johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Rest in Hell Jiwe aka Rais wa wanyonge wajinga na wapumbavu...alitaka kumkill Mh Lissu Mwisho wasiku Sir God akamnyonga yeye.Viongozi tendeni Wema kwa Watu wote na Mungu wa mbinguni atawapigania mjapopita Katikati ya Bonde la uvuli wa mauti
Muangalie Tundu Lisu aliposhambuliwa na risasi dereva alimvutia Upande wake na risasi zikaishia miguuni Huu ni muujiza
Muujiza wa pili ni Beki 3 Kuendesha Gari kwa Kasi ya ajabu hadi hospital na kumuwahisha Tundu Antipas Lisu kabla damu haijaisha mwilini
LAKINI Ebrahim Rais aliachwa msituni huku helicopter za kumlinda zikifanikiwa kuukwepa ukungu
Acheni Mungu wa mbinguni aitwe Mungu
Mlale Unono 😀😀
Vipi Mwendazake mna habari zozote huko aliko?Ukitenda Mema, utalipwa mema...na ukitenda maovu utalipwa kwa maovu yako
Iran ndiyo mfadhili mkubwa wa vikundi vyote vya kigaidi duniani vinavyotumia mwavuli wa jihad. Maelfu ya watu wasio na hatia pote duniani wamepoteza maisha kwa ufadhili huu wa kishetani wa Iran 🇮🇷. Malipo ni hapa hapa duniani.Viongozi tendeni wema kwa Watu wote na Mungu wa mbinguni atawapigania mjapopita Katikati ya Bonde la uvuli wa mauti.
Muangalie Tundu Lissu aliposhambuliwa na risasi dereva alimvutia Upande wake na risasi zikaishia miguuni huu ni muujiza
Muujiza wa pili ni Beki 3 Kuendesha Gari kwa Kasi ya ajabu hadi hospital na kumuwahisha Tundu Antipas Lissu kabla damu haijaisha mwilini
LAKINI Ebrahim Rais aliachwa msituni huku helicopter za kumlinda zikifanikiwa kuukwepa ukungu
Acheni Mungu wa mbinguni aitwe Mungu
Mlale Unono 😀😀
Wewe jamaa mbona umeandika kwa ghadhabu hivyo?Mungu hapendi.😂😂😂Rest in Hell Jiwe aka Rais wa wanyonge wajinga na wapumbavu...alitaka kumkill Mh Lissu Mwisho wasiku Sir God akamnyonga yeye.
WAtesi wa Lissu ni akina nani?Viongozi tendeni wema kwa Watu wote na Mungu wa mbinguni atawapigania mjapopita Katikati ya Bonde la uvuli wa mauti.
Muangalie Tundu Lissu aliposhambuliwa na risasi dereva alimvutia Upande wake na risasi zikaishia miguuni huu ni muujiza
Muujiza wa pili ni Beki 3 Kuendesha Gari kwa Kasi ya ajabu hadi hospital na kumuwahisha Tundu Antipas Lissu kabla damu haijaisha mwilini
LAKINI Ebrahim Rais aliachwa msituni huku helicopter za kumlinda zikifanikiwa kuukwepa ukungu
Acheni Mungu wa mbinguni aitwe Mungu
Mlale Unono 😀😀
Jiwe yuko Jehannam tayari.WAtesi wa Lissu ni akina nani?
Wanajisikiaje wakiona anatembea?
Nani aliwalipa?
Kama Mungu yupo kwanin asifanye jambo dhidi yao?
Jiwe alikuwa Katili hatari....bila mungu kuingilia hiyi Bato wote angetumaliza..in short Jiwe hakustahili kuishi.Wewe jamaa mbona umeandika kwa ghadhabu hivyo?Mungu hapendi.😂😂😂
Anateseka sana na moto wa JehannamVipi Mwendazake mna habari zozote huko aliko?
Amen !God Bless Israel
Jiwe alikuwa Katili hatari....bila mungu kuingilia hiyi Bato wote angetumaliza..in short Jiwe hakustahili kuishi.
Acha bhanaAcheni Mungu Aitwe Mungu
Kashadeal na kachero mbobez. Sasa hivi yuko getini anawalia timing janabinamkwere.Vipi Mwendazake mna habari zozote huko aliko?
kuna Mungu wa Israel tena?? Wenzetu kila kona mna MunguViongozi tendeni wema kwa Watu wote na Mungu wa mbinguni atawapigania mjapopita Katikati ya Bonde la uvuli wa mauti.
Muangalie Tundu Lissu aliposhambuliwa na risasi dereva alimvutia Upande wake na risasi zikaishia miguuni huu ni muujiza
Muujiza wa pili ni Beki 3 Kuendesha Gari kwa Kasi ya ajabu hadi hospital na kumuwahisha Tundu Antipas Lissu kabla damu haijaisha mwilini
LAKINI Ebrahim Rais aliachwa msituni huku helicopter za kumlinda zikifanikiwa kuukwepa ukungu
Acheni Mungu wa mbinguni aitwe Mungu
Mlale Unono 😀😀
Unatoa dhihaka kwà Rais wa Iran unasahau kwamba Lissu kuna siku tena atakufa hujui atafia wapi?Makolongoni ama kitandani tuache dhihaka wabongo hekima itawale wakati woteViongozi tendeni wema kwa Watu wote na Mungu wa mbinguni atawapigania mjapopita Katikati ya Bonde la uvuli wa mauti.
Muangalie Tundu Lissu aliposhambuliwa na risasi dereva alimvutia Upande wake na risasi zikaishia miguuni huu ni muujiza
Muujiza wa pili ni Beki 3 Kuendesha Gari kwa Kasi ya ajabu hadi hospital na kumuwahisha Tundu Antipas Lissu kabla damu haijaisha mwilini
LAKINI Ebrahim Rais aliachwa msituni huku helicopter za kumlinda zikifanikiwa kuukwepa ukungu
Acheni Mungu wa mbinguni aitwe Mungu
Mlale Unono 😀😀