Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Hali mbaya kwenu na Tume yenu mnaovisingizia vyama vingine kumfungia Lissu wakati mwenyekiti wa Tume ni CCM kama wewe kiazi, mnamuogopa sana Lissu.Hali mbaya hadi kanisani mnaingia na camera
Piga spana kwa Wasaliti wa Nchi Lissu
Wewe tu ndiye huna huruma, lakini wenzako tunamhurumia na tutampa kura zetu.Hakuna kura za huruma
Hata aende akasali kwa Vatican
Tutamhurumia kwa kutunguliwa risasi, ila kura tunampigia Rais Magufuli kipenzi cha Watanzania
MaheraHali mbaya kwenu na Tume yenu mnaovisingizia vyama vingine kumfungia Lissu wakati mwenyekiti wa Tume ni CCM kama wewe kiazi, mnamuogopa sana Lissu.
Amekuomba umpigie mpaka useme hayo wewe poyoyoHakuna kura za huruma
Hata aende akasali kwa Vatican
Tutamhurumia kwa kutunguliwa risasi, ila kura tunampigia Rais Magufuli kipenzi cha Watanzania
Kawadanganye wajinga wenzio, eti corona imemuogopa Magu wakati huyo Magu mwenyewe alienda kujificha Chato.Hiyo haitamsaidia!
Kama hao kina Mzinga wanamkubali sana Magu kwa jinsi alivyoihandle corona bila kufunga makanisa.
Ficha ujinga wako kichaa weweHakuna kura za huruma
Hata aende akasali kwa Vatican
Tutamhurumia kwa kutunguliwa risasi, ila kura tunampigia Rais Magufuli kipenzi cha Watanzania
Ila wee jamaaaHuyu TAL amefungiwa kufanya kampeni lakini hii ni kampeni " fulani " hivi!
Ombi - Utoaji mimba uruhusiwe ili kuwanusuru wazazi na aibu kama wanayoipata wazazi wa kijana huyu mbumbumbuHakuna kura za huruma
Hata aende akasali kwa Vatican
Tutamhurumia kwa kutunguliwa risasi, ila kura tunampigia Rais Magufuli kipenzi cha Watanzania
Mmeshaambiwa Lissu atafanya shughuli za kijamii, sasa hapo ndio mtafurahi, ameshaanza kazi za kijamii... sijui kama nyie vichwa maji mnaelewa maana ya hiyo statement, yaani Lissu atakuwa anajichanganya sokoni, kanisani, popote pale watu wanamcheki tu, zege halilali hilo.Piga spana kwa Wasaliti wa Nchi Lissu atapigiwa kura na robert [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Mtatapika mwaka huu.Huyu TAL amefungiwa kufanya kampeni lakini hii ni kampeni " fulani " hivi!
Mungu mbariki mja wako Tundu Antiphas Lissu na muepushe na mabaya na wabaya woteSiku ya leo ambayo ni Jumapili ya ibada Mh Tundu Lissu kama walivyo waamini wengine wa dini ya Kikristo amemtukuza Mungu kwa kushiriki ibada takatifu kwenye kanisa la KKKT , usharika wa Azania Front - Jijini Dar es salaam
Anayetia huruma huyu hapa.Hakuna kura za huruma
Hata aende akasali kwa Vatican
Tutamhurumia kwa kutunguliwa risasi, ila kura tunampigia Rais Magufuli kipenzi cha Watanzania
Hahahaaaa.......umeshapanic bwashee!Mtatapika mwaka huu.
Tena camera ya beberu.Hali mbaya hadi kanisani mnaingia na camera
Piga spana kwa Wasaliti wa Nchi Lissu