Tundu Lissu asafiri kwenda Ubelgiji kuonana na Daktari na kuhuisha visa yake

Tundu Lissu asafiri kwenda Ubelgiji kuonana na Daktari na kuhuisha visa yake

Waswahili walisema mbio za Sakafuni huishia ukingoni. Hatimaye sasa rasmi imekuwa wazi hakuna marefu yasiyo na ncha.Hatimaye Lissu achemsha na Kurudi Belgium.

Alikuja kwa mikwara mingi sana, wenye akili tulihoji hao watu anaozungumzia wako wapi? Na tukasema "muda utasema". Hatimaye sasa kachemsha mwenyewe. Hata kuondoka kwake hakuna viongozi wa chama walioenda kumsindikiza.

Pole sana Lissu, wakati mwingine utajifunza.

=====

Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu amesafiri kwenda Ubelgiji kwa ajili ya kuonana na Daktari wake kwa vipimo vya kawaida pamoja na kuhuisha visa yake inayomaliza muda wake. Lissu anatarajia kurejea nchini ndani ya wiki mbili kuendelea na majukumu yake hapa.
Anaikimbia mangi gang 😀😀
 
Kushabikia siasa ni stress kuliko kushabikia mpira....bora niendelee na mpira...
 
Kwani umelazimishwa kusoma nyuzi za watu humu?.
Unaita watu ibilisi alafu unajiona upo smart.

Ondoa mastress yako hapa.
Kwani analipwa kwa kuanzisha nyuzi hata kama ni za uongo!!??
Baba wa uongo ni ibilisi shetani.
Walio waongo wote ni watoto wa ibilisi shetani.
Kuna neno lingine lolote la kumuita mtoto wa baba fulani zaidi ya fulani!!??
 
Sema karudi kwa baby wake
Wadhungu wanajua kushikilia hata pumuzi hupati walahi!
 
Waswahili walisema mbio za Sakafuni huishia ukingoni. Hatimaye sasa rasmi imekuwa wazi hakuna marefu yasiyo na ncha.Hatimaye Lissu achemsha na Kurudi Belgium.

Alikuja kwa mikwara mingi sana, wenye akili tulihoji hao watu anaozungumzia wako wapi? Na tukasema "muda utasema". Hatimaye sasa kachemsha mwenyewe. Hata kuondoka kwake hakuna viongozi wa chama walioenda kumsindikiza.

Pole sana Lissu, wakati mwingine utajifunza.

=====

Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu amesafiri kwenda Ubelgiji kwa ajili ya kuonana na Daktari wake kwa vipimo vya kawaida pamoja na kuhuisha visa yake inayomaliza muda wake. Lissu anatarajia kurejea nchini ndani ya wiki mbili kuendelea na majukumu yake hapa.
Mpuuzi mwingine wewe
 
Akili za wasomi wetu ndani ya jf inatia walakini, nashindwa kuelewa kwamba tatizo la watanzania ni Lissu au?

Au ushabiki wa kivyama ndo imewafanya wanaojiita wasomi kujitoa ufahamu?

Watanzania tuna matatizo chungu nzima, lakini kama vijana wa nchi hii badala ya kuangalia ni kwa namna gani angalau tunajikwamua kutoka kwenye matatizo hayo, sisi tumeweka mbele ushabiki.

Katiba inahitajika, lakini sisi vijana hatuna habari nayo, tunamuachia Lissu aje aipiganie kwa ajili yetu, wakati sisi vijana tunapiga umbea, tutazidi kuwa masikini coz walio wengi hatujitambui.
Na wewe unaamini kabisa Chadema inakupigania maisha yako?
 
Kwali alikuja kufanya nn? Si alisema amekuja kuwapigania watu. Vipi mapigano yameshindikana?
Ni ngumu Sana kuwaelimisha wapumbavu..!!Kwani wapumbavu huamini kila jambo lakini mwerevu huangalia palipo na ufahamu..!Na wajinga huchukua muda kuwaelimisha.!!Ujinga ni mzigo..!!Kwa kuwa kuandika ni haki yako upo sahihi..!!Lakini unaweza usiwe sahihi kwenye uhalisia.!!Ni mawazo yako tu.!! Yanaweza kuwa ni ya uongo au hata ya kijinga pia..!!
 
Lile busu la mzungu jata kama ni wewe lazima urudi mapema tu.
 
Makamu mwenyekiti wa CHADEMA,Tundu Antipas Lissu ameondoka nchini kuelekea Ubelgiji kucheck afya yake na kuhuisha VISA yake inayokaribia kwisha muda wake

Tundu Lissu atarejea nchini baada ya Wiki mbili

Source Jambo TV
Asharudi

Nauliza?
 
Tundu Lissu amesema ameenda Ubelgiji kwa mambo mawili.

1. Kuhuisha VISA yake kwa sababu ilibakiza siku chache kuexpire

2. Kuangalia afya yake

Swai langu ni kwanini Tundu Lissu anahuisha VISA yake sasa?

Mungu ni Mwema wakati Wote!
 
Ujio wa Lema sisiemu Arusha wamechanganyikiwa.....ni Mtafaruku

Chadema Kimataifa zaidi ...beyond the boundaries Bwashee...
 
Back
Top Bottom