeleza ligi na jamaa wakati jamaa bado ana hasira za kukaa lupango kwa muda mrefu, tutamsikia tu.
 
Lisu anaonyesha ni careless kama hawezi tunza document ya kwake muhimu kama Passport na kupaka matope nchi za Ulaya kuwa kuna vibaka wa kumwibia mswahili lofa Passport!!
Watu wameishi Miaka nenda rudi Ulaya hawajakutana na pick pockets Lisu kachafua Ulaya kuwa wako vibaka wenye dhiki wawezao ibia mswahili lofa mkimbizi

Aiombe samahani jumuiya ya Ulaya kwa kuwachafua image yao

Akipewa document sensitive za nchi si atapoteza
 
Mh. Tundu Lissu, heshima kubwa sana kwako kwa kuwa Brilliant, Courageous na daring person. Mungu azidi kukupa Ulinzi wake peke yake kama ambavyo historia ilijiandika. Kwa unayoyawaza juu ya Rais Samia na kusita kwako kurudi Tanzania:
1. SSH akiwa Rais nakukutembelea hospital Nairobi kipindi ambacho JPM akiwa anakuchukia wewe kiwango cha "ufe".
2. Ni SSH aliyekubali kuonana nawe Brussels. Peke yake sio jambo dogo hata kama ilikuwa ni ku bow on certain world political pressures.
3. Kakupa passport haraka japo tutasema ni haki yako. Sawa.
4. Lakini Kapilima hayupo tena kwa system, JPM kaondolewa na Mungu, Ndugai kaondolewa na SSH, Kina Kingai & co ya kina Sirro imeumbuka hadharani na baba yao hayupo tena, Sabaya kufungwa haswaa, Makonda nae ameshaanzishiwa doze, naona nia njema ya SSH binafsi kwa kila mtu.
5. Kwamba SSH ametamka utaishi kama raia mwingine ukirudi Tanzania, kwa maana hatakupa ulinzi maalum, bado sijaona nia mbaya kwake. Tafuta ulinzi kama wa Mbowe siku ziende. Kama kulindwa, mbona JPM alilindwa sana? Mkono wa Mungu upo. USIOGOPE! Woga ukizidi hugeuka kuwa ugonjwa. Mwisho wa siku Mimi, wewe, SSH, Mbowe na kina Kapilimba tutakufa tu kwa ratiba ya MUNGU hata tujifiche wapi.
6. Unavyozidi kukaa mbali, ndivyo na relevance yako politically itafutika. Nakutia shime kwa jina la Mungu, nikiamini SSH hana genge la kuua watu. Mungu akulinde kuingia kwako na kutoka kwako tangu sasa na milele yote!
 
Godbless Lema, Ezekiel Wenje na Tundu Lisu huu ni wakati wa kurudi nyumbani tuje tuijenge nchi pamoja.

Japo washiriki wa mkutano wa Maridhiano hawajazungumzia kabisa swala la viongozi wa kisiasa mnaoishi uhamishoni lakini lililo wazi ni kuwa Rais wetu mama Samia anawapenda sana.

Tafadhali Lema, Wenje na Tundu Lisu karibuni tena nyumbani.

Maendeleo hayana vyama!
 
Wapinzani wa Tanzania wanashangaza sana.

Mfano Tundu Lissu. Ambaye namuheshimubjwa kazi nyingi alizofanya, lakini bado anashangaza.

Anadai rais wa Tanzania ana mamlaka kubwa sana, apunguziwe mamlaka.

Halafu, tukija kwake Tundu Lissu tuangalie anavyoishi, tunaona yeye mwenyewe anampa rais madaraka ya mpaka kufuatilia passport.

That was rather weird.

Ukizingatia kuna mfumo wa kudai passport mpya ambao haumuhitaji rais.
 
Lisu muda wowote ataunga juhudi na kuingia CCM!! Poleni chadema!! Ataangalia maslahi binafsi zaidi!!
Mabeberu wamemçhoka!! Hana jinsi!! Muda si mrefu ataungana na Dr mihogo (Dr Slaa) huko ccm!
 
Tundu Lissu haridhiki na chochote mpaka awe Rais. Sijuwi ni nani atampigia kura? Watanzania wengi WANAMUCHUKIA kwa matusi anayomutukana Hayati Magufuli. Raisi aliyekuwa kipenzi cha Watanzani. LAWAMA zisizokuwa na ushahidi. Hata waliokuwa wakimuonea huruma hawamuonei tena Huwezi kuendelea kumutusi mtu ambaye hawezi kukujibu huwo ni ujinga mkubwa haisaidii. Lawama zenyewe ni za kutunga bila ushahid. Tundu Lissu hana hadhi ya kuwa kiongozi. Akae huko huko Ubeligiji watu wapumuzike na kelele zake
 
Daaaa wajameni Mama Samia!! ni Mama zaidi na anapendeza kuwa Mama Rais jamani ana roho nzuri huyu Mama mwewe!!! mpaka mtu unatamani kuimeza uwe km yeye lkn sasa..... utanzia wapi??
 
kwahiyo tundu amepata passport ya utanzania, umarekani na ubelgiji vipi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…