Sio anadhani! Lisu anazijua sheria kuliko binadamu yeyote ndani ya Tanzania hii na Afrika kwa ujumla.Mimi siyo mwanasheria lakini naamini Tume ya uchaguzi inayoongozwa na Jaji mbobezi haiwezi kutoa maamuzi kwa kukurupuka.
Ndio najiuliza huyu Tundu Lisu " anadhani" anazijua sheria kuliko Jaji mstaafu Kaijage?
Maendeleo hayana vyama!
Hahahahahaha..
Sitareta maji tunduma msiponiretea Siriinde..
Kaa kichaa vile.
Ushaambiwa tangu 21Sept wamepelekea malalamiko yote hakuna feedback wala tume haitangazi kuwa kuna Mgombea au Chama fulani kimeleta malalamiko kuhusu fulani.SSA Lissu mbona anakuwa mzembe.akapeleke malalamiko NEC kuhusu JPM na majaliwa kuvunja hizo kanuni. Kama aliyofanya kwenye pingamizi .
Napenda afanye hivyo jumatatu. Asilalamike anakoswa Sifa ya kuwa rais saasa
Who hell is Lisu?...................Itakuwa heri mara mia wewe kurudi tumboni mwa mama yako ili akajifungue upya punguani kama wewe kuliko mtu yeyote ajifanye anamtikisa Lissu japo amlegeze chuma unachohisi kipo mwilini mwake.
Na nikufahamishe tu baada ya uchaguzi huu iwe atashinda au hakushinda hakuna atakaemwambia asifanye siasa eti kwa sababu uchaguzi umeisha mpaka kampen za 2025 i swear atakula na Magufuli sahani moja huo mchaka mchaka wake magu atajutia kilichomfanya amtishe Mahera apindishe matokeo.
Kwa maneno mengine atatamani angekuwa Chato akishuhudia Lissu akiongoza nchi,jamaa alipofikia hayupo tena wa kumtisha even kifo tofauti na wewe unaogopa njaa unaona akipita hiyo kazi yako ya udereva wa halmashauri utaikosa.
Lakini Rais wetu lilimuumiza ndo maana akasema picha za miaka iyo ya nyumaNmejisikia aibu sana eti Lisu nae bado anawaza nyomi.
Naadae ntamtumia nyomi la Slaa 2010,
Huyo Jaji Kaijage siyo kwamba sheria hazijui................Mimi siyo mwanasheria lakini naamini Tume ya uchaguzi inayoongozwa na Jaji mbobezi haiwezi kutoa maamuzi kwa kukurupuka.
Ndio najiuliza huyu Tundu Lisu " anadhani" anazijua sheria kuliko Jaji mstaafu Kaijage?
Maendeleo hayana vyama!
Ndiyo!Mimi siyo mwanasheria lakini naamini Tume ya uchaguzi inayoongozwa na Jaji mbobezi haiwezi kutoa maamuzi kwa kukurupuka.
Ndio najiuliza huyu Tundu Lisu " anadhani" anazijua sheria kuliko Jaji mstaafu Kaijage?
Maendeleo hayana vyama!
Balua ndio nini wewe Kihiyo,na hayo maadlili ya uchaguz ya Mgombeai kasaini Mnyika/Chadema au Lissu kama Mgombea?Lisu anajitoa ufahamu tu
Tume imepeleka balua ofisini kwenu, Mnyika kapokea, kawajibu kwamba hiyo haiwahusu, wampe mgombea mwenyewe!
Kama vile wewe ni mgombea binafsi siyo wa chadema!
Juzi umesikika ikiwa Tarime kwamba huendi kwa kuwa hukapewa balua!
Sasa je
Huna mawasiliana na chama chako?
Ikiwa hili ,wenzio wanajua lile!
Ikifanya ukaidi utaumia
Polisi watakufungua hivyo vyuma ulivyofunga mwilini kwako
hahaha kawapiga spana mpaka mnapumulia kwa uwezo wa nec polisi wameona yale ni maji ya betri hayaonjwiUmaarufu kunuka. Huyo pimbi mbona mnamuoverrate sana?
Pigia mstari. Hapo kuna Jaji tumboni na Mwanasheria kichwani.Mimi siyo mwanasheria lakini naamini Tume ya uchaguzi inayoongozwa na Jaji mbobezi haiwezi kutoa maamuzi kwa kukurupuka.
Ndio najiuliza huyu Tundu Lisu " anadhani" anazijua sheria kuliko Jaji mstaafu Kaijage?
Maendeleo hayana vyama!
Hehehe Lissu kama Yeremia. Kabla hajatungwa Mungu alimjua.Lissu Ni Anajua sheria kabla ya kuzaliwa