Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #21
ulitaka hata mpiga picha wa kanisa awe Issa Michuzi ?Hili lilissu kweli ni likibaraka yani mpaka camera man naye ni mzungu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ulitaka hata mpiga picha wa kanisa awe Issa Michuzi ?Hili lilissu kweli ni likibaraka yani mpaka camera man naye ni mzungu.
Raisi wa Jamhuri ya Muungano Tanzania 2020-2025 kwa Jina la Yesu.Siku ya leo ambayo ni Jumapili ya ibada Mh Tundu Lissu kama walivyo waamini wengine wa dini ya Kikristo amemtukuza Mungu kwa kushiriki ibada takatifu kwenye kanisa la KKKT , usharika wa Azania Front - Jijini Dar es salaam
Hatuwezi ku-panic wakati tumewakamatia chini vizuri tu, mfungieni na kwenda kanisani.Hahahaaaa.......umeshapanic bwashee!
Kama Magu ni kweli ameondowa Corona, basi atuondolee Ukimwi na Marelia, yaonekana huyu ana umungu mmoja pamoja na Baba ambaye vitu vyote vimeumbwa naye.Hiyo haitamsaidia!
Kama hao kina Mzinga wanamkubali sana Magu kwa jinsi alivyoihandle corona bila kufunga makanisa.
Hana nafasi wapi? usiandike vitu nusu nusu, km unaizungumzia Tanzania hii naamini balaa lake umeshaliona, mpaka mnamfungia bila sababu.Hata akienda kusafisha Choo gerezani kikubwa msaliti wa Nchi Tanzania hana nafasi
Tutampa kura Tundu Lissu sio kwamba kwasababu ya huruma ila kwasababu anafaa.Hakuna kura za huruma
Hata aende akasali kwa Vatican
Tutamhurumia kwa kutunguliwa risasi, ila kura tunampigia Rais Magufuli kipenzi cha Watanzania
wanatamani kuteka kanisaDah kuna mtu kanuna kweli kweli teh teh....
Kwani alikuambia anahitaji kura za huruma umemwona akipitisha mchango hapo mxxxuuu tuliza mshonoHakuna kura za huruma
Hata aende akasali kwa Vatican
Tutamhurumia kwa kutunguliwa risasi, ila kura tunampigia Rais Magufuli kipenzi cha Watanzania
Nyie mnaojiita wazawa ni makaburu tuu voice Hayati Julius NyerereHali mbaya hadi kanisani mnaingia na camera
Piga spana kwa Wasaliti wa Nchi Lissu
Wewe mwenyewe unapumua kwa hela ya hao vibaraka jiongezeHili lilissu kweli ni likibaraka yani mpaka camera man naye ni mzungu.
Mbowe kawaweka mfukoni, hakuna kufurukuta. Hata huyu jamaa mwenye jazba nakaa kwa kutulia. Kwanini msimwambie Mbowe sasa basi?. Mnataka kupambana na tingatinga, mtaweza kweli?.Hali mbaya kwenu na Tume yenu mnaovisingizia vyama vingine kumfungia Lissu wakati mwenyekiti wa Tume ni CCM kama wewe kiazi, mnamuogopa sana Lissu.
Hahahha... Ukimwi unaufuataga mwenyewe na biblia ilishaonya sasa wewe endekeza dezo uone utakavyo kunyausha.Kama Magu ni kweli ameondowa Corona, basi atuondolee Ukimwi na Marelia, yaonekana huyu ana umungu mmoja pamoja na Baba ambaye vitu vyote vimeumbwa naye.
Unahangaika sana wewe falaHakuna kura za huruma
Hata aende akasali kwa Vatican
Tutamhurumia kwa kutunguliwa risasi, ila kura tunampigia Rais Magufuli kipenzi cha Watanzania
Tulia sindano ikuingieHata aende kusali Vatican, Wasaliti wa Nchi Lissu atapigiwa kura na robert tu?[emoji23][emoji23][emoji23]
Wewe na mpumbavu mwenizo ndo mnaamini kuwa hamuwezi kuishi bila msaada wa mzungu wakati kila aina ya mali asili mnayoWewe mwenyewe unapumua kwa hela ya hao vibaraka jiongeze
Wewe ndio mjinga sasa!Kawadanganye wajinga eti corona imemuigopa Magu wakati huyo Magu mwenyewe alienda kujificha Chato.
Mbona huyo mzungu pua yake kubwa kama ya roba?ulitaka hata mpiga picha wa kanisa awe Issa Michuzi ?