Tundu Lissu asiye na Ulinzi risasi 16 kapona, Ebrahim Raisi mwenye Ulinzi kafia porini. Atukuzwe Mungu wa Israel!

Tundu Lissu asiye na Ulinzi risasi 16 kapona, Ebrahim Raisi mwenye Ulinzi kafia porini. Atukuzwe Mungu wa Israel!

Viongozi tendeni wema kwa Watu wote na Mungu wa mbinguni atawapigania mjapopita Katikati ya Bonde la uvuli wa mauti.

Muangalie Tundu Lissu aliposhambuliwa na risasi dereva alimvutia Upande wake na risasi zikaishia miguuni huu ni muujiza

Muujiza wa pili ni Beki 3 Kuendesha Gari kwa Kasi ya ajabu hadi hospital na kumuwahisha Tundu Antipas Lissu kabla damu haijaisha mwilini

LAKINI Ebrahim Rais aliachwa msituni huku helicopter za kumlinda zikifanikiwa kuukwepa ukungu

Acheni Mungu wa mbinguni aitwe Mungu

Mlale Unono 😀😀
Jo mbona unaulinganifu wa mambo wa kuhamahama sana🤔.Yapasa iwe funzo hata kwa wala kwa urefu wa kamba🤔
 
Hahahaha jiwe
Rest in Hell Jiwe aka Rais wa wanyonge wajinga na wapumbavu...alitaka kumkill Mh Lissu Mwisho wasiku Sir God akamnyonga yeye.
Jiwe alikuwa mkatili na muovu roho za wale maiti waliotupwa ufukweni zitamlilia hadi kiama acha ateseke motoni
 
E
Unatoa dhihaka kwà Rais wa Iran unasahau kwamba Lissu kuna siku tena atakufa hujui atafia wapi?Makolongoni ama kitandani tuache dhihaka wabongo hekima itawale wakati wote
Ebrahim rais the Butcher of Tehran is dead kawanyonga sana watu wasio na hatia kwa kesi feki damu za wale zilimlilia akafa kifo kibaya Mungu yupo malipo hapa hapa
 
Mbona netanyahu anatenda maovu lakini hajafa?
Netanyahu hatendi maovu, ni Mzalendo...Nationalist anayelitetea Taifa lake dhidi ya Magaidi walioanza wao kuwaua Waisrael March mwaka huu
 
Unatoa dhihaka kwà Rais wa Iran unasahau kwamba Lissu kuna siku tena atakufa hujui atafia wapi?Makolongoni ama kitandani tuache dhihaka wabongo hekima itawale wakati wote

Hapa unamwonea mnyalukolo Thebaptist. Hajadhihaki kifo cha mtu, bali anaonesha ukuu wa Mungu.

Nadhani anadhihirisha lile andiko lisemalo:

'BWANA asipoulinda mji, wakeshao wakesha bure'.

Tunamshukuru sana Mungu, kwa matendo yake makuu juu ya Lisu maana hakika lingefanikiwa jambo lile alilokusudia shetani kupitia kwa hawa mawakala wake waliopo nchini, simanzi za wapenda haki zingekuwa ni kubwa mno, na pengine wengine wangevunjika mioyo ya imani wakiamini sala zao Mungu amezipuuza. Shetani alizuia hata maombi ya pamoja kwaajili ya Lisu, lakini bado watu waliendelea kuomba kila mtu kwa namna yake. Yalikuwa maombi ya moyo na si maombi ya maonesho.

Mungu hutenda kila jambo kwa wakati na kwa hekima yake, ambayo hakuna aijuaye kwa hakika.

Mungu wa Ibrahim, Mungu wa Isaka, Mungu wa Yakobo, Mungu wetu ulite Mkuu sana, ukuu wako tumeuona juu ya Lisu na wengine wengi, tuwajuao na tusiowajua. Tunaomba uendelee kuwafedhehesha mawakala wa shetani maana baadhi hawajakata tamaa.

Na Lisu atambue kuwa walitaka kumwua kwa sababu ya kuwa mkweli. Basi hata baada ya kunusurika kifo kike, adumu kwenye ukweli, tena kwa ujasiri ulio mkuu.
 
Ukitafari vema alafu uangalie wanaharakati kwa jicho la tatu utabaini kwamba kuna watu wanapigania Wanyonge na wale wanaopigania Matumbo tatizo wote wanatumia Koti la Siasa ambayo inawapumbaza watu kuingia kwenye ushabiki kama ule wa michezo mbalimbali iliyopo Duniani.
Mtihani mkubwa kwetu ni kujua dhamila ya hao wanaotaka wawe viongozi wetu je, ni kweli wanataka kuwapigania wanyonge? Naingalia nchi kama Zambia,Africa kusini,Kenya na Burundi najifunza kwamba wapo watu walifanikiwa kuwashawishi wananchi kwamba wana nia njema ya kuwakomboa wanyonge na katika kufanikisha adhima yao wakasababisha watu wengi kuuwawa,kuumizwa na wengine kupata shida mbalimbali kama kufungwa jela nk.
Muhimu hapa ni kuondoa Chuki kwa njia ya kupandikiza kwa watu wengine pia ni muhimu kufuata sheria za kimataifa zinazotutaka kukubali kuto kukubaliana ili tufikie malengo ya kuitoa nchi katika mukwamo na kuwasaidia wananchi kukidhi ustawi wao kijamii,kiuchumi na Kisiasa. Leo baadhi ya wananchi wanafanya visa hata kwa marehemu waliotangulia mbele za haki huku wakijua yupo anaye husika na hukumu za wanadamu! Wanadhiki na kufurahia waliokufa kama vile wao wataishi milele!
Muhimu hapa tupate watu wenye fikra kama za akina Kambalage,Nkwame,Mandela nk. TUUNGANISHE WATU TUWEKE UPATANISHO TUONDOE UBAGUZI,UZANDIKI,UBADHILIFU,UPENDELEO NA CHUKI DHIDI YA BINANADAMU WENZAKO.
 
Nani kakuambia hana ulinzi? Ulinzi wake ni "mizimu ya mababu zake " hakika ndio iliyomkinga.
 
Hapa unamwonea mnyalukolo Thebaptist. Hajadhihaki kifo cha mtu, bali anaonesha ukuu wa Mungu.

Nadhani anadhihirisha lile andiko lisemalo:

'BWANA asipoulinda mji, wakeshao wakesha bure'.

Tunamshukuru sana Mungu, kwa matendo yake makuu juu ya Lisu maana hakika lingefanikiwa jambo lile alilokusudia shetani kupitia kwa hawa mawakala wake waliopo nchini, simanzi za wapenda haki zingekuwa ni kubwa mno, na pengine wengine wangevunjika mioyo ya imani wakiamini sala zao Mungu amezipuuza. Shetani alizuia hata maombi ya pamoja kwaajili ya Lisu, lakini bado watu waliendelea kuomba kila mtu kwa namna yake. Yalikuwa maombi ya moyo na si maombi ya maonesho.

Mungu hutenda kila jambo kwa wakati na kwa hekima yake, ambayo hakuna aijuaye kwa hakika.

Mungu wa Ibrahim, Mungu wa Isaka, Mungu wa Yakobo, Mungu wetu ulite Mkuu sana, ukuu wako tumeuona juu ya Lisu na wengine wengi, tuwajuao na tusiowajua. Tunaomba uendelee kuwafedhehesha mawakala wa shetani maana baadhi hawajakata tamaa.

Na Lisu atambue kuwa walitaka kumwua kwa sababu ya kuwa mkweli. Basi hata baada ya kunusurika kifo kike, adumu kwenye ukweli, tena kwa ujasiri ulio mkuu.
Kati ya mambo ya kishetani yaliyonishangaza ni lile la mtu anayekesha kanisani na kukusanya sadaka kila jumapili kuzuia watu wasimwombee mtu mwingine kisa ugomvi wake binafsi. Yaani kwa Mungu Tutakutana na maajabu mengi sana.
 
Viongozi tendeni wema kwa Watu wote na Mungu wa mbinguni atawapigania mjapopita Katikati ya Bonde la uvuli wa mauti.

Muangalie Tundu Lissu aliposhambuliwa na risasi dereva alimvutia Upande wake na risasi zikaishia miguuni huu ni muujiza

Muujiza wa pili ni Beki 3 Kuendesha Gari kwa Kasi ya ajabu hadi hospital na kumuwahisha Tundu Antipas Lissu kabla damu haijaisha mwilini

LAKINI Ebrahim Rais aliachwa msituni huku helicopter za kumlinda zikifanikiwa kuukwepa ukungu

Acheni Mungu wa mbinguni aitwe Mungu

Mlale Unono 😀😀
Hakuna mtenda wema zaidi ya Yesu, lakini aliishia kudhalilishwa, kukebehiwa, kusulubiwa na kuuliwa kifo cha laana. Jifunze kuwa kazi ya Mungu haitafsiriwi na akili ya kibinadamu.
Asubuhi njema.
 
Netanyahu hatendi maovu, ni Mzalendo...Nationalist anayelitetea Taifa lake dhidi ya Magaidi walioanza wao kuwaua Waisrael March mwaka huu
Kwa hiyo kuua kumbe ruksa kwa mujibu wa mungu mwenyewe
 
Viongozi tendeni wema kwa Watu wote na Mungu wa mbinguni atawapigania mjapopita Katikati ya Bonde la uvuli wa mauti.

Muangalie Tundu Lissu aliposhambuliwa na risasi dereva alimvutia Upande wake na risasi zikaishia miguuni huu ni muujiza

Muujiza wa pili ni Beki 3 Kuendesha Gari kwa Kasi ya ajabu hadi hospital na kumuwahisha Tundu Antipas Lissu kabla damu haijaisha mwilini

LAKINI Ebrahim Rais aliachwa msituni huku helicopter za kumlinda zikifanikiwa kuukwepa ukungu

Acheni Mungu wa mbinguni aitwe Mungu

Mlale Unono 😀😀
Kikwete alikuwa na ulinzi, kapigwa mweleka na mgambo wa kisukuma jukwaani Mwanza.

Ilibidi Sheikh Yahya amuongezee walinzi wasioonekana; labda Lissu naye anao walinzi wasioonekana. 😆😆
 
Rest in Hell Jiwe aka Rais wa wanyonge wajinga na wapumbavu...alitaka kumkill Mh Lissu Mwisho wasiku Sir God akamnyonga yeye.
Kwani kifo kimeanza kwa Magufuli peke yake kwenye ukoo wako hakuna ndugu zako waliokufa je walitaka nao kumkili Tundu lisu? Vyeti feki acheni chuki za kinafiki kifo ni kila mtu hata huyo Tundu lisu haishi milele ataondoka siku moja hata wewe utaondoka
 
Unamsafisha Magufuli kirahisi hivyo ??

Hapo kwenye rais wa Iran weka Magufuli.

Ule ulinzi aliokuwa nao Magufuli ilikuwa ni hatari mwisho wa siku waliokuwemo chumbani wakati anafariki walikuwa ni ex CDF, DGIS , IGP Professor Janabi na madaktari wengine wawili.

Ile mitutu na jammer haikuweza kuzuia kirusi kabisa hadi akaomba akafie nyumbani tu.
 
Back
Top Bottom