Uchaguzi 2020 Tundu Lissu apata wadhamini 485 Shinyanga

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu apata wadhamini 485 Shinyanga

Kitu kibaya kinacho imaliza hii nchi ni unafiki... Appreciate pale kizuri kinapo fanyika hakuna binadamu asiye na mabaya.... Arusha mjini imejengwa hospitali mpya ya wilaya njiro.. longido pia imejemgwa hospitali mpya na kata ya murieti ninapoishi kuna kituo cha afya kikubwa tuu na kinafanya kazi....

Kuleta chakula na kuhudumia familia yako ni wajibu wako namba moja, weather familia ita appreciate au itanung'unika hilo halikufanyi uache huo wajibu wako. Moja ya wajibu wa Serikali yoyote ni kuwatumikia wananchi wake wote bila kujali kama wana appreciate au wanalalamika, kwa sababu hiyo ndiyo ilikuwa ahadi yako kwao. Tenda wema nenda zako, kila mwenye akili na macho yake ataelewa na kuona, kuna atakayeshukuru kwamba asante chakula kitamu sana nimeshiba na kuna atakayelalamika kwamba chakula kina chumvi nyingi nimekula tuu sababu ya njaa; hiyo ni kawaida hutakiwi tena kurudi kila siku kuwaambia mnaona nimefanya? mnaona nimefanya?
 
Kitu kibaya kinacho imaliza hii nchi ni unafiki... Appreciate pale kizuri kinapo fanyika hakuna binadamu asiye na mabaya.... Arusha mjini imejengwa hospitali mpya ya wilaya njiro.. longido pia imejemgwa hospitali mpya na kata ya murieti ninapoishi kuna kituo cha afya kikubwa tuu na kinafanya kazi....

Tatizo siyo hilo ndugu yangu tatizo la kwanza uhuru wa watu kutoa mawazo katika nchi yao. Kwani Africa kusini wakoloni hawakuwa wanajenga hospital na ma barabara mbona walifurushwa na weusi. Fanya kila kitu lakini usije ukacheza na uhuru wa mtu kutoa kuamuwa kuhusu mambo yanayomuhusu Nyerere alishasema maendelo bila uhuru wa watu bora umasikini.
 
Nikupe mfano mkoa wa pwani unaviwanda vipya vikubwa zaidi ya kumi.... Mapungufu yapo ila appreciate japo unamchukia mtu

Kwahiyo jumla ndo vinafika hivyo 700 zaidi ya Japan ama kweli TZ imepiga hatua ya viwanda
 
Anaelekea Tarime na upepo wa kisulisuli hapa ni Bunda. Huko Musoma ni balaa ingine.
tapatalk_1597236135203.jpg
 
Shinyanga imetuma ujumbe kwa wale wanaosema "Kazi za JPM zinaonekana" aka wazee wa Zahanati 500

Shinyanga hatukuwahi kufanya mikutano kama ambavyo mshua alikuwa amepageuza njia ya kwenda na kutokea Chato daily.

Tumepata wadhamini 500 sawa na idadi ya zile zahanati hewa. Teh teh teh zahanati 500!

Tupo njiani kwenda Mwanza na Mara. Mwanza inasimama leo na tukitoka huko tunaenda chato!
Polisi wataanza kupewa maelekezo soon
 
Even if, that's still not enough compared to the age of this beautiful nation.....

Taifa hili lina umri wa miaka zaidi na karibu ya 70, leo ndiyo manasumbuka kujenga zahanati???

Stop joking, please...

Kwa umri huu tulionao kama nchi tulipaswa kuwa tumepiga hatua kubwa sana za maendeleo ya kiuchumi na kijamii sawa na na nchi za Malaysia, Singapore, Thailand (kwa bara la Asia); ama Kenya, Nigeria, South Africa ama Ghana kwa Africa...

Huu ndiyo ugomvi tulionao sisi wengine na serikali zote za CCM tangu Uhuru wa nchi hii...

For sure kabisa, tatizo la CCM kuongoza nchi kwa kukumbatia mifumo dhaifu ya utawala ambayo ni "100% centralized" kiasi ambacho maamuzi ya ki - SERA na MIPANGO yamerundikiwa mtu mmoja tu mwenye cheo cha "RAIS MTENDAJI"...

Hili ndilo tatizo na ndiyo mzizi wa fitina unaotakiwa kuchimbwa na kung'olewa kabisa ili nchi ianze kuona mwanga wa jua la asubuhi...!!

Vinginevyo zitakuja chaguzi na chaguzi tukidanganyana usiku na mchana huku maadui UJINGA, MARADHI na UMASKINI wakiendelea kutukalia usiku na mchana bila majibu...!

They are not doing good enough. They have to go. We need new people with fresh ideas, fresh plans to run this country...

TUNDU LISSU naona wazi kaliona tatizo hili. Maono (vision) take ni suluhu ya matatizo yetu kama nchi....

Anasema, jibu lake ni kuufanyia "overhauling" mfumo wetu wa UTAWALA na KISHERIA kwa kuja na makubaliano mapya ya namna tunavyopaswa kujitawala kama nchi yaani - KATIBA

Hii itakwenda sambamba na mahitaji ya wakati huu kwa kuya - address kwa ufasaha matatizo yetu (Maradhi, ujinga na umasikini) na namna ya kuyatatua....

Anataka kuung'oa mfumo wa UTAWALA wa "RAIS MFALME" au "KICHIFU" na kushusha mamlaka kwa wananchi chini kabisa (devolution & decentralization) ili watu wawe na uhuru kamili wa kujiamulia mambo yao mwenyewe ya kijamii, kisiasa na kiuchumi katika localities zao kwa maana halisi ya "SERIKALI ZA MITAA" bila kuingiliwa na serikali kuu....

Kama kila mtu ana maarifa (akili nzuri) na busara, atamchagua mtu mwenye mawazo haya...!

Andiko laki liko sahihi kabisa na hicho ndicho kinatakiwa siyo kuendelea kupewa ahadi na CCM wakati tatizo ni mfumo w utawala ambao hawawezi kuubadilisha wakati unawanufaisha na kufukarisha taifa
 
Shinyanga imetuma ujumbe kwa wale wanaosema "Kazi za JPM zinaonekana" aka wazee wa Zahanati 500

Shinyanga hatukuwahi kufanya mikutano kama ambavyo mshua alikuwa amepageuza njia ya kwenda na kutokea Chato daily.

Tumepata wadhamini 500 sawa na idadi ya zile zahanati hewa. Teh teh teh zahanati 500!

Tupo njiani kwenda Mwanza na Mara. Mwanza inasimama leo na tukitoka huko tunaenda chato!
Magufuri muda huu kalala tu, nyie hangaikeni tu.
Yeye akimka kila kiumbe kitatambua kuwa Mshindi amekuja.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
  • Thanks
Reactions: nao
Tundu anashindwa kupata wadhamini 2000 kwenye mkoa mmoja? Hiyo ziara ya kutafuta wadhamini imepangwa kimkakati, angalia hiyo mikoa anayotembelea and jiulize kwa nini? Kuanzia Dodoma, Singida, Shinyanga, Mwanza and Geita
Kanda ya ziwa atapata watu wakushangaa makovu na ile hali ya ulemavu tu.
Wapiga kura huko ni asilimia 0.5 atakaopata. Hawezi kabisa kumsumbua Magu ukanda huo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Safi sana sana......

Tundu Lissu our president.....
 
Safi sana.Hivi MAGUFULI hasafiri kutafuta wazamini ?
 
Kitu kibaya kinacho imaliza hii nchi ni unafiki... Appreciate pale kizuri kinapo fanyika hakuna binadamu asiye na mabaya.... Arusha mjini imejengwa hospitali mpya ya wilaya njiro.. longido pia imejemgwa hospitali mpya na kata ya murieti ninapoishi kuna kituo cha afya kikubwa tuu na kinafanya kazi....
Mkuu hivi Magufuli aliomba urais ili afanye nini? Hiyo ndo kazi yake na we have already appreciated kwa kumlipa mshahara,wenzetu mnakwama wapi sijui?
 
Kanda ya ziwa atapata watu wakushangaa makovu na ile hali ya ulemavu tu.
Wapiga kura huko ni asilimia 0.5 atakaopata. Hawezi kabisa kumsumbua Magu ukanda huo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Safari hii tunawaeleimisha ndugu zetu. Usipige kura za ukabila au ukanda. Piga kura kwa sababu unaamini kiongozi ataleta mabadiliko.
 
Kitu kibaya kinacho imaliza hii nchi ni unafiki... Appreciate pale kizuri kinapo fanyika hakuna binadamu asiye na mabaya.... Arusha mjini imejengwa hospitali mpya ya wilaya njiro.. longido pia imejemgwa hospitali mpya na kata ya murieti ninapoishi kuna kituo cha afya kikubwa tuu na kinafanya kazi....

..vema.

..lakini KOSA lenu ni kutesa na kudhalilisha viongozi waliochaguliwa na wananchi ktk eneo husika.

..hapo Arusha kulikuwa na haja gani kudai ilani itakayotekelezwa ni ya CCM, na ilani ya CDM itatupiliwa mbali?

..kwanini zisitekelezwe ilani zote kwasababu CDM walishinda ubunge na halmashauri, na CCM walishinda Uraisi?

..makaburu walijenga miundombinu mikubwa na ya kisasa kuliko hii tuliyojenga sisi, lakini walipingwa kutokana na kutenda DHULUMA kwa wananchi.
 
Safari hii tunawaeleimisha ndugu zetu. Usipige kura za ukabila au ukanda. Piga kura kwa sababu unaamini kiongozi ataleta mabadiliko.
Mabadiliko hayawezi kupatikana kwa msaliti. Bado upande wa pili wanashida na ruzuku tu ndo lengo kuu, sio kuongoza hili taifa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kitu kibaya kinacho imaliza hii nchi ni unafiki... Appreciate pale kizuri kinapo fanyika hakuna binadamu asiye na mabaya.... Arusha mjini imejengwa hospitali mpya ya wilaya njiro.. longido pia imejemgwa hospitali mpya na kata ya murieti ninapoishi kuna kituo cha afya kikubwa tuu na kinafanya kazi....
Sio kitu cha ajabu hata s
Nikupe mfano mkoa wa pwani unaviwanda vipya vikubwa zaidi ya kumi.... Mapungufu yapo ila appreciate japo unamchukia mtu
Sema viwanda gani Mkuu
 
Back
Top Bottom