Tundu Lissu arudisha fomu makao makuu ya CHADEMA akiwa amevaa bulletproof. Hii ina maana gani?

Kama ilivyo ada, Ukishachukua fomu ya kugombea , na baada ya kuijaza maeneo yanayotakiwa kama ilivyoelekezwa basi unapaswa kuirejesha kabla ya muda kupita ili Uhalali wa fomu yako usitiliwe mashaka.

Hivi ndivyo Tundu Lussu alivyofanya na kupokelewa na Maofisa wa Chama akiwemo Naibu Katibu Mkuu Benson Kigaila.
 
Kazi ipoo!🧐🧐🧐
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…